Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Umri unahusika sana kwangu lazima afikishe miaka zaidi ya 45,tukiwapa hawa watoto wa dotcom kuna siku wataleta disco ikulu na kuweka kiingilio getini pale.
mkuu umri hauna tija kwa taifa hili.................... mbona kiongozi wako ana umri mkubwa lakini anafanya mambo ya kitoto?