Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
- Thread starter
- #61
Wewe umekataa nije na wewe na The Bossbasi kama hutaki
nilidhani ata'spice trip' yetu lol
we acha tu,mimi tutabanana arusha mpaka kieleweke,afe kipa afe beki mtanange huu utapigwa hadi dakika 90'Ha ha ha ha, dah umenifanya nimecheka kimsamba leo.
Amevunjwa kitasa? Bora king'oke kuliko kubaki kifutu lol
Hahahahaaaa utapiga dk 90? bila refa?we acha tu,mimi tutabanana arusha mpaka kieleweke,afe kipa afe beki mtanange huu utapigwa hadi dakika 90'
atafutaye hachoki mkuu,one day yes.Hahahahaaaa utapiga dk 90? bila refa?
Hahahaaaa tunaiba mpira tuone utacheza na nini
Halafu Bishanga hukutupa feedback ya safari yako Unga LTDatafutaye hachoki mkuu,one day yes.
By the way nina mpango wa kufunga siku 40 specifically kuomba nitimiziwe haja ya moyo wangu!
we acha tu,mimi tutabanana arusha mpaka kieleweke,afe kipa afe beki mtanange huu utapigwa hadi dakika 90'
Hahahahaaaa sawa uniandalie kipande cha nyama choma aisee maana nshakuwa mmasai siku hizi....Hehehehe mi naenda J5 nikale nyama choma. Ntakua pale Fuka hiyo jpili, ukipita nipungie.