Ombi: Ikulu ipuuze waraka wa Kakobe

Ombi: Ikulu ipuuze waraka wa Kakobe

Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa hakukuwa na swali lolote linalohusu dhehebu ya mtu kwenye maswali ya sensa. Sasa sijui ni jedwali gani unalo lizungumzia.

Kuhusu kuvunjwa kwa sheria: hivi kwanini tuna bishana kitu ambacho baraza la maaskofu wenyewe wamekiri kuwa wao ndio wenye makosa kwa kutokujua kwao matakwa ya sheria na kuwapelekea kutuma majina yao kiholela holela hivyo kukosa wa kuwawakilisha. Hili mbona lipo wazi na hata uki-google taarifa yao utaiona ya kukiri makosa.
Acha ukutafuta umaarufu wa kijinga wewe kwani we ni msemaji wa Ikulu au ccm? we endelea na mambo yako ? chuki zako binafsi na kakobe ndiyo zimekufanya uandike haya. hovyoooo
 
Kakobe alikuwa anakusanya vitu vya thamani kama vile mikufu ya dhahabu kutoka kwa waumini wake kwa kuwadanganya kuwa Mungu amemuotesha kuwa mikufu si vyema kuvaliwa na wanaadamu hivyo ni laana kuvaa. Ila mpaka leo hakuna anaejua mikufu hiyo kapeleka wapi. Sasa kuna jina lingine kwa mtu wa aina ya Kakobe zaidi ya tapeli?
Wewe kakutapeli nini? mpaka umwite tapeli
 
Acha ukutafuta umaarufu wa kijinga wewe kwani we ni msemaji wa Ikulu au ccm? we endelea na mambo yako ? chuki zako binafsi na kakobe ndiyo zimekufanya uandike haya. hovyoooo

Nitafute umaarufu kupitia Kakobe kwa hii fake ID!? U must be insane.
 
WanaJF,

UZEMBE NI WA NANI MPAKA PCT IMEKOSA MWAKILISHI BUNGE LA KATIBA?

Ndugu zangu, hili suala limeshatolewa ufafanuzi na Ikulu na Watanzania wakaridhika maana kabla ya ufafanuzi Watanzania walikuwa wame-panic kuwa PCT imeonewa na kudhurumiwa haki yao ya kushiriki kuandaa katiba.

Ufafanuzi ulisema kwamba, baraza la maaskofu alikufuata maelekezo ya sheria katika kuwasilisha mapendekezo yao ya wawakilishi.

Jambo ambalo PCT walikosea ni kujipendekeza kama watu binafsi badala ya kuwa kwenye makundi kama ambavyo sheria ilielekeza. Hivyo serikali haikuwa na budi bali kupiga majina ya PCT kapuni na kupelekea wapentekosti kukosa mwakilishi.

Hivyo hapa mtajionea kuwa kosa lilikuwa la PCT na sio serikali.

KUANDIKWA KWA WARAKA IKULU:

Baada ya maelezo ya serikali kutolewa, baraza la maaskofu liliridhia kuwa wao ndio hawakufuata maelekezo ya sheria hivyo kukiri kuwa walikosea pia walitoa taarifa kwa umma kuwa wameelewana na serikali kuhusu sakata lao.

Lakini ghafla Watanzania tumeshangazwa na Kakobe ambae amejitokeza na kumuandika mhe. Rais ujumbe uliojaa vitisho na mambo mengi ya kusadikika.

Kusema ukweli hili ni jambo la ajabu, sijui Kakobe kakurupuka au vipi, maana kuhusu Pentekosti kukosa mwakilishi tayari Ikulu imelimaliza na aliyefanya kosa la kukosekana kwa mwakilishi wao kwenye bunge ni hao PCT wenyewe.

Sasa Kakobe tatizo lake hapa ni nini!? Nini ambacho hajakielewa katika ufafanuzi wa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kuhusu hili suala!?

Nitoe angalizo kwa Kakobe: kama Kakobe alitaka arudishe umaarufu wake uliotoweka kupitia huu waraka, basi amepotoka big time.

