Ombi la Lema kwa Zitto na kauli ya Werema - Unganisha dots...

ZZK is really genius, amegundua hata akiyataja hakuna litakalofanyika zaidi ya maisha yake kuwa katika risk, ukweli Tanzania imeoza kwa uzembe na ujinga wa serikali na watu wake pia, hivi kama Rais alishindwa kutaja majina ya wauza unga unategemea ZZK afanye nini ktk hili suala lake,hivi kama Waziri kagasheki pamoja na kinga zote alizo nazo alishindwa kuwataja majangiri licha ya kuwafahamu mpaka kwa vyeo vyao unategemea ZZK atafanya kitu gani? Tumeshuhudia kapuya na skendo yake ya kubaka binti vipi kuna hatua zozote zimechukuliwa mpaka sasa?? Sasa hapa mnataka zito ayatakje hayo majina ili iweje ama ili nn kifanyike?? Nasubiri wampeleke mahakamani mana kule ndio sehemu nzuri ya kutoa ushahidi sio bungeni kulipojaa wapuuzi na wachumia tumbo......GO GO ZZK

You must be working for him,I don't see any genius here! Genius anachelewa kugundua namna hiyo?
Unatoa mifano ya ajabu ,Rais hakutakiwa kutaja majina ya wauza unga ,alitakiwa awashughulikie .
Kama anayo majina na hawezi kuyasema kwa nini anaongelea kila siku atuambie yeye either MWOGA ama MUONGO!!
Kama anaogopa aweke hapa with unidentified ID....hamna kitu ...wewe unafikiri majina yale unapata tuu he is no damn hacker!!

Hamtetei munamuangamiza zaidi kama gari linapiga resi kwenye tope na kuzidi kujichimbia chini.
 
Werema kasema watamchukuli hatua za kisheria dhidi yake which means atafunguliwa mashtaka,hapo ndo mahali pazuri kwa kutoa ushahidi wa kila kitu,ijue tz yako mkuu

tabu kaka wino aliomwaga ni kithibitisho cha uongo wake. Pia ni muuaji kwa nini mda wote huo asiwatangazie watanzania? Kaenda kusaini kimyakimya ili nini? Au ccm wamemzunguka maana yaweza kuwa walikubaliana makubaliano yao yawe ya siri na sasa werema kayaleta hadharani
 
