Ningeshangaa sana kama unge pita kwenye hii post bila kulitaja Kanisa Takatifu na viongozi wake..
Tena Uingereza imefikia kanisa likikataa kuoza mashoga litashitakiwa:
Churches 'could be sued for refusing to agree to gay marriages'
The Prime Minister's plans for gay marriage could leave churches facing legal action unless they agree to same-sex unions, it emerged today.
Source: Churches 'could be sued for refusing to agree to gay marriages' - Telegraph
usitumie makalio kufiri shm on y..
Ivi kweli mtandao ukihalalishwa cjui wazungu watadiscover shimo gani tena mweeee,labda pua sasa,mtakuwa mnawaona watu pua zimetanuka mithili ya mdomo mweee
Kuongezeka kwa soko kwao nalo ni tatizo, vilevile kutokuwepo kwa sheria kali inayowaadhibu, pia watu hawana hofu ya mungu sikuhizi plus kuiga mambo ya kizungu tunapaswa kulinda maadili yetu kwa nguvu zote.
Kwani kanisa ni nini????
Umeshaanza mpinga makanisa.
Waacheni watu waishi kama wanavyotaka, maisha ni mafupi sana!!.
Hiyo chuki yako unajua itakapokupeleka??
Huwezi kujadili jambo bila kuweka hisia zako za kidini?
Haya mambo yanahusiana na mambo mengi sana
Kuna watu wa imani nyingi sana wanajihusisha na hii makitu
Hukua na haja ya kuingiza imani hapa
Ungejadili kawaida tu ...!!!!!!
Apa sijakuelewa au mawenge ati Almas anakula martin ?
Sijui nini, mimi nimeona ni sehemu yakuoana mashoga na kama ujioneavyo hapa, wachungaji nao wenyewe mashoga:
![]()
Photo Above: British Gay Priest Rev. Colin Coward with Nigerian Gay Fiancé Bobby Egbele (Photo 2)
Source: British Gay Priest To Marry Nigerian Man
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha hiyo ndo mistari kwenzi ukiumiza kichwa jibu unalo
Kanisa halihusiani na imani yamtu?Sijajadili imani ya mtu,
Mada inazungumzia jinsi "kanisa" linavyoshadidia ushoga?nimejadili jinsi kanisa linavyoshadidia ushoga na picha nimeweka,
Kamili ni nini?ushahidi kamili.
Nimesema kuna kinachoniuma?Kinachokuuma ni nini?
Ukweli ni nini?Ukweli unakuuma?
Sijui nini, mimi nimeona ni sehemu yakuoana mashoga na kama ujioneavyo hapa, wachungaji nao wenyewe mashoga:
![]()
Photo Above: British Gay Priest Rev. Colin Coward with Nigerian Gay Fiancé Bobby Egbele (Photo 2)
Source: British Gay Priest To Marry Nigerian Man
Kanisa halihusiani na imani yamtu?
Mada inazungumzia jinsi "kanisa" linavyoshadidia ushoga?
Kamili ni nini?
Picha ni ushahidi kamili?
Nikitengeneza picha inayokuonesha upo uchi itakuwa kweli?
Nimesema kuna kinachoniuma?
Au unaota?
Ukweli ni nini?
Ukweli ni upi?
Ukweli unawezaje kuuma?
Kanisa halihusiani na imani yamtu?
Mada inazungumzia jinsi "kanisa" linavyoshadidia ushoga?
Kamili ni nini?
Picha ni ushahidi kamili?
Nikitengeneza picha inayokuonesha upo uchi itakuwa kweli?
Nimesema kuna kinachoniuma?
Au unaota?
Ukweli ni nini?
Ukweli ni upi?
Ukweli unawezaje kuuma?