Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Ndugu zangu naombeni ushauri, kuna kitu kinanipa changamoto sana, nina wazo la bishara ambalo nimelifanyia utafiti wa kutosha tatizo sina mtaji kwa maana ya cash/pesa taslimu
Naomba msaada wetu wa namna ya kupata mkopo benki wa kama Mil 50. Kwa sasa nina kanyumba ka kiaina hapa tabata kisukulu ambako hakana hata title deed. Samahani nimekuwa muwazi zaidi ili niweze kusaidiwa, maana ni kweli nahitaji mkopo huo. Kwa hiyo kama kuna uwezekano wa kupata mkopo sehemu pengine wanahitaji hati nitaomba mwenye msaada wa namna ya kupata Title deed anisaidie. Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani wadau katika maendeleo.
Naomba msaada wetu wa namna ya kupata mkopo benki wa kama Mil 50. Kwa sasa nina kanyumba ka kiaina hapa tabata kisukulu ambako hakana hata title deed. Samahani nimekuwa muwazi zaidi ili niweze kusaidiwa, maana ni kweli nahitaji mkopo huo. Kwa hiyo kama kuna uwezekano wa kupata mkopo sehemu pengine wanahitaji hati nitaomba mwenye msaada wa namna ya kupata Title deed anisaidie. Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani wadau katika maendeleo.