ukimsikia anaimba LAIVU unaweza kutapika ..
Hujawahi kuwasikia husein machozi na voice wonder wewe! Hawa jamaa hawabani ila wanagandamiza pua kabisa tena wanagandamiza kwa ngumi
Hujawahi kuwasikia husein machozi na voice wonder wewe! Hawa jamaa hawabani ila wanagandamiza pua kabisa tena wanagandamiza kwa ngumi
ukimsikia anaimba LAIVU unaweza kutapika ..
hahaha pia na yule jamaa anayejiita damian soul
mkuu ushaiskia sauti ya voice wonder? nakudediketia ngoma yake inaitwa "nimpende nani" afu unimpe mrejesho
ukimsikia anaimba LAIVU unaweza kutapika ..