On bed kuna wanaume wa aina nne

HUyo namba 1 lazima atakuzeesha haraka na kukufanya upungue lol, unless um regulate
namba 2 is an OK guy
namba 3 mmhh inahitaji msaada wa Mungu kuvumilia khaa
No 4 NO man for me!!!
 

Sasa kuna sisi wengine huwa kwenye hizo namba zako tunacheza namba 1,2,3 kulingana na ni mwanamke yupi unabed naye coz hawa watu wanatofautiana sana kwenye haya maswala, kuna mwanamke anaweza kukuvutia sana ila mkifika kwenye mchezo' ndiyo balaa linaanzia hapo. So ina depend na the way mwanamke alivyo coz kuna wengne ukimit nao hutaman ku...,
 

duuh! masaa nane kwa siku? na kwa wiki mara ngapi?
 
Last edited by a moderator:

For you Roulette which works best......stamina, technique, or selfishness in your man? Do not hide yourself behind .......ulichosikia...............am really frazzled by "
hearsays".......Am looking for practical experience from you........funguka.........lol
 
Last edited by a moderator:
Aii Kaizer, ninae bwana la'aziz kipande cha mzizi wangu!! tena ujiandae kutambulishwa. mpenzi wangu huyu ni rijari, nguvu asili hamna madiko diko..he he

BelindaJacob hongera sana maana naona hizo mvua zimekunyeshea vilivyo.......si rahisi kumwaga mijisifa kibao kama bado......
 
Last edited by a moderator:

Mkuu haya makundi yanazingatia ule usemi kwamba if other factors remain constant. Yaani uko na anayekuvutia, mambo ya bed anayajua, huna stress n.k, pia uko natural yaani hupigi kunyeto, hujanywa konyagi, wala hutumii madawa ya kuongeza nguvu za kiume
 
Excuse me??? let's pretend you never wrote that!:suspicious:
 
mito, ina maana kundi la nne hata hizi dawa zetu sa asili za kuongeza nguvu za kiume kama MZAKARU, ZOKA, FARU, MKUYATI, DUME, SHOKA, KAMANYOLA, KAMCHAPE na kadhalika, zote hazifui dafu kweli?

hapo wapo wa aina mbili,kuna wale waliozaliwa na tatizo hilo na wale waliolipatia ukubwani. Kwa wale waliozaliwa nalo,hakuna tiba ya kuwasaidia,lakini kwa wale waliopata tatizo ukubwani dawa kama hizo ulizotaja zinaweza kuwaokoa.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo mtoa mada unatushauri tuwe tunajaribishana kwanza kabla ya kuona ili kupimana nguvu na kuona kama tuko-compatible to each other? Maana ukioa/olewa na mtu ambaye hujui mapigo yake si ndo inakuwa mwanzao wa kizazaa kwenye ndoa.

Exactly mkuu, ila pia itakusaidia kujua tatizo lake na hivyo kumvumilia na kumsaidia zaidi ktk mchezo wenyewe. Otherwise, utaishia kumlaumu na hapo utakuwa ndo unamfanya asijiamini kabisa!!!
 
Kundi la kwanza bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Akienda semina tkuyu wiki moja tu ukae mkao wa kupokea watoto kutoka kwa wake wenza, ahaaaaa!
 
Sasa mwanamke yuko kama kabati na nyuma ukimuona kama ironing board,sasa hapo mimi erection itatoka wapi?????????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…