"Ongeeni midomo isiwanuke. . ."

Ndio, jina la mama linahusika sana.

Yaweza kuwa kati ya haya

Sayi, misoji, Lemi, shoma, nchama, mbuke, igela.

Kongosho Hehehe asante wifi.

Ehhhhhh nifundishe. . . nataka akitoka kazini leo nimpokee kwa mbwembwe.

Alafu jina nalo muhimu?
 
Last edited by a moderator:
Ongeeni, ongeeni midomo isiwanuke. . .
Semeni semeni mpaka yawashuke. . .
Mie nimejitulizaa, wangu mi aniliwaza. .
Yani kama ni mchezo umepata mchezaaji. .
Kama ni igizo limepata mwigizaji. .
Nyie kazi kusema. . . .
Amani mwajinyima. . .
Furaha kwenu adimu nawaambia mtajijuu.


Khaaa. . yani leo ndio nimejua hata wamama wa huku kijijini wanaongea. Hiyo "ongeeni midomo isinuke" nimeisikia kwa.wamama wafanya biashara Sanya/Lawate. . . nikaona isiwe tabu ngoja na mie nianze utunzi wa taarab. Mpaka xmass ntakua nshatoa walau singo moja!!

Sio mbaya....wekeza kotekote!! Heheh Ngarerooo Mishebeduo Classic......UTAIPENDAAA!!!
 
Ndio, jina la mama linahusika sana.

Yaweza kuwa kati ya haya

Sayi, misoji, Lemi, shoma, nchama, mbuke, igela.


Hhhmmm. . .alafu yanatumikaje wifi?

Kongosho
Enhee ni namba mbili hapo juu. . .nasubiria somo.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa phina jumapili kanisani mchungaji atakumaliza aiseee hahahaaa
Hivi bado anawatandika bakora hadi leo?

hahaha..alichakaza baba mtu mzima jana!
Lakini he wont find out about this eh..usiwe na shaka!
 
Last edited by a moderator:
Lizzy, ukitaka akupe kitu hata alichoficha uvunguni, anza kumwita Ng'wana Lemi nkoyi . . .

Assuming Lemi ni jina la mama ake.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom