Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Leila anawawakilisha kilio cha wengi?
Tatizo lipo wapi?
Miaka mitatu mbele natimiza miaka 30 nikijaaliwa,na kama mpaka hapo sijapata mume wa kunioa nahama hii Nchi naenda kuomba uraia hata Kenya,maana hii itakuwa dharau sasa nyie wanaume.
Kwamba mnataka watu tuzeeke na ufundi wetu hata haujatumika kihalali ndani ya ndoa? vibaya ivyoo.
Usiku mwema.
Tatizo lipo wapi?
Miaka mitatu mbele natimiza miaka 30 nikijaaliwa,na kama mpaka hapo sijapata mume wa kunioa nahama hii Nchi naenda kuomba uraia hata Kenya,maana hii itakuwa dharau sasa nyie wanaume.
Kwamba mnataka watu tuzeeke na ufundi wetu hata haujatumika kihalali ndani ya ndoa? vibaya ivyoo.
Usiku mwema.