Watanzania sio wajinga kama ambavyo Kakobe anadhani. Kama Kakobe alifanikiwa kudanganya baadhi ya Watanzania na kuweza kujitajirisha, basi asidhani kama ataweza kutudanganya Watanzania wote.

Sidhani kama serikali inapenda kugombana na watu inayowaongoza! kukosolewa nimoja ya majukumu kiuongozi na ikishikamana na uwajibikaji. Waraka uliotumwa kwa Rais wa jamuhuri ya Muungano Tanzania sio mwepesi kama unavyochukuliwa na wachache wanaoweza kutoa majibu kwa msukumo wa Jazba au Hasira tu! nina hakika mtu huweza kuwa na hofu na akajifunza.tuseme walikosea maelekezo hakukuwa na mawasiliano ya kuwaelekeza hawa wapentekoste kuwa wamekosea hivyo basi warekebishe na wafuate sheria ili kuwapa haki yao ya kuwemo katika upembuzi huo wa katiba?? Na ingekuwa ni wewe umeenguliwa usingeomba marekebisho? huu haukuwa mtihani eti kwamba ukikosea kidogo umefeli kwani ni wajibu wa serikali kama mlezi kuwaongoza watanzania woote kwa kila jambo na hata kunapotokea makosa kidogo na sio kuwatupa na kuwa ni moja ya ushindi katika serikali. Serikali kukaa kimya sote hatujui wanalijadili vipi na hatujui watatoa majibu ya aina gani na hata kuamua kukaa kimya hatutafanya lolote kwani mfano mzuri ni mangapi serikali imetuahidi ukiwemo hata wewe na haikutenda je, ulithubutu kuwauliza? huu mfumo wa "Nguvu mikononi mwa wananchi" aka Democracy, huenda ukafanya kazi kama nidhamu yake ikiheshimiwa lakini kama nidhamu yake haita heshimika ujue unatawaliwa.
Kuhusu serikali kuupuza hilo liko mikononi mwao! hakuna asiye amini kuwa MUNGU ni MUNGU tu! na akiamua kufanya makeke yake sote tunajua mziki wake japo tu wabishi sana kwa asili sisi binaadamu mpaka yatokee! hata lusifa anajua hili sembuse mwanaadamu tena kwa kiburi tu!!? ningekushauri usijiingize kwenye huu msala waachie wahusika kwani hata wao wanajua jinsi ya kuepuka fedheha!
 
Mpuuzi tu ameshakula pesa za wajinga sasa anataka arejeshe umaarufu wake??amepitwa na wakati ikulu imeshatoa ufafanuzi,amebug step man
 
WanaJF,

UZEMBE NI WA NANI MPAKA PCT IMEKOSA MWAKILISHI BUNGE LA KATIBA?

Ndugu zangu, hili suala limeshatolewa ufafanuzi na Ikulu na Watanzania wakaridhika maana kabla ya ufafanuzi Watanzania walikuwa wame-panic kuwa PCT imeonewa na kudhurumiwa haki yao ya kushiriki kuandaa katiba.

Ufafanuzi ulisema kwamba, baraza la maaskofu alikufuata maelekezo ya sheria katika kuwasilisha mapendekezo yao ya wawakilishi.

Jambo ambalo PCT walikosea ni kujipendekeza kama watu binafsi badala ya kuwa kwenye makundi kama ambavyo sheria ilielekeza. Hivyo serikali haikuwa na budi bali kupiga majina ya PCT kapuni na kupelekea wapentekosti kukosa mwakilishi.

Hivyo hapa mtajionea kuwa kosa lilikuwa la PCT na sio serikali.

KUANDIKWA KWA WARAKA IKULU:

Baada ya maelezo ya serikali kutolewa, baraza la maaskofu liliridhia kuwa wao ndio hawakufuata maelekezo ya sheria hivyo kukiri kuwa walikosea pia walitoa taarifa kwa umma kuwa wameelewana na serikali kuhusu sakata lao.

Lakini ghafla Watanzania tumeshangazwa na Kakobe ambae amejitokeza na kumuandika mhe. Rais ujumbe uliojaa vitisho na mambo mengi ya kusadikika.

