Baba Wawili 2012
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 413
- 336
Kwangu mm naona madawa ya kulevya na ukimwi is no longer big problem....hili suala la mashoga ni janga tena sio janga dogo.....hali ni mbaya....na kitu kinachomaliza hii kitu ni silence....silence ni danger sana....!!!lazima lisemehewe hili....kuna haja ya kuliongelea hilli...