wanaoifahamu vizuri historia ya IZRAEL, watakuwa wameshawahi kusikia jina la kikundi kimoja cha wapiganaji wa msituni kilichojulikana kama IRGUN. kundi hili liliamua kujitoa kutoka CENTRAL COMMANDING POINT ya jeshi la izrael wakati huo baada ya kuona jeshi la izrael linaendekeza siasa wakati muda wa siasa haukuwepo(kumbuka Hitler alikuwa anaendesha Holocaust dhidi ya wayahudi na wayahudi walikuwa hawana pa kukimbilia zaidi ya palestine). IRGUN CHINI YA KAMANDA WARDE WINGATE waliamua kupigana dhidi ya yeyote aliye kinyume na ZIONISM hata kama alikuwa alikuwa myahudi mwenzao. kundi hili ndilo kundi la kwanza katika historia ya dunia kutumia mabomu ya kujitoa muhanga(suicide bombers) na shambulizi lao la kwanza lilikuwa ni dhidi ya BRITISH POLICE HEAD QUARTERS katika mji wa JAFFA. katika malengo yao waliamini na kuona kwamba SIASA NA WANASIASA ni kikwazo cha kufikia malengo yoyote.
utangulizi wangu hapo juu unatokana na jinsi ninavyoyaangalia masuala ya kisiasa hapa nchini na jinsi siasa zetu zinavyojidhihirisha kuwa ni aina nyingine ya usanii na MAIGIZO yasiyomithilika.kibaya zaidi ni kwamba SIASA ZA SASA ZIME-CENTRALIZED kwa mtu mmmoja tu naye ni ZZK.
Last week niliandika humu kwamba ''kuna tuhuma/tetesi tunazifanyia kazi ya kukusanya ushahidi na pindi ushahidi utakapopatikana tutauweka hadharani kwa kila mtu kuona na kusikia. tuhuma zenyewe ni kwamba""" MAFISADI KUTOKA SERIKALINI NA CCM WAMEUNGANISHA NGUVU NA WENZAO WA CHADEMA KUHAKIKISHA ZZK ANAANGAMIA IWE NI KISIASA AU HATA KIMWILI NA ROHO''''
huu ni mkakati ambao hauko kichama, bali ni watu fulani na makundi yao yenye nguvu ndani ya serikali na hivyo vyama viwili dhidi ya ZZK huku yakijaribu(na wanaelekea kufaulu) kuwaaminisha watu kuwa kinachoendelea ni siasa na hivyo basi utatuzi wake unatakiwa uwe wa kisiasa.
kwa wao(mafisadi ) , ZZK ni kikwazo katika mikakati yao, malengo yao na hata dhamira zao. kwao wao, huyu mtu hana bei na kwamba hanunuliki na msimamo wake pamoja na weledi na uwezo wake kiakili ni tishio la maharamia ndani ya chama chake na na wale maharamia walioko CCM na serikalini. ili kumdhibiti wameamua kutengeza JOINT FORCE ili awe anashambuliwa toka kila pembe. na hapa ndipo tunapoweza kuunganisha dots za kile kinachoendelea bungeni KUPITIA OMBI LA LEMA NA KAULI YA WEREMA...
kwa mcho na masikio yangu nimemuona na kumsikia lema akiliita swala zima la FEDHA ZILIZOFICHWA USWIS KAMA NGONJERA!!!!!! na akamuomba ZZK kama anaogopa kuyataja hayo majina basi ampe yeye LEMA ayataje na kwa hili yeye(lema) hahitaji ulinzi wowote...''''''' JE AMESHAHAKIKISHIWA ULINZI NA WAHUSIKA HIVYO KUWA NA UHAKIKA NA USALAMA WAKE!!!!????"""" baada ya majigambo na porojo za kihalifu za LEMA, mwanasheria mkuu wa serikali naye alisimama na kusema kwamba eti ZZK ameapa kwamba hana jina hata moja la wamiliki wa fedha uswisi.

