AhahaaaUgonjwa wangu wife amekataa kutoboa nimetafuta mchepuko mwenye kipini roho imeturia
Sawa ila acha tu bib ako pengine alikuwa pisi Kali na haambililikiUnatokea wapi mkuu?? Mbona hiyo kutoboa pua ni oldy fashion ambayo ni kama inarudi tu kipindi hiki, miaka ya nyuma huku ukanda wetu wa pwani ilikuwa ni urembo wa kawaida kutoboa pua, bibi yangu amefariki (RIP) na uzee wake na kipini chake cha pua, hamna kipya.
Mkuu vipi unataka ushahidi na siyo porojo au sioUkiweka picha nitarudi kuchangia.