Kwako na kwa Dr. wa kidukuKwa hiyo ulitaka waje kula kwako?
well, isingekuwa busara kuwashauri wabadili tarehe ili tu yeye ahudhurie siku atayotaka yeye, ingezidi kuchelewesha uzinduzi na ni kujikweza ambako hakusaidii kuwafanya wananchi wajisikie wanaweza kujifanyia kitu wenyewe.Sugu kakosea kama aliona haifai hiyo date si angewashauri waiamishe ili akawauzishe sura vijana wenzake?
Ni kweli kabisa kwenye zuri sifia na kwenye baya kosoa. Nataman sugu ajibu tuhuma hizi kabla upepo haujaanza kua mbaya!Ila nyie wapenzi wa CDM huku mkiangalia ndio mnaowapa matatizo viongozi wenu yaani mmekaa ndio mzee mpaka mnaboa aisee. Kwingineko mpige kimiya basi alafu mtoe ushauri. Duh mnatetea sana mpaka mnajipotezea hadhi jamani, tuweni GT, Sugu kakosea kama aliona haifai hiyo date si angewashauri waiamishe ili akawauzishe sura vijana wenzake?
Nadhani ni huyu mtoa alieanzisha hii mada!Nyie leo id ya TUNTEMEKE anaitumia nani
Kwako na kwa Dr. wa kiduku
Ndio umeambiwa mabwana wanatafutwa hivi humu JF? umepotea niia/Dr. Kiduku si ndio mfadhili wako?
tar.28 mwezi wa 12 mwaka 2012 alitumiwa mualiko wa kwenda kua mgeni rasmi kwenye sherehe za ufunguz wa ofisi za umoja wa waendesha bajaj mkoani mbeya,na akakubali na kuwaahdi kua tar.1 mwez wa 1 mwaka huu,yani siku ya mwaka mpya angeenda,vijana wa watu wakaandaa kila kitu lakini cha kushangaza hakufika.!alionekana mitaa ya airport pub na kampani yake akichafua meza,vijana wakaenda kumuomba tena akasema kwa sasa hana mda,wakati jana alikua mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa internet cafe ya mwanamziki w hiphop maarufu kama izzo b,.
vijana wale baada ya kuona wanasumbuliwa na kudhalauliwa na sugu wakaona wamualike mlugo ambae amefika tena kwa mda muafaka.!
inashangaza kuona sugu alie kipenz cha vijana akilinga kiasi hiki,wakat hawa watu wa bajaj na bodaboda wamempa kampani kubwa sana kwenye uchaguzi 2010..
inamaana leo hii ndo anamuona izzo b aliekua adui yake kipnd ana bifu na clouds media ni bora kuliko wana mbeya.?
huyu jamaa,sometimes haeleweki..
tar.28 mwezi wa 12 mwaka 2012 alitumiwa mualiko wa kwenda kua mgeni rasmi kwenye sherehe za ufunguz wa ofisi za umoja wa waendesha bajaj mkoani mbeya,na akakubali na kuwaahdi kua tar.1 mwez wa 1 mwaka huu,yani siku ya mwaka mpya angeenda,vijana wa watu wakaandaa kila kitu lakini cha kushangaza hakufika.!alionekana mitaa ya airport pub na kampani yake akichafua meza,vijana wakaenda kumuomba tena akasema kwa sasa hana mda,wakati jana alikua mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa internet cafe ya mwanamziki w hiphop maarufu kama izzo b,.
vijana wale baada ya kuona wanasumbuliwa na kudhalauliwa na sugu wakaona wamualike mlugo ambae amefika tena kwa mda muafaka.!
inashangaza kuona sugu alie kipenz cha vijana akilinga kiasi hiki,wakat hawa watu wa bajaj na bodaboda wamempa kampani kubwa sana kwenye uchaguzi 2010..
inamaana leo hii ndo anamuona izzo b aliekua adui yake kipnd ana bifu na clouds media ni bora kuliko wana mbeya.?
huyu jamaa,sometimes haeleweki.. Kija acha unaa, Sugu alikubali Mwaliko na akawaomba na kweli aliahidi tarehe moja,kinyume chake Katibu wa Waendesha Bajaji (Mwenyekiti wa vijana CCM - kata nimeisahau jina ) kinyume na maafikiano waliyofanya na Mmbunge,akatuma barua nyingine kwa Mulugo. Na hiyo siku unayosema Mmbunge alikuwa baa pia ni uongo mwingine pia. Nakufahamu kaka coz kabla haujaja hapa ulishalopoka shule ya msingi Mbata @ mechi ya juzi,kuwa utakuja kuharibu hapa........Unachokifanya ni ujinga HIVI VIJANA WENZIO WA CCM WALIKUCHAGUA KUJA KUMCHAFUA SUGU JF? Zungumza yale yapasayo kuzungumzwa hapa kwa minajili ya kumfunza mmbunge wako na sio upuuzi wako.
Kija acha unaa, Sugu alikubali Mwaliko na akawaomba na kweli aliahidi tarehe moja,kinyume chake Katibu wa Waendesha Bajaji (Mwenyekiti wa vijana CCM - kata nimeisahau jina ) kinyume na maafikiano waliyofanya na Mmbunge,akatuma barua nyingine kwa Mulugo. Na hiyo siku unayosema Mmbunge alikuwa baa pia ni uongo mwingine pia. Nakufahamu kaka coz kabla haujaja hapa ulishalopoka shule ya msingi Mbata @ mechi ya juzi,kuwa utakuja kuharibu hapa........Unachokifanya ni ujinga HIVI VIJANA WENZIO WA CCM WALIKUCHAGUA KUJA KUMCHAFUA SUGU JF? Zungumza yale yapasayo kuzungumzwa hapa kwa minajili ya kumfunza mmbunge wako na sio upuuzi wako.
naona mate yamekutoka mwanangu,we ndio faiza demu wa sugu nin.?