kwangu mimi, huu ni unabii unaothibitisha ile dhana tunayoifanyia kazi ya MAFISADI UNITED AGAINST ZZK.
mimi najua,lema anajua,werema anajua na kila mwenye akili anajua kuwa ZZK anayo majina tena sio majina tu bali pamoja na account details za walioficha fedha uswisi na kwingineko. ila kutokana na nguvu kubwa ya kifisadi iliyo nyuma ya wamiliki hawa wa mabilioni, ZZK hayuko tayari kuwasilisha chochote au kwa mtu yeyote ushahidi alionao kuhusu sakata husika. ushahidi alionao ndio uliobeba FUNGUO YA USALAMA WA MAISHA YAKE NA NAFASI YAKE KISIASA. endapo ataukabidhi, ni wazi utateketezwa na maisha yake yatakuwa hatarini. werema anasema kuhusu swala la kupeleka ZZK mahakamani, lakini nina hakika huko ndiko haswaa ambako ZZK anapataka . kupitia mahakama ndiko ambako ushahidi atakuwa tayari kuutoa na si vinginevyo. na kwa hilo basi, niwahakikishie kwamba sio serikali wala WEREMA atakayethubutu kwenda mahakamani.
G.LEMA KAMA TUNAVYOMJUA NI MTUMWA WA MBOWE... na namchukulia kama adui namba moja wa ZZK kutokana na matendo na kauli zake kwa muda mrefu sasa. haihitaji kipaji cha ujasusi kuweza kung'amua kuwa ombi lake la jana kwenda kwa ZZK pale bungeni lilikuwa limeficha dhamira OVU dhidi ya ZZK. anadhani ZZK ameshindwa(au labda anadanganya kuwa nayo) kuyataja majina ya walioficha fedha uswis. ni wazi JOINT FORCE imemtuma akalitumie bunge kumuomba ZZK ampe yeye majina ili ayataje na kama ZZK akikataa basi ieleweke kuwa ZZK ni muongo na mfitini. kwa kuahidiwa ulinzi wa kutosha au huenda na fedha vilevile, G.LEMA akasimama bungeni kumuomba ZZK ampe yeye hayo majina ayatangaze na yeye hahitaji ulinzi wowote(baada ya kuhakikishiwa ulinzi na wahusika).
tatizo hakuna kinachofikiriwa na wanasiasa wetu zaidi ya uchaguzi 2015. wanafanya mambo utadhani 2015 ndio mwisho wa taifa letu na baada ya hapo halitakuwepo tena. wanaunda mitandao ya siri dhidi ya wazalendo wa kweli na kuwaandama kutaka kuwaangamiza.
hivi ni nani anayebisha kuhusu uwepo wa akaunti za siri za baadhi ya watanzania huko ughaibuni!!!! habari hizi zilikuwepo tangu enzi ya utawala wa mwalimu nyerere ila leo tunaziona KAMPENI zimeshaanza za kutaka kutuaminisha tofauti. hivi ni nani kati yetu anayependa kujisomea asiyejua jinsi YULE MWANADADA WA KI-NIGERIA alivyotishiwa maisha na jinsi kazi ya kuyarudisha mabilioni ya dola zilizofichwa na wanasiasa wa nigeria ilivyokuwa ngumu!!!
kuna mabo ambayo hayahitaji akili nyingi, lakini ukituliza akili kidogo tu utaona TIMING ya mlolongo wa matukio ni wa kupangwa. hii sio COINSIDENCE....... ni mpango uliopangwa na pande mbili(ambazo tunadanganywa na kuaminishwa kwamba ni pande hasimu) dhidi ya COMMON THREAT.
ZZK IS A COMMON THREAT kwa fisadi yeyote bila kujali kavaa jezi ya chama gani.zzk ni windo linalowindwa na watu hatari sana toka vyama na taasisi zote zilizo na mafisadi ndani yake.wakati jumuiya ya kimataifa inamtambua na kutathamini uwezo na mchango wake(yeye ndiye kijana wa kiafrika anayealikwa zaidi katika majukwaa ya kimataifa na kutoa mada kuliko yeyote africa nzima), sisi tunamuandalia kaburi la mwili wake na kaburi lake kisiasa.vijana wa kitanzania tumekuwa ni MBWA wa kufuata miluzi ya mabwana (masters) hata kama miluzi hiyo inatuelekeza mdomoni mwa chatu.I am confused for what is happening now!!!!!
but my confussion will never lead me astray and miss my point. I WILL SATAND BY HIM(ZZK) no matter what.kama walivyofanya IRGUN kule izrael kuna umuhimu wa kufanya hivyo hapa.... mafisadi toka vyama vyote wameungana dhidi ya wanyonge wa tanzania. na yule anayesimama na wanyonge wanamuandalia kaburi. wengine woote, wanawachukulia wanyonge wa tanzania kama mitaji ya kufikia malengo yao.
ZZK.. HUU NI WOTO WANGU KWAKO....
i know as everybody knows that you are the smartest politician in mordern tanzania.you are the most patriotic leader who prictises his preach. but the stream you are swimming against, is too strong for you to cross it MAN ALONE. out here there are people. people who beleave in you, people who knows dirty politics which surrounds you.
dont go alone man. TAKE US WITH YOU!!!!
hata ningekuwa mimi nisingetaja hayo majina. anachotakiwa ajue zitto ni kuwa hao watu na mtandao wao wanamzunguka. Tena ni mafisadi kweli kweli. YANA MWISHO.
 
notradamme asante kwa bandiko hili sina la kusema kwasababu nitaharibu

Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
It is so sad, Wanaojiita Watetezi wa wanyonge, kuungana na Mafisadi ili kumsulubu Mjumbe wa kutetea Rasilimali za Watanzania(Zitto).

Inanikumbusha na kisa cha Wayahudi waliokuwa wakipiga kelele za msulubishe, msulubishe, msulubishe (YAANI WANATAKA MESIAH asulubishwe) wakati Mesiah alikuwa akifanya kazi kwa manufaa yao wenyewe!
 
Na ww usitufanye matahira, ss kama Zzk hataki kutaja majina kwnn tusiseme ni ngonjera au ndo anatafuta umaarufu?
Issue ni hv mpiganaji na mzalendo yeyote haogopi kusacrify maisha yake kwa manufaa ya Taifa, ndo mana comrade Lema akataka kumeza hilo bomu alipue.
Vilele zzk anafahamu mahakama palipo kwann asiende kufungua jalada mahakamani kwa manufaa ya umma?.
Asituzingue km hataki kuzitaja akabandike chumbani kwake awe anatzama na hawara yake bint jakaya.
 
Ukijibu maswali haya mjadala huu unaweza kuwa na tija vinginevyo ni ushabiki usio na maana na kupotezeana muda:

1. Je ni kweli kwamba ZZK alitamka chini ya kiapo kwamba hana majina wala account ya mtu yeyote?

2. Ni kweli kwamba ZZK amekuwa hashiriki vikao anavyoitwa na kamati?

KANYAGA TWENDE, NAKUSUBIRI.
 
Hakika umenena mkuu. Huyu si mwingine ni Mzee Philemon Ndesamburo

Pesa zinazo ongelewa ni zile zinazo tuhumiwa kupatikana kifisadi yaani kwa rushwa na makampuni ya uwekezaji kwa watu walio kuwa madarakani? Huyo Ndesmburo na Mbowe walikuwa na madaraka gani hapa Tanzania na lini?
 
Watu wameshasahau kuwa katibu mkuu CDM @w.slaa alisema anamajina ya mafisadi wa nchi na aliita mkutano pale kidongo chekundu akataja Moja baada ya jingine hata baadhi ya media ziliogopa kunukuu kwa nidhamu zao za kifisadi, Sasa zitto anaogopa nini kama sio mwongo na mpenda sifa binafsi, kaona anabanwa anakimbilia huruma za kitoto tuu kwa hili naongoza mashaka juu yake .
 
Watu wameshasahau kuwa katibu mkuu CDM @w.slaa alisema anamajina ya mafisadi wa nchi na aliita mkutano pale kidongo chekundu akataja Moja baada ya jingine hata baadhi ya media ziliogopa kunukuu kwa nidhamu zao za kifisadi, Sasa zitto anaogopa nini kama sio mwongo na mpenda sifa binafsi, kaona anabanwa anakimbilia huruma za kitoto tuu kwa hili naongoza mashaka juu yake .

Dr Slaa aliyataja hayo majina then what?- si tunaona kina chenge wanaendelea kupeta , wamefanywa nini?
Kutaja majina ni kitu Rahisi, kilichokigumu ni kuwaadhibu, kurudisha pesa zetu, na then kubadili mfumo ili hayo mambo yasijitokeze!.

Kama serikali ina nia njema, katika suala hili mbona serikali ya Uswis imesema iko tayari kutatua jambo hili iwapo tu serikali ya Tanzania itaonyesha nia ya kulitatua?.

Zitto ni Whistle blower, ni kama Mtu aliyeuona moto MKUBWA akaanzisha kelele za Moto moto, ni Jukumu la Seriali sasa kuja kuuzima moto huo. ITAKIUWA NI UJINGA ULIOKUBUHU KWA KUANZA KUMSHAMBULIA MPIGA KELELE ZA MOTO ETI KWA NINI HAKUCHUKUA MAJI NA KUANZA KUUZIMA MOTO MKUBWA WA NAMNA HII KABLA YA KUWAITA WENGINE.

ZITTO has played his part, na ni jukumu la serikali sasa kuonyesha dhati, kwa kushirikiana na serikali ya uswis ili hizo pesa zirudi!.

