Mkuu hapo kwenye Red!
1. Leo unamaanisha jana 8 Dec?
2. "Mambumbu" anamaanisha sisi wananchi au wabunge?
3. "Wenzake" unamaanisha wabunge au wananchi?
Kwa ujumla posho zote zinatakiwa kufutwa isipokuwa posho ya kujikimu basi. Ikumbukwe yeye alishasema "kwa kazi za mbunge, hata akipiwa posho ya 500,000/= ni sawa!". Ni aibu kuwa na mbunge mwenye mawazo ya namna hii akiwa anawakilisha watu maskini katika nchi maskini.
Huwezi kupata jibu moja linapokuja suala la posho kwa kuwa hata hao wabunge wa Chadema, wapo wanaoongozwa na matamanio binafsi.
Anna Makinda amekiri ongezeko la posho na ndio Zitto alipomkamata kuwa ni kinyume cha Sheria. Sasa huyo Lema na wengine wanachofanya ni kuwababaisha wananchi. Posho wanapokea na wanakula
Siyo siri ktk hili la uongo waliniudhi ila muda ulisha nilitaka niwajibu maana ZITTO, JANUARY wasingesema uongo na hata SpikaKama ulikuwa umeweka matarajio yako yote kwa Chadema, basi anza kutafakari njia nyengine ya kuikomboa nchi yako
ni simple sana. kila mtu awe mpiga nyoka, ni ugumu wa maisha uliokithiri kila kona ya maisha utakaowafanya wananchi kushtuka. namaanisha, tujihalarishie ruswa, nchi iyumbe ili tukae sawaKama ulikuwa umeweka matarajio yako yote kwa Chadema, basi anza kutafakari njia nyengine ya kuikomboa nchi yako
Nasikia kwa sheria, Posho inayo zidi 100,000/= ndiyo hukatwa kodiHiyo 70000 ikikatwa kodi naona inabaki 50000,Makinda,katibu wa bunge + jk wote hawajatimiza wajibu wao
Huwezi kupata jibu moja linapokuja suala la posho kwa kuwa hata hao wabunge wa Chadema, wapo wanaoongozwa na matamanio binafsi.
Anna Makinda amekiri ongezeko la posho na ndio Zitto alipomkamata kuwa ni kinyume cha Sheria. Sasa huyo Lema na wengine wanachofanya ni kuwababaisha wananchi. Posho wanapokea na wanakula
wanasheria. Hivi mtu akipatikana kufanya mambo kinyume na sheria, nini kinatakiwa kufanyika?
Siyo siri ktk hili la uongo waliniudhi ila muda ulisha nilitaka niwajibu maana ZITTO, JANUARY wasingesema uongo na hata Spika
Sasa ni chama gani mbadala labda hadi 2020 tulitegea CDM waseme kweli daima na wakemee ufisadi wa aina yoyote ile
Siyo siri ktk hili la uongo waliniudhi ila muda ulisha nilitaka niwajibu maana ZITTO, JANUARY wasingesema uongo na hata Spika
Sasa ni chama gani mbadala labda hadi 2020 tulitegea CDM waseme kweli daima na wakemee ufisadi wa aina yoyote ile
Halihitaj uwe mwanasheria!
ANAYEIBA YUPO KINYUME NA SHERIA,so hukumu inachukua mkondo wake,MAKINDA AMEVUNJA SHERIA
Nchi hii ikiyumba kuja kujirekebisha ni mbali sana na tutakuwa tumeumia vyakutosha la msingi tupate wapi chama mbadala cha ukweli maana siasa na mwanasiasa ndiyo wanaoendesha nchi hii naona ni bora tuwapate wa ukwelini simple sana. kila mtu awe mpiga nyoka, ni ugumu wa maisha uliokithiri kila kona ya maisha utakaowafanya wananchi kushtuka. namaanisha, tujihalarishie ruswa, nchi iyumbe ili tukae sawa
swali zuri sana kwa gaijin, hebu msaidie huyu muungwana, wewe ambaye hujaweka matarajio yako yote kwa cdm, mengine umeyaweka wapi?
Usiseme tu kwamba hapa hapafai, sema wapi panafaa.
Yes I agree with you that is why the resultant ( the total force) is zero.....to every action, there is an equal and opposite reaction...'
swali zuri sana kwa gaijin, hebu msaidie huyu muungwana, wewe ambaye hujaweka matarajio yako yote kwa cdm, mengine umeyaweka wapi?
Usiseme tu kwamba hapa hapafai, sema wapi panafaa.
Mkuu tatizo langu kwa nini wasiwe wakweli kuliko kutudanganya kama wanavyo fanya wanapata 70,000/= au 200,000/= lakini wanasema tunachukua 50,000/= Chadema tunatarajia wawe wakweli daima uongo ni Sumu mbaya mno
Nchi hii ikiyumba kuja kujirekebisha ni mbali sana na tutakuwa tumeumia vyakutosha la msingi tupate wapi chama mbadala cha ukweli maana siasa na mwanasiasa ndiyo wanaoendesha nchi hii naona ni bora tuwapate wa ukweli
wazo zuri sanapanapo faa ni kurudisha madaraka kwa wananchi. tukifanikiwa hili, kila kitu shwari mkuu
Yes I agree with you that is why the resultant ( the total force) is zero
F + (-F) = O
wazo zuri sana
- nani atakuwa kiongozi wakurudisha madaraka kwa wananchi asiye.......