samson myombo
Member
- Nov 9, 2015
- 24
- 14
MAGUFULI TOA AJIRA, vijana wanaumia,,,uliahidi miezi miwili,BADO TU??? sasa hivi kla mtu kilio chake kipo kwenye rizki,kwani kuzipata imekuwa mtiti!!! Kweli kazi nzuri unafanya lakini suala la kutoa ajira limekuwa ni FUMBO KWETU,,,tena unasemaga "MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU" sasa tuambie unatoa ajira ama hautoi????