UBAYA WA KAULI YA AKINA LUKUVI NI KUWATEGA WATANZANIA, WATANZANIA WAKISHAAMINI KWAMBA ZITTO NI MUONGO NA HANA MAJINA, THEN AKINA LUKUVI WATAKUJA NA HOJA KWAMBA, WELL MAPESA YENYEWE MATRILIONI YA USWISI WALA HAYAPO, ZITTO ALIZUSHA TU. KWA NAMNA HII WATANZANIA TUTAKUWA TUMEPIGWA BAO LA KISIGIONO!.

TENA AKINA LUKUVI WATAKUJA NA HOJA, "WENYE USHAHIDI WA WATU WENYE MAPESA USWISI WATULETEE". NA KWA NAMNA HII MJADALA UTAFUNGWA NA TUTAKUWA TUMEKOSA HISTORIC OPPORTUNITY YA KULISOLVE HILI JAMBO ONCE AND FOR WHOLE!

NDUGU ZANGU LET US STAND WITH ZITTO ON THIS, HII KITU NI BIGGER, IT IS VERY IMPORTANT FOR OUR DESTINY AS A NATION.
NI LAZIMA TUJUE, SERIKALI HAINA NIA YA DHATI KUTATUA HILI JAMBO, KWA SABABU HILI JAMBO LIMO NDANI YA UWEZO WAO KABISA. INACHOKIFANYA SASA SERIKALI NI KULIZIMA HILI JAMBO KUPITIA ADHOMINEM ATTACK KWA MHESHIMIWA ZITTO. BADALA YA KUTATUA TATIZO WAO WANATAFUTA TECHNICALITIES ILI KUMTISHA MLETA UJUMBE. KWANI KIAPO MAANA YAKE NINI, HII NI PSYCHOLOGICAL TORTURING MECHANISM. KWA AJILI YA KUMUINTIMIDATE MLETA UJUMBE HAIFAI HATA KIDOGO
 
Dr Slaa aliyataja hayo majina then what?- si tunaona kina chenge wanaendelea kupeta , wamefanywa nini?
Kutaja majina ni kitu Rahisi, kilichokigumu ni kuwaadhibu, kurudisha pesa zetu, na then kubadili mfumo ili hayo mambo yasijitokeze!.

Kama serikali ina nia njema, katika suala hili mbona serikali ya Uswis imesema iko tayari kutatua jambo hili iwapo tu serikali ya Tanzania itaonyesha nia ya kulitatua?.

Zitto ni Whistle blower, ni kama Mtu aliyeuona moto MKUBWA akaanzisha kelele za Moto moto, ni Jukumu la Seriali sasa kuja kuuzima moto huo. ITAKIUWA NI UJINGA ULIOKUBUHU KWA KUANZA KUMSHAMBULIA MPIGA KELELE ZA MOTO ETI KWA NINI HAKUCHUKUA MAJI NA KUANZA KUUZIMA MOTO MKUBWA WA NAMNA HII KABLA YA KUWAITA WENGINE.

ZITTO has played his part, na ni jukumu la serikali sasa kuonyesha dhati, kwa kushirikiana na serikali ya uswis ili hizo pesa zirudi!.

UBAYA WA KAULI YA AKINA LUKUVI NI KUWATEGA WATANZANIA, WATANZANIA WAKISHAAMINI KWAMBA ZITTO NI MUONGO NA HANA MAJINA, THEN AKINA LUKUVI WATAKUJA NA HOJA KWAMBA, WELL MAPESA YENYEWE MATRILIONI YA USWISI WALA HAYAPO, ZITTO ALIZUSHA TU. KWA NAMNA HII WATANZANIA TUTAKUWA TUMEPIGWA BAO LA KISIGIONO!.

TENA AKINA LUKUVI WATAKUJA NA HOJA, "WENYE USHAHIDI WA WATU WENYE MAPESA USWISI WATULETEE". NA KWA NAMNA HII MJADALA UTAFUNGWA NA TUTAKUWA TUMEKOSA HISTORIC OPPORTUNITY YA KULISOLVE HILI JAMBO ONCE AND FOR WHOLE!