Kusema ukweli hili ni jambo la ajabu, sijui Kakobe kakurupuka au vipi, maana kuhusu Pentekosti kukosa mwakilishi tayari Ikulu imelimaliza na aliyefanya kosa la kukosekana kwa mwakilishi wao kwenye bunge ni hao PCT wenyewe.

Sasa Kakobe tatizo lake hapa ni nini!? Nini ambacho hajakielewa katika ufafanuzi wa kurugenzi ya mawasiliano Ikulu kuhusu hili suala!?

Nitoe angalizo kwa Kakobe: kama Kakobe alitaka arudishe umaarufu wake uliotoweka kupitia huu waraka, basi amepotoka big time.

Watanzania sio wajinga kama ambavyo Kakobe anadhani. Kama Kakobe alifanikiwa kudanganya baadhi ya Watanzania na kuweza kujitajirisha, basi asidhani kama ataweza kutudanganya Watanzania wote.

ebu na ww nenda kawadanganye nawe ujitajirishe, naona unatoa povu bure, kumbuka PCT sio watoto wadogo, kiutaratibu kama walikosea kama unavyodhani mbona basi ikulu haikuwaelekeza cha kufanya. lkn kumbuka ikulu hiyo hiyo ilisema haijawahi kupokea mapendekezo ya majina ya wawakilishi wa PCT je hilo unasemaje? kwahiyo ikulu waliudanganya umma. tumia akili kufikiri badala ya kutumia ubongo wa mwingine kufikiri
 
Unaposema Ikulu ujue kabisa una maanisha jumba la Watanzania. Hivyo usidhani pale ni kwa Kikwete, lah hasha. Kila Mtanzania ana haki ya kuonyesha na kueleza hisia zake juu ya mambo ya kitaifa, ikiwemo hili.

Kuhusu idadi ya Wapentekosti: hata wangekuwa million 40, ila kama hawakufuata maelekezo na matakwa ya sheria isinge leta tofauti yoyote. Majibu yangekuwa ni hayo hayo waliyo jibiwa.

Kwa maana hiyo basi, namba na idadi yao isiwape uhalali wa wao kupuuza maelekezo ya sheria. Ingawa personally I doubt hata kama wapentekosti wanafika millioni moja.

Kama bado unaamini ikulu ni jumba la watanzania umelogwa,elimu ya uraia yale ni maneno kama yalivyo mengine na usidhubutu kuongea huu uj...mbele ya watu malizia humuhumu usipojulikana usidhihirishe ulivyo ni aibu kwa familia yako
 
Unaposema Ikulu ujue kabisa una maanisha jumba la Watanzania. Hivyo usidhani pale ni kwa Kikwete, lah hasha. Kila Mtanzania ana haki ya kuonyesha na kueleza hisia zake juu ya mambo ya kitaifa, ikiwemo hili.

Kuhusu idadi ya Wapentekosti: hata wangekuwa million 40, ila kama hawakufuata maelekezo na matakwa ya sheria isinge leta tofauti yoyote. Majibu yangekuwa ni hayo hayo waliyo jibiwa.

Kwa maana hiyo basi, namba na idadi yao isiwape uhalali wa wao kupuuza maelekezo ya sheria. Ingawa personally I doubt hata kama wapentekosti wanafika millioni moja.

na waganga wa kienyeji wanafika milioni ngapi!!?
 
HAMY-D Completely... Hapo nakuunga mkono 100%

Siasa na DINI ni vitu viwili mbalimbali --- SERIKALI YA NCHI HII HAINA DINI... kwahiyo walichofanya ni kwa BENEFIT ya NCHI na sio DINI...

kweli haina dini... ndiyo maana imeteua mwakilishi wa waganga wa kienyeji
 
Last edited by a moderator:
Nakushauri HAMY-D, uachane na Mtumishi wa Mungu Kakobe, ile ni habari nyingine. Walikuwepo wenzako waliojaribu kujifanya wanajua na kuanza kushindana na huyo mtu, wakaishia kubaya. Hatupendi na wewe uishie kubaya, kama huamini endelea na maneno yako ya kejeli,utaona mwisho wake.

Kuhusu umeme wa TANESCO, wewe unaishi Tanzania ipi? