Dijovisonjn
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 466
- 125
Bonge la bandiko mkuu, naamini vijana wote tuliotimamu tumekuelewa na tupo bega kwa bega na ZZK japo naamini bado wapo wengi tu waliolishwa unga wa ndele wasioweza kufikiri nje ya box, wapo vijana wa ndiyo mheshimiwa, ndiyo mzee, wapo vijana waliojaa udini, ukanda na ukabila n.k ambao wana viburi vya asili katika uelewa! lakini usijali tupo wengi tu tunaomwamini ZZK na tupo naye hadi tone la mwisho!