Kwahiyo Zito ameogopa kuitaja hiyo list kwakuwa na Ndesamburo yupo. Unajitia aibu ndugu yangu kumtetea Zito.
Kwani Lema yeye hawezi kufanya utafiti anasubiri tu vya kupewa au ndo mnavyoHawa watu "wazito" ambao ZZK "anawaogopa" ni wakubwa kiasi gani kushinda wale
waliowahi kutajwa pale Mwembeya
nga na CDM?
mwambie ataje sasa.
ngojera zimezidi. usitufanye wapumbavu, kama unayo taja tuanze
kuwachukia wao badala ya wewe.
Kwani Lema yeye hawezi kufanya utafiti anasubiri tu vya kupewa au ndomnavyo
sema shule shida. mimi mgeni napita tu.
Usishangae, ila pia kumwaga like ndio zangu!.Pasco asipogonga like kwenye hii thread nitashangaa
Mwambie kwanza Mbowe atoe hadharani mkanda wa bomu la Soweto ambao alisema kuwa anao. Hakika Nyani haoni kundule
Sikutegemea na wala sitarajii kuona na kusikia Godbless Lema anaunga mkono juhudi za Zitto. Lema ni mmoja wa watu wanaofaidi matunda ya ufisadi kupitia kwa mkubwa wake Mbowe
Zito kwisha amebakia kuunga unga maneno na tamaa za kipepo na matisho kwamba atakaye mbip hata mende hatapona.
Ya Ludo na Mwigu against Lwaka mling'aka sana na hatimaye mkono wa Zito umeonekana kuhusika kushinikiza Lwakatare atoswe ili mbwa wapate nafasi ya kuua.
Sisi tunaomba ikiwa Mbowe anazo fedha nje semeni
ZZK is really genius, amegundua hata akiyataja hakuna litakalofanyika zaidi ya maisha yake kuwa katika risk, ukweli Tanzania imeoza kwa uzembe na ujinga wa serikali na watu wake pia, hivi kama Rais alishindwa kutaja majina ya wauza unga unategemea ZZK afanye nini ktk hili suala lake,hivi kama Waziri kagasheki pamoja na kinga zote alizo nazo alishindwa kuwataja majangiri licha ya kuwafahamu mpaka kwa vyeo vyao unategemea ZZK atafanya kitu gani? Tumeshuhudia kapuya na skendo yake ya kubaka binti vipi kuna hatua zozote zimechukuliwa mpaka sasa?? Sasa hapa mnataka zito ayatakje hayo majina ili iweje ama ili nn kifanyike?? Nasubiri wampeleke mahakamani mana kule ndio sehemu nzuri ya kutoa ushahidi sio bungeni kulipojaa wapuuzi na wachumia tumbo......GO GO ZZK
Bonge la bandiko mkuu, naamini vijana wote tuliotimamu tumekuelewa na tupo bega kwa bega na ZZK japo naamini bado wapo wengi tu waliolishwa unga wa ndele wasioweza kufikiri nje ya box, wapo vijana wa ndiyo mheshimiwa, ndiyo mzee, wapo vijana waliojaa udini, ukanda na ukabila n.k ambao wana viburi vya asili katika uelewa! lakini usijali tupo wengi tu tunaomwamini ZZK na tupo naye hadi tone la mwisho!
Mpaka leo nafsi yangu inaniuma kutokana na bomu lile kwani ndugu yangu amekuwa kilema kutokana na tukio lile MPAKA SASA SIJUI SUALA LILE LIMEFIKIA WAPI !!!