Ongezeko la wadada wanaotoboa pua

Ongezeko la wadada wanaotoboa pua

Njoo kusini Huku wamwera,wamaraba wa masasi na wamakonde utaona mpk wengine tuko nao maofisini NI kawaida Sana..labda huko kwenu ndo ajabu btw me mwenyewe sipendi mke Wangu atoboe pua
Hayo makabila kiukweli kumpata mke ni kazi saana.hao wanawezana wenyewe na ndio maana wanatoboa pua,hakuna mwanamke wa maana anatoboa pua
 
Siku hizi matobo mengi ya masikio ndo habari ya mjini,lakini Pua ni kama fashion yake ishapita, zamani ndo ilikuwa inabamba sana!!!
Sijawahi kuona utofauti wa mwanamke alietoa matobo mengi masikio na mwenye kipini puani na mwenye tatoo!

Inshort kwangu hawa nawachukulia ni malaya wanaojiuza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu acha wadada warembeke..gubu tu
Vile goroko77 jinsi anavyomuona mdada mwenye kipini puani.
Screenshot_20220527_210735.jpg
 
Wakuu hili inanishangaza Sana kumekuwepo na ongezeko kubwa kwa wadada pisi kali kutoboa pua na masikio matobo mengi. Hata Kama mnapendeza ila mimi gorogo nitakuchakata tu na kukuacha manake inasemekana kuwa nyinyi mnaotoboa pua ni wanawake fulani wahuni hivi au malimbukeni

Kwanini wanafanya hvyo katika maisha yangu sijapata kuona mwanamke ameolewa akiwa ametoboa pua sijapata kukutana nao wengi ni masikio na unakuta katoga moja kwa hereni moja tu

Haya tuambieni kuna siri gani kutoboa pua hamuoni kuwa mnaonekana watu wa ajabu ajabu kwa mambo ya ovyo ovyo

Huwezi mkuta mwanamke smart halafu anatoboa pua au umkute daktari au Hr wa kampuni au taasisi kubwa katoboa pua huwezi

Nawapa tahadhari ondoeni vipini vyenu haraka sana.

Nimeshuka ktk daladala Hapo Kibo Tegeta hapa nimekaa siti moja na pisi kali mno mtoto mashalaah namba nimepata ila kikwazo katoboa pua kaniudhi kweli ila fresh nitawapa mrejesho kule kimasiara
cocastic hivi mbona hujaniambia kama umekutana na goroko kwenye daladala
 
Wanawake kila wanachofanya kina Kazi yake, we tafuta mmoja wapo approach atakuonesha Kazi ya hizo vitobo na hivyo vya kuvaa ikiwemo vipini kwenye ulimi, pua, na vikuku. Utakuja kunishukuru.
Mm siwezi kumshukuru mtu aliye toboa ulimi na pua na mashavu
 
Hayo makabila kiukweli kumpata mke ni kazi saana.hao wanawezana wenyewe na ndio maana wanatoboa pua,hakuna mwanamke wa maana anatoboa pua
Nashukuru Sana mkuu umekuwa very short and simple
 
Wengi ni wahudumu wa bar
Kuna jamaa wanapita kwenye ma bar kutoboa pua masikio na pua kwa bei nafuu sana
Bei imekaje na maumivu je .vip wanavifaa Kam za ganzi au kuzuia kuambukizana magonjwa au anawatoboa tu ilimradi
 
Back
Top Bottom