Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

Mungu hawezi kosea katika eneo kama hilo. Huu ni mchezo mchafu ambao wamezoea na wanaendekeza tu.

hzo ni mental disorder ww go and read k2 knachoitwa homophilia, acha propaganda za kijinga hta kama m2 anahomorn unazosema huo n mtihan mwenyez mungu amewapa waja wake il waweze kuvuka daraja la kwenda pepon, kama ambao wale hawapat watoto, wenye maumbile madogo
 
Wapendao.mashoga.ni.wengi.zaid kuliko.mashoga wenyewe

Wataachaje na wakati wanaume ndio wanaowapa suport?

Kama mngekua hamuwachukui wangeongezeka?acheni unafki lol

Hakuna Laana kubwa kama hii dume zima linamshikisha ukuta dume mwenzie lol!!....ptuuuuuuuuuu.......ata chembe ya haya hawana Wanawake wote sie umfate dume.mwenzio?

Sijui nafsi.zetu zina nn
Huu.ni zaidi ya msiba

Mungu anusuru vizaz vyetu
 
Usishangae hata makanisa yanawaoza jinsia moja. Hata papa wa Vatican aliuliza yeye "ni nani hata aweze kuhoji ushoga".

Hiyo ni laana yenye baraka za makanisa.
 
Wapendao.mashoga.ni.wengi.zaid kuliko.mashoga wenyewe

Wataachaje na wakati wanaume ndio wanaowapa suport?

Kama mngekua hamuwachukui wangeongezeka?acheni unafki lol

Hakuna Laana kubwa kama hii dume zima linamshikisha ukuta dume mwenzie lol!!....ptuuuuuuuuuu.......ata chembe ya haya hawana Wanawake wote sie umfate dume.mwenzio?

Sijui nafsi.zetu zina nn
Huu.ni zaidi ya msiba

Mungu anusuru vizaz vyetu

mashoga wanatoa kitu tofauti!
 
Usishangae hata makanisa yanawaoza jinsia moja. Hata papa wa Vatican aliuliza yeye "ni nani hata aweze kuhoji ushoga".

Hiyo ni laana yenye baraka za makanisa.

Ningeshangaa sana kama unge pita kwenye hii post bila kulitaja Kanisa Takatifu na viongozi wake..
 
Tanzania inapoangamia tujiulize watendaji katika serikali asili yao ni dini gani baada ya hapo tutajadili tukiwa na mifano halisi ukichunguza utaona nchi zote zilizopitisha sheria za ushoga si za kiislam
 
Yamekuwa mafupi, na yanaendelea kutokana na u.s.e.n.g.e huu unaohamasisha. Babu zako waliishi kistaarabu, je maisha yao yalikuwa mafupi? Je mwanao akiwa shoga utamwambia "furahi, maisha ni mafupi?. Naomba majibu.
Sio kweli kuwa maisha yamekuwa mafupi kwa sababu ya u.se.nge!!
Sababu za maisha kuwa mafupi sasa zinatokana na mabadiliko ya tabia nchi, vyakula tunavyokula siku hizi, aina ya kazi tunazofanya, kuongezeka kwa magonjwa mbalimbali, umasikini n.k, Lakini sio u.se.nge, hao watu idadi yao hata asilimia 1 hawafiki, watasababishaje maisha ya watu kuwa mafupi??

Mwanangu sitamkataza ushoga tu, bali nitamkataza na aina zingine za uzinzi zote, nitamkataza kwa sababu dini yangu na utamaduni wangu vinapinga vitu vya namna hiyo, Lakini, kutofuata maagizo ya dini au utamaduni haipaswi kuwa jinai. Ndicho ninachopinga mimi!!

Sihamasishi ushoga, na wala sipendezwi nao, kama ambavyo sipendezwi na aina nyingine yeyote ya uzinzi, Lakini pia sipendi mambo haya yawe jinai kwa sababu ni mambo binafsi ya mtu, ukijinaisha HOMOSEXUAL, sidhani kama utakuwa na sababu ya kutojinaisha HETEROSEXUAL, utapendelea tufike huko mkuu???
 
Wateja wao nao wameongezeka kwahiyo soko lipo
 
Usishangae hata makanisa yanawaoza jinsia moja. Hata papa wa Vatican aliuliza yeye "ni nani hata aweze kuhoji ushoga".

Hiyo ni laana yenye baraka za makanisa.

Hiyo chuki yako unajua itakapokupeleka??

Huwezi kujadili jambo bila kuweka hisia zako za kidini?

Haya mambo yanahusiana na mambo mengi sana
Kuna watu wa imani nyingi sana wanajihusisha na hii makitu

Hukua na haja ya kuingiza imani hapa
Ungejadili kawaida tu ...!!!!!!
 
Back
Top Bottom