Comment yangu wala hauhusiani na kutoboa popote, inahusiana na MAUNO FENI ya wadada wa kusiniKwa hyo unaenda kuoa mke aliyetoboa pua. na ulimi
Ndio bro alikuwa Mtwara akaenda masasi....Sasa namuuliza amerudi au badoMasasi Tena humu
Mkuu mpe namba yangu ya simuWakuu hili inanishangaza Sana kumekuwepo na ongezeko kubwa kwa wadada pisi kali kutoboa pua na masikio matobo mengi. Hata Kama mnapendeza ila mimi gorogo nitakuchakata tu na kukuacha manake inasemekana kuwa nyinyi mnaotoboa pua ni wanawake fulani wahuni hivi au malimbukeni
Kwanini wanafanya hvyo katika maisha yangu sijapata kuona mwanamke ameolewa akiwa ametoboa pua sijapata kukutana nao wengi ni masikio na unakuta katoga moja kwa hereni moja tu
Haya tuambieni kuna siri gani kutoboa pua hamuoni kuwa mnaonekana watu wa ajabu ajabu kwa mambo ya ovyo ovyo
Huwezi mkuta mwanamke smart halafu anatoboa pua au umkute daktari au Hr wa kampuni au taasisi kubwa katoboa pua huwezi
Nawapa tahadhari ondoeni vipini vyenu haraka sana.
Nimeshuka ktk daladala Hapo Kibo Tegeta hapa nimekaa siti moja na pisi kali mno mtoto mashalaah namba nimepata ila kikwazo katoboa pua kaniudhi kweli ila fresh nitawapa mrejesho kule kimasiara
Ukistaajabu ya pua,utayaona ya ndimi na mashavu.Hivi pua inavouma wanatoboaje?
Bongo shida sana mtu Hadi wanawake kutoboa pua anaumia!Acha kufuatilia style ya maisha ya watu...
Wengi ni wachafu wanatoa harufu mbaya ukeni.Wakuu hili inanishangaza Sana kumekuwepo na ongezeko kubwa kwa wadada pisi kali kutoboa pua na masikio matobo mengi. Hata Kama mnapendeza ila mimi gorogo nitakuchakata tu na kukuacha manake inasemekana kuwa nyinyi mnaotoboa pua ni wanawake fulani wahuni hivi au malimbukeni
Kwanini wanafanya hvyo katika maisha yangu sijapata kuona mwanamke ameolewa akiwa ametoboa pua sijapata kukutana nao wengi ni masikio na unakuta katoga moja kwa hereni moja tu
Haya tuambieni kuna siri gani kutoboa pua hamuoni kuwa mnaonekana watu wa ajabu ajabu kwa mambo ya ovyo ovyo
Huwezi mkuta mwanamke smart halafu anatoboa pua au umkute daktari au Hr wa kampuni au taasisi kubwa katoboa pua huwezi
Nawapa tahadhari ondoeni vipini vyenu haraka sana.
Nimeshuka ktk daladala Hapo Kibo Tegeta hapa nimekaa siti moja na pisi kali mno mtoto mashalaah namba nimepata ila kikwazo katoboa pua kaniudhi kweli ila fresh nitawapa mrejesho kule kimasiara
hata mi naonaga kama watu flani wanaochakatwa sana so hawakosi moto yani siku ya kuchakata wa hivyo hayo mawazo ya kupata ngoma sijui yataishajeWapo Ila cwez kuwachakata wa hvyo
Inaonekana huna muda mrefu umetoka matomboQUOTE]
Daah utakua mwana sana asee kama umecheki OZ... wrangler alizingua mzushi yuleSimonAdebisi yuko wapi Mwanao Wrangler,umenikumbusha Series ya OZ