Ongezeko la wadada wanaotoboa pua

Ongezeko la wadada wanaotoboa pua

Wakuu hili inanishangaza Sana kumekuwepo na ongezeko kubwa kwa wadada pisi kali kutoboa pua na masikio matobo mengi. Hata Kama mnapendeza ila mimi gorogo nitakuchakata tu na kukuacha manake inasemekana kuwa nyinyi mnaotoboa pua ni wanawake fulani wahuni hivi au malimbukeni

Kwanini wanafanya hvyo katika maisha yangu sijapata kuona mwanamke ameolewa akiwa ametoboa pua sijapata kukutana nao wengi ni masikio na unakuta katoga moja kwa hereni moja tu

Haya tuambieni kuna siri gani kutoboa pua hamuoni kuwa mnaonekana watu wa ajabu ajabu kwa mambo ya ovyo ovyo

Huwezi mkuta mwanamke smart halafu anatoboa pua au umkute daktari au Hr wa kampuni au taasisi kubwa katoboa pua huwezi

Nawapa tahadhari ondoeni vipini vyenu haraka sana.

Nimeshuka ktk daladala Hapo Kibo Tegeta hapa nimekaa siti moja na pisi kali mno mtoto mashalaah namba nimepata ila kikwazo katoboa pua kaniudhi kweli ila fresh nitawapa mrejesho kule kimasiara
Mkuu mpe namba yangu ya simu
 
Mdada akiwa kaweka kipini,kama sikua na mpango wa kumtongoza,namtongoza tu ila siyo kumuoa.
 
Unatokea wapi mkuu?? Mbona hiyo kutoboa pua ni oldy fashion ambayo ni kama inarudi tu kipindi hiki, miaka ya nyuma huku ukanda wetu wa pwani ilikuwa ni urembo wa kawaida kutoboa pua, bibi yangu amefariki (RIP) na uzee wake na kipini chake cha pua 😅, hamna kipya.
 
Wakuu hili inanishangaza Sana kumekuwepo na ongezeko kubwa kwa wadada pisi kali kutoboa pua na masikio matobo mengi. Hata Kama mnapendeza ila mimi gorogo nitakuchakata tu na kukuacha manake inasemekana kuwa nyinyi mnaotoboa pua ni wanawake fulani wahuni hivi au malimbukeni

Kwanini wanafanya hvyo katika maisha yangu sijapata kuona mwanamke ameolewa akiwa ametoboa pua sijapata kukutana nao wengi ni masikio na unakuta katoga moja kwa hereni moja tu

Haya tuambieni kuna siri gani kutoboa pua hamuoni kuwa mnaonekana watu wa ajabu ajabu kwa mambo ya ovyo ovyo

Huwezi mkuta mwanamke smart halafu anatoboa pua au umkute daktari au Hr wa kampuni au taasisi kubwa katoboa pua huwezi

Nawapa tahadhari ondoeni vipini vyenu haraka sana.

Nimeshuka ktk daladala Hapo Kibo Tegeta hapa nimekaa siti moja na pisi kali mno mtoto mashalaah namba nimepata ila kikwazo katoboa pua kaniudhi kweli ila fresh nitawapa mrejesho kule kimasiara
Wengi ni wachafu wanatoa harufu mbaya ukeni.
Sivutiwi na vipini,kope,kunyoa nyusi na mawigi
 
Wapo Ila cwez kuwachakata wa hvyo
hata mi naonaga kama watu flani wanaochakatwa sana so hawakosi moto yani siku ya kuchakata wa hivyo hayo mawazo ya kupata ngoma sijui yataishaje
 
Yaani we jamaa siku ukikutana na alietoboa kicmi nahisi utashindwa hata kutomber kabisa.
 
Back
Top Bottom