Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,482
- 564
hapanaMimi nafikiri inawezekana walizungumzia posho ya mafuta maana ni TSh 50,000.
hawa jamaa wanachua
- fedha za mafuta 50000/=
- posho za vikao 200000/= from 70000/=
- fedha ya kujikimu nje ya jimbo ya jimbo lake 80000/= ....
total 330000/= per day