Ommy Fitness: Kukimbia ni zoezi baya sana lisilofaa kufanywa. Halina msaada

Ommy Fitness: Kukimbia ni zoezi baya sana lisilofaa kufanywa. Halina msaada

Anasema?
"mbona wanyama hawafanyi mazoezi ya kukimbia na wana spidi kali kuliko sisi?..

Huyu akapimwe mkojo hawezi kiwa timamu, kwani speed inaongezwa kwa kufanya mazoezi ya kukimbia!? 😂

Bongo kila mtu ni mtaalamu...
 
Anasema?
"mbona wanyama hawafanyi mazoezi ya kukimbia na wana spidi kali kuliko sisi?..

Huyu akapimwe mkojo hawezi kiwa timamu, kwani speed inaongezwa kwa kufanya mazoezi ya kukimbia!? 😂

Bongo kila mtu ni mtaalamu...
labda atuambie wanyama wanafanyaga mazoezi gani🤗🚶‍♀️
 
Hawa vijana wa sikuhizi ni changamoto sana na ni wajuaji mno. Hapo hakuna anachokielewa ila kwasababu ni engagement anatafuta basi wacha aendelee

Ukimsikiliza kwenye video hapo anasema tembea inatosha ukishapungua ndo ukimbie. Sasa je mwili unafahamu vipi hapa nafanya zoezi la kukimbia na hapa nafanya zoezi la kutembea?
Kingine anatakiwa ajue bwana mdogo mazoezi ya cardio anayoyasema kwamba sio mazuri anatakiwa ajue ndio mazoezi mazuri na haraka ya kupunguza mwili kwani hufanya damu inatembea kwa haraka mwilini, inachoma mafuta kwa haraka
 
Atulee kwanza mkimbiaji wa marathoni kibonge halafu tutamletea nyoka mwenye miguu
 
Mtu alifeli Biology, Physics, Chemistry na mathematics anageuka gym trainer😅😅

Hajui hata mifumo ya mwili inafanyaje kazi
 
Back
Top Bottom