Hahahahaha! Kweli aiseee una akili sana,ukisoma thread ya radio ya Wafu maana yake umesikilizishwa bana!sasa nitaacha hata kusoma na kuchangia posti zinazohusu clouds kwa sababu niliacha kusikiliza na sitaki kusikilizishwa hapa jf.
Niliwahi kumsikia Mh.Lusinde mbunge wa Mtera akisema wabunge wapimwe akili wanapokuja Bungeni. Sikumuelewa lakini sasa naanza kuimuelewa! Wabunge wote wapimwe akili tujue kama ziko sawasawa! Maana walichokifanya ni sawa na uwendawazimu.
Nchi ya tatu kwa kuwa ombaomba Duniani leo mkajipandishie posho namna hiyo? hicho ni nini kama sio wazimu? MIMI SIJUI NANI ATAWAPIMA LAKINI KWAKUWA HOSPITALI YA VICHAA IKO HUKO HUKO DODOMA!! TUNASHAURI WAUGUZI WA MIREMBE WAKAIFANYE KAZI HIYO!!!! Labda baada ya hapo watawaza vizuri na kutunga sheria kama kazi yao inavyowataka. Na sio kutunga viwango vya posho.
Wameniharibia siku sana hawa jamaa.
Niliwahi kumsikia Mh.Lusinde mbunge wa Mtera akisema wabunge wapimwe akili wanapokuja Bungeni. Sikumuelewa lakini sasa naanza kuimuelewa! Wabunge wote wapimwe akili tujue kama ziko sawasawa! Maana walichokifanya ni sawa na uwendawazimu.
Nchi ya tatu kwa kuwa ombaomba Duniani leo mkajipandishie posho namna hiyo? hicho ni nini kama sio wazimu? MIMI SIJUI NANI ATAWAPIMA LAKINI KWAKUWA HOSPITALI YA VICHAA IKO HUKO HUKO DODOMA!! TUNASHAURI WAUGUZI WA MIREMBE WAKAIFANYE KAZI HIYO!!!! Labda baada ya hapo watawaza vizuri na kutunga sheria kama kazi yao inavyowataka. Na sio kutunga viwango vya posho.
Wameniharibia siku sana hawa jamaa.
|
| |
|
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe CHADEMA amewataka wambunge wote warejeshe pesa zote zilizozidi walizopewa kama posho kwasababu walipewa nje ya utaratibu na kinyume cha sheria
MY TAKE:
Hiiposho siieleewi vizuri hapa Mbeya tuliwauliza wabunge wa CDM kama wamechukua hizo hela
MAJIBU: Hizi ni propaganganda za CCM wanataka kuwaondoa watu kwenye mjadala wa katiba Posho hatupati hiyo 200000/= na wala 70000/= ila ni 50000/=(Naomi Kailuki na Basil Lemma)
Kwanini CDM wanagongana kuhusu posho leo nasikia SHIBUDA anasema wanaobisha posho mpya ni mambumbu huku akishangiliwa na wenzake
Naomba tutafakari kwa kina .........."asante"..........
Wapiga kura pia wapimwe akili coz walichagua wabunge wenye pepo wachafu.
Mkuu tatizo langu kwa nini wasiwe wakweli kuliko kutudanganya kama wanavyo fanya wanapata 70,000/= au 200,000/= lakini wanasema tunachukua 50,000/= Chadema tunatarajia wawe wakweli daima uongo ni Sumu mbaya mnoHuwezi kupata jibu moja linapokuja suala la posho kwa kuwa hata hao wabunge wa Chadema, wapo wanaoongozwa na matamanio binafsi.
Anna Makinda amekiri ongezeko la posho na ndio Zitto alipomkamata kuwa ni kinyume cha Sheria. Sasa huyo Lema na wengine wanachofanya ni kuwababaisha wananchi. Posho wanapokea na wanakula
Mkuu tatizo langu kwa nini wasiwe wakweli kuliko kutudanganya kama wanavyo fanya wanapata 70,000/= au 200,000/= lakini wanasema tunachukua 50,000/= Chadema tunatarajia wawe wakweli daima uongo ni Sumu mbaya mno