Walker Water
JF-Expert Member
- Aug 23, 2022
- 785
- 2,954
Dirisha la tatu na mwisho kwa mwaka huu la kutuma maombi ya shahada ya kwanza ndiyo limefungwa jana.
Tunaomba NACTE watuangalie kwa jicho la huruma wengine, tunaomba watuongezee japo siku tano au hata wafungue dirisha la usajili kwa siku mbili za mwanzoni mwa mwezi wa kumi.Naomba hivi kutokana na watu wengi kushindwa kutuma maombi kutokana na kuchelewa kupata AVN,na pia kuchelewa kutoka kwa vyeti vya stashahada.Asante,natumaini kilio chetu kitasikika ili tuweze kutimiza ndoto zetu kwa mwaka huu.
Tunaomba NACTE watuangalie kwa jicho la huruma wengine, tunaomba watuongezee japo siku tano au hata wafungue dirisha la usajili kwa siku mbili za mwanzoni mwa mwezi wa kumi.Naomba hivi kutokana na watu wengi kushindwa kutuma maombi kutokana na kuchelewa kupata AVN,na pia kuchelewa kutoka kwa vyeti vya stashahada.Asante,natumaini kilio chetu kitasikika ili tuweze kutimiza ndoto zetu kwa mwaka huu.