NDUGU ZANGU LET US STAND WITH ZITTO ON THIS, HII KITU NI BIGGER, IT IS VERY IMPORTANT FOR OUR DESTINY AS A NATION.
NI LAZIMA TUJUE, SERIKALI HAINA NIA YA DHATI KUTATUA HILI JAMBO, KWA SABABU HILI JAMBO LIMO NDANI YA UWEZO WAO KABISA. INACHOKIFANYA SASA SERIKALI NI KULIZIMA HILI JAMBO KUPITIA ADHOMINEM ATTACK KWA MHESHIMIWA ZITTO. BADALA YA KUTATUA TATIZO WAO WANATAFUTA TECHNICALITIES ILI KUMTISHA MLETA UJUMBE. KWANI KIAPO MAANA YAKE NINI, HII NI PSYCHOLOGICAL TORTURING MECHANISM. HAIFAI HATA KIDOGO

JF Senior Expert MemberArray


Join Date : 28th February 2012
Location : tabata-dsm
Posts : 6,683
Rep Power : 39274
Likes Received2998
Likes Given3980


[h=2]
icon1.png
Re: Uthibitisho wangu kwamba Ben Saanane/Mamuya ni watu hatari ndani ya chama[/h]
MMENICHUKIZA SANA NA HUYO ZITTO WENU ANAEWATUMA TUMA,,YAN SANA...!:frusty::frusty:

HASIRA NILIZOKUWA NAZO JUU YENU NYINYI MAMLUKI KWA HUKUMU YANGU MIMI NINGEKUSANYA NINYI NYOTE,,NINGETEMBEZA BAKORA ZA MGONGO KWA MMOJA BAADA YA MWINGNE HADI HASIRA ZANGU ZINIISHIE THEN NDIO TUWAITE KWENYE MAHOJIANO NA KUWATIMUA KWENYE HIKI CHAMA MOJA KWA MOJA,,

WATU WANAWEKA PLAN ZA KUIKOMBOA HII NCHI NYINYI MNAKUJA KUVURUGA??

ZITTO BORA ZILE SEATING ALLOWANCES KULE BUNGENI UNGEENDELEA TUH KUCHUKUA UJE UWALIPE HAWA WATUMWA WAKO WACHUMIA TUMBO,AU UKAWALIPE WAGANGA WA KIENYEJI

WANAFIKI WAKUBWA KABISA..

YOU MUST BE SO SO DULL YOU GUYS..​


 
JF Senior Expert MemberArray


Join Date : 28th February 2012
Location : tabata-dsm
Posts : 6,683
Rep Power : 39274
Likes Received2998
Likes Given3980


[h=2]
icon1.png
Re: Uthibitisho wangu kwamba Ben Saanane/Mamuya ni watu hatari ndani ya chama[/h]
MMENICHUKIZA SANA NA HUYO ZITTO WENU ANAEWATUMA TUMA,,YAN SANA...!:frusty::frusty:

HASIRA NILIZOKUWA NAZO JUU YENU NYINYI MAMLUKI KWA HUKUMU YANGU MIMI NINGEKUSANYA NINYI NYOTE,,NINGETEMBEZA BAKORA ZA MGONGO KWA MMOJA BAADA YA MWINGNE HADI HASIRA ZANGU ZINIISHIE THEN NDIO TUWAITE KWENYE MAHOJIANO NA KUWATIMUA KWENYE HIKI CHAMA MOJA KWA MOJA,,

WATU WANAWEKA PLAN ZA KUIKOMBOA HII NCHI NYINYI MNAKUJA KUVURUGA??

ZITTO BORA ZILE SEATING ALLOWANCES KULE BUNGENI UNGEENDELEA TUH KUCHUKUA UJE UWALIPE HAWA WATUMWA WAKO WACHUMIA TUMBO,AU UKAWALIPE WAGANGA WA KIENYEJI

WANAFIKI WAKUBWA KABISA..

