OMBI KWA MH RAISI

OMBI KWA MH RAISI

samson myombo

Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
24
Reaction score
14
MAGUFULI TOA AJIRA, vijana wanaumia,,,uliahidi miezi miwili,BADO TU??? sasa hivi kla mtu kilio chake kipo kwenye rizki,kwani kuzipata imekuwa mtiti!!! Kweli kazi nzuri unafanya lakini suala la kutoa ajira limekuwa ni FUMBO KWETU,,,tena unasemaga "MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU" sasa tuambie unatoa ajira ama hautoi????
 
  • Thanks
Reactions: irk
MAGUFULI TOA AJIRA, vijana wanaumia,,,uliahidi miezi miwili,BADO TU??? sasa hivi kla mtu kilio chake kipo kwenye rizki,kwani kuzipata imekuwa mtiti!!! Kweli kazi nzuri unafanya lakini suala la kutoa ajira limekuwa ni FUMBO KWETU,,,tena unasemaga "MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU" sasa tuambie unatoa ajira ama hautoi????
Ajira kuanzia mwaka 2019 mwishoni
 
MAGUFULI TOA AJIRA, vijana wanaumia,,,uliahidi miezi miwili,BADO TU??? sasa hivi kla mtu kilio chake kipo kwenye rizki,kwani kuzipata imekuwa mtiti!!! Kweli kazi nzuri unafanya lakini suala la kutoa ajira limekuwa ni FUMBO KWETU,,,tena unasemaga "MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU" sasa tuambie unatoa ajira ama hautoi????
 
Back
Top Bottom