MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,261
- 2,741
Wakuu habari ,kutokana na Mh Lowasa mazungumza na watanzania leo saa kumi jioni,na kwakuwa tunasubiri kusikia mambo muhimu yanayolihusu Taifa kutoka kwake.
Ninaomba ITV warudie kipindi Mara baada ya taarifa usiku wa Leo.
Hii inatokana na sababu kuu mbili, mosi ni kuwa watu wengi muda huo atakaozungumza tutakuwa makazini bado pili kuna sehemu kubwa ya nchi umeme umekata muda huu.
Naomba kuwasilisha.
Ninaomba ITV warudie kipindi Mara baada ya taarifa usiku wa Leo.
Hii inatokana na sababu kuu mbili, mosi ni kuwa watu wengi muda huo atakaozungumza tutakuwa makazini bado pili kuna sehemu kubwa ya nchi umeme umekata muda huu.
Naomba kuwasilisha.