YOU MUST BE SO SO DULL YOU GUYS..​


 
Wewe uliyeleta uzi ukiwa anonymous hata akaunti moja hujataja maanake huna aliyekutuma umejuaje anayo? Muombe uweke hapa uweke au la hatutaki sumu na pumba
 
kwenda kinyume na serikali sio uasi mkuu Tanzania is not north Korea!
Hapo kwenye red: I wish you could have been serious. Hizi bangi mnazovuta nyuma ya keyboards zenu zitawapeleka pabaya. AG kasema Zitto kwa kiapo chake mwenyewe amekiri hana majina ya watanzania walioficha fedha nje ya Tanzania. Kauli ya mwanasheria mkuu wa serikali ni kauli ya serikali kisheria, wewe unatangaza ati utakuwa naye hadi tone la mwisho, kwa hiyo unatangaza uasi dhidi ya serikali? Unatishia serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama nani wewe?

Huyo Zitto wenu angekuwa na majina asingekubali kula kiapo badala yake angeshinikiza serikali iangalia taratibu na sheria za kimataifa juu ya suala ya umiliki wa fedha nje ya nchi ikiwa ni pamoja na kuridhia na kusaini mikataba ya kimataifa unaoruhusu mabenki ya nchi husika kutoa taarifa ya wateja wao pindi serikali ya nchi nyingine inapoomba kupewa taarifa hizo.
 
Baada ya kuonekana mafiadi kilifuata kitu gani? Lazima tuwe na plan B katika siasa zetu

Hakuna plan B wala nini. Waliotajwa na Dr. Slaa wengi wao walijeruhiwa, Daudi Balala, Pesambili Mramba, Rostam Aziz - unawasikia hawa sasa? Hakuna plan B wala C, ni kujiimarisha kisiasa tu. Nothing more
 
Dr Slaa aliyataja hayo majina then what?- si tunaona kina chenge wanaendelea kupeta , wamefanywa nini?
Kutaja majina ni kitu Rahisi, kilichokigumu ni kuwaadhibu, kurudisha pesa zetu, na then kubadili mfumo ili hayo mambo yasijitokeze!.

Kama serikali ina nia njema, katika suala hili mbona serikali ya Uswis imesema iko tayari kutatua jambo hili iwapo tu serikali ya Tanzania itaonyesha nia ya kulitatua?.

Zitto ni Whistle blower, ni kama Mtu aliyeuona moto MKUBWA akaanzisha kelele za Moto moto, ni Jukumu la Seriali sasa kuja kuuzima moto huo. ITAKIUWA NI UJINGA ULIOKUBUHU KWA KUANZA KUMSHAMBULIA MPIGA KELELE ZA MOTO ETI KWA NINI HAKUCHUKUA MAJI NA KUANZA KUUZIMA MOTO MKUBWA WA NAMNA HII KABLA YA KUWAITA WENGINE.

ZITTO has played his part, na ni jukumu la serikali sasa kuonyesha dhati, kwa kushirikiana na serikali ya uswis ili hizo pesa zirudi!.

UBAYA WA KAULI YA AKINA LUKUVI NI KUWATEGA WATANZANIA, WATANZANIA WAKISHAAMINI KWAMBA ZITTO NI MUONGO NA HANA MAJINA, THEN AKINA LUKUVI WATAKUJA NA HOJA KWAMBA, WELL MAPESA YENYEWE MATRILIONI YA USWISI WALA HAYAPO, ZITTO ALIZUSHA TU. KWA NAMNA HII WATANZANIA TUTAKUWA TUMEPIGWA BAO LA KISIGIONO!.

TENA AKINA LUKUVI WATAKUJA NA HOJA, "WENYE USHAHIDI WA WATU WENYE MAPESA USWISI WATULETEE". NA KWA NAMNA HII MJADALA UTAFUNGWA NA TUTAKUWA TUMEKOSA HISTORIC OPPORTUNITY YA KULISOLVE HILI JAMBO ONCE AND FOR WHOLE!

NDUGU ZANGU LET US STAND WITH ZITTO ON THIS, HII KITU NI BIGGER, IT IS VERY IMPORTANT FOR OUR DESTINY AS A NATION.
NI LAZIMA TUJUE, SERIKALI HAINA NIA YA DHATI KUTATUA HILI JAMBO, KWA SABABU HILI JAMBO LIMO NDANI YA UWEZO WAO KABISA. INACHOKIFANYA SASA SERIKALI NI KULIZIMA HILI JAMBO KUPITIA ADHOMINEM ATTACK KWA MHESHIMIWA ZITTO. BADALA YA KUTATUA TATIZO WAO WANATAFUTA TECHNICALITIES ILI KUMTISHA MLETA UJUMBE. KWANI KIAPO MAANA YAKE NINI, HII NI PSYCHOLOGICAL TORTURING MECHANISM. KWA AJILI YA KUMUINTIMIDATE MLETA UJUMBE HAIFAI HATA KIDOGO

huwezi kutafuta hela iliyofichwa nje pekeyako lazima ushirikishe taasisi zinazohusika, jambo la msingi angeanza na chama chake kwa kuwashirikisha wenzake yeye alilichukua suala hili kuwa binafsi ili apate sifa peke yake ukweli ni kuwa zito anapenda sifa ndio maana kauli zake zimejaa u mimi
 
Mkuu sitaki kubishana na utafiti wako kwani kila jambo linawezekana.Alichokosea Zito ni strategy mbaya iliyosababishwa au kwa kujiamini kupita kiasi au kushauriwa vibaya, au kushawishiwa kwa sababu yeyote ile.Navilevile kutojifunza kwake kusoma mazingira kwamba sometimes you have to run so as tofight the next war.

Hiki alichokifanya ni kibaya hatakama hao walikuwa na nia mbaya kwake yeye amefanya utekelezaji mbovu zaidi ambao unamfanya kusomeka vibaya.Katika hali ya hoja alizokuwa akizitoa zilitakiwa zitoke kwa wanachama na siyo kwake moja kwamoja lakini hata ile hali ya utii wa kiitifaki hana.Hapa ndipo penye upungufu mkubwa.Hakutakiwa Kujibu ziara ya Katibu Mkuu wake katika mazingira yake alitakiwa kujishusha na kuomba radhi bila kujali kuna ukweli kamili katika tuhuma hizo au ukweli nusu na kuwaomba wanachama wamuelewe kwamba kama binadamu anamapungufu na mazuri yake.Hapo angekuwa ameipa kamati Kuu mtihani mkubwa sana.

Badala yake akahalalisha kifo chake mwenyewe kwa kuanza kupambana kabla ya kujipima na kuhakikisha iwapo ana nguvu na uungwaji mkono wa kutosha katika vyombo vya maamuzi ndani ya Chama chake. Kosa kubwa na la Mwaka ambalo na hakika alishawishiwa vibaya na Mwanasheria wake ni pale alipokwenda kufungua Kesi Mahakamani kwa masuala yanayohusu Chama .Kimsingi hata Mahakama ikiwa na Mamlaka gani haiwezi kulazimisha mtu kuwa Mwanachama wa Kikundi fualani wakati Kikundi hicho hakimtaki.

Na Hakika ameteleza na anachotakiwa sasa ni kuijenga upya taswira yake nje ya CHADEMA kwa kutafuta mahali pengine au chama kingine na huko aepuke kabisa siasa za kuchafuana na CDM aweke kipao mbele katika msimamo wa kile anachokiamini KWA MASLHI YA TAIFA NA CHAMA CHAKE KIPYA IWAPO KWELI ANA NIA YA DHATI YA KURUDI KWENYE KILELE CHA SIASA ZA TANZANIA.

Tofauti na hili na wasiwasi itakuwa sawa na kujaza maji kwenye gunia.
 
Back
Top Bottom