Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

Tatizo hawa mashoga wengine wapo wanafanya ushoga waziwazi na tunawajua lkn tumekuwa kimya tunawaangalia tu, tunasahau watoto wanaona na wanaanza kuiga. Mimi nadhani dawa ni sisi wananchi kuanza kuwashughulikia kimyakimya.
Kabisa...
Ila na mabasha wanao warubuni watoto wa wenzao nao waswagwe!
 
Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao.

Nafikiri wakati ufike kama watanzania jamii na serikali tuwekeze nguvu ktk kutokomeza janga hili kama tulivyofanikiwa ktk mifuko ya Rambo tuanzishe kampeni tokemeza ushoga japo changamoto imekuwa kubwa sababu kuna baadhi ya viongozi wa dini na serikali nawao wanahusika ktk jamii hizi lakini tukitaka kumuua nyani tusimtazame usoni wakati umefika tukemee matendo haya machafu ambayo ni laana inayopewa sapoti na kugeuzwa kuwa fursa hasa mitandaoni.

Kila mmoja ajiulize mwanao angekuwa hivyo ungejiskiaje? Hiyo ni lana ya taifa na ni athari ya utandawazi#kemea ushoga popote ulipo kanisa ni, msikitini, shuleni, serikalini, mitandaoni.
Hakuna ajira kwa hata waliosoma,wanaumme wameamua kuwa kama wanawake , kujiuza. Ni mara chache sana ukute mtu na kazi maisha yako okey na amejiingiza kwenye hayo. Tabia ya kuwaingilia watoto pia nafikiri imechangia.
 
.
JamiiForums-253518694.jpg
 
SHAIRI KUHUSU USHOGA NA USAGAJI

1. Mikono ninaipunga, salamu nipate jenga
Salamu hiyo yalenga, janga lilotia nanga
Watu wamepigwa changa, wa tayari kuwahonga
Ushoga jamani janga, sasa linaziba mwanga

2. Ushoga jamani janga, sasa linaziba mwanga
Wengi wamepigwa chenga, eti pesa inalonga
Tukatae hu ujinga, kwa Neno pia kupinga
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

3.Si ushoga peke yake, Usagaji ni ujinga
Hao watoto wa kike, wanavuliana kanga
Kilio na tupeleke, kwa Mungu alie Mwanga
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

4. Tumekemea kudanga, tukikipiga kipyenga
Ushoga sasa mzinga, bora ukapigwa Panga
Hii imekuwa ndinga, tuombe pia kufunga
Ushoga jamani janga, sasa linaziba mwanga

5. Mwanga ukisha kuziba, hakuna ukionacho
Hapo tumepigwa roba, bora hata ya kichocho
Lia mama pia baba, fundisha bila kificho
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

6. Mtoto kajaa Pesa, hujui kapata wapi
Kumbe kabeba mkasa, nyuma amebaki kopi
Mnasubilia posa, kumbe ni Mvaa nepi
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

7. Tuwafundishe watoto, Tamaa kuziepuka
Wasijepata Majuto, waonekane vibaka
Watendaji beba wito, tutoe hiki kichaka
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

8.umewatuma watoto, chuo kuna mawakala
Hata shule za vidato, vibaraka watawala
Kila kona tumbo joto, hata kwenye daladala
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

9. Tizedi bila ushoga, hilo linawezekana
Kwa elimu tutaloga, watu wapate kupona
Vita hii tutapiga, bila hata konakona
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

10. Waletao dili hili, wameleta mchecheto
Na hiyo ndio dalili, mambo yamepamba moto
Wanaziteka akili, kwa kugawa maokoto
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

11. Unataka gari kali, kwa kugawa makalio
Bora ukose ugali, au ishi kwa Limao
Lakini usikubali, kuchukua wazo lao
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

12. Eti kuna wachungaji, viongozi na mashehe
Ushoga kwao ulaji, wamependa sitarehe
Wamkana muumbaji, Ee Mungu uwasamehe
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

13. Tuwakumbuke Sodoma, Tusisahau Gomora
Ushoga uliwalima, Mungu walipomkera
Hii zaidi ya homa, haiogopi na kora
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

14. Tutashinda mambo hayo, Mungu akituwezesha
Tutaokoa Mioyo, tukiomba na kukesha
Wote na tuseme ndiyo, pinga wanaopotosha
Ushoga jamani janga sasa linaziba mwanga

15. Mungu wetu Mungu wetu, twaomba usituache
Hili janga kama chatu, lisituletee cheche
Mwisho mwovu huyu Fyatu, utulinde tusimche
Tamati nimalizie, Mungu atusaidie
 
Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao.

Nafikiri wakati ufike kama watanzania jamii na serikali tuwekeze nguvu ktk kutokomeza janga hili kama tulivyofanikiwa ktk mifuko ya Rambo tuanzishe kampeni tokemeza ushoga japo changamoto imekuwa kubwa sababu kuna baadhi ya viongozi wa dini na serikali nawao wanahusika ktk jamii hizi lakini tukitaka kumuua nyani tusimtazame usoni wakati umefika tukemee matendo haya machafu ambayo ni laana inayopewa sapoti na kugeuzwa kuwa fursa hasa mitandaoni.

Kila mmoja ajiulize mwanao angekuwa hivyo ungejiskiaje? Hiyo ni lana ya taifa na ni athari ya utandawazi#kemea ushoga popote ulipo kanisa ni, msikitini, shuleni, serikalini, mitandaoni.
Mkuu mifuko ya larambo imerudi kwa kasi sana,hakuna jambo serikali ya ccm inaloweza simamia kwa ufasaha likatiki,ushoga hawautaki ila njaa na kutembeza bakuli ndio udhaifu wao,

Anyway hivi shoga liiloamua lenyewe kutinduliwa mtaro wake wewe kinachokuuma nini hasa.?
 
Kwakweli hata mimi nashangaa sana ..cha ajabu kuna baadhi ya madhehebu ya dini yanaunga mkono swala hili wakati limewekwa wazi kabisa katika vitabu vya dini.sasa sielewi inamaana wanapingana na biblical theory of creation ambayo inaeleza wazi kuhusu dhumuni la uumbaji
UNajidaia dini za wazungu na waarabu wewe ngozi nyeusi,ni upumbafu mtupu mana haya ya ushoga na ubakaji wa watoto wadoho yameletwa na dini za hao wazungu na waarabu,hauko salama
 
UNajidaia dini za wazungu na waarabu wewe ngozi nyeusi,ni upumbafu mtupu mana haya ya ushoga na ubakaji wa watoto wadoho yameletwa na dini za hao wazungu na waarabu,hauko salama
Ukiacha hizo za wazungu dini zetu za asili za Afrika zinakemea Sana ila Wengi wameshupaza shingo
 
Back
Top Bottom