Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

Ongezeko la mashoga bongo. Tatizo ni nini?

Bao bana penda kusindilia madude yao kwa banaume benzao, hi tabia iko mbaya sana mu DRC. utakuta banaume banataufta banaume sasa na sisi wanamama wataka tuikale wapi.
 
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu

Waziri wako alishawahi kusema bungeni kuwa kama wahisani watasitisha misaada kwa msimano wa Tanzania kupinga ushoga, basi mtakuwa tayari kujifunga mkanda na kujibeba wenyewe badala ya kukubali kudhalilishwa utu na utamaduni wenu.

Waziri wako aliyeasema hayo wakati akijua wazi kuwa ushoga Tanzania uko nje nje na serikali yako haichukui hatua yoyote kuonyesha kuwa ushoga haukubaliwi Tanzania kwa njia yoyote ile.

Ndiyo maana nimekuwa nikiuliza itakuwaje kama wahisani watasitisha misaada kwa sababu ya kuenea kwa ushoga? Waziri wako atasema kuwa Tanzania hakuna ushoga, na kuwa tayari kujifunga mkanda na kujibeba wenyewe badala ya kukubali kudhalilishwa utu na utamaduni wenu kuwa ushoga umeenea Tanzania?
 
Nimetembea baa nyingi kinondoni na sinza siku za karibuni, nimeshangazwa na ongezeko kubwa sana la mashoga tena siku hizi hawajifichi kama zamani!! Juzi nilikuwa baa moja pale kinondoni opposite na mango garden nikawakuta wengi sana wanagonga kilaji na kujichekesha kama madem. Ikabidi nimuulize bar maid akaniambia wanafanya sherehe ya rafk yao!!
Hivi tatizo ni nini? Maana ni hatari sana kwa jamii yetu na naona jamii inaanza kuwakubali taratibu

Hapa Mwenge kuna bar ilikuwa inaitwa "one for the road" ambapio mashoga walikuwa wanajazana hapo kwa sana, kwani mwenye Bar hiyo inasemekana ni Basha hivyo wale ni marafiki zake na bila shaka alishawatafuna baadhi.

Kuna siku nilishawahi kukaa hapo akaja jamaa mmoja akaniuliza wapi ilipo baa ya was...ge, nikamuambia sijui sijawahi kuisikia, kisha akaenda jirani na pale akauliza hivyo hivyo akaambiwa mbona ndio hapo ulipotoka, basi akarudi akaja kunifokea kwamba nimemdanganya kumbe ndo hapo hapo. Nilichoka sana.

Hawa watu wapo tena wengi sana hasa hasa vijana wadogo wadogo.
 
Tumechagua kuishi bila ya Mipaka na haya ndio madhara yake. Wasiojitangaza ni wengi kuliko wanaojitangaza.
 
Ni kwamba kuna ongezeko la wanaume wanaohitaji huduma ya mapenzi kinyume cha maumbile na hili halihitaji research.
Ushenzi huu unatakiwa usimamiwe na tujiunge na Uganda na Nigeria kupitisha sheria ya kuwashughulikia kama wahalifu wanaochafua utamaduni wetu.
 
Mimi kwanza ningekuwa Rais ni kutuma wale wanao nyofoa kucha wakawaharibu sura tuone kama wataendekeza Hayo mambo ya laana
 
papuch c tamu hahahahaaa.
wanajiongezea kipato ajira ngumu atii.na hawatak kubeba zege wanaeza kubeba wanaume wenzao puu
 
pole xana,naona itakua ulisha pita maeneo wakakupa mzigo.maana unamshawasha wakujua wateja n wanaume
 
Hapa Mwenge kuna bar ilikuwa inaitwa "one for the road" ambapio mashoga walikuwa wanajazana hapo kwa sana, kwani mwenye Bar hiyo inasemekana ni Basha hivyo wale ni marafiki zake na bila shaka alishawatafuna baadhi.

Kuna siku nilishawahi kukaa hapo akaja jamaa mmoja akaniuliza wapi ilipo baa ya was...ge, nikamuambia sijui sijawahi kuisikia, kisha akaenda jirani na pale akauliza hivyo hivyo akaambiwa mbona ndio hapo ulipotoka, basi akarudi akaja kunifokea kwamba nimemdanganya kumbe ndo hapo hapo. Nilichoka sana.

Hawa watu wapo tena wengi sana hasa hasa vijana wadogo wadogo.


nimecheka sana hapa....one the road c mchezo.....JF sio kisiwa...unaweza kufurahi hata kama umekosa mshahara leo..ha ha ha
 
Back
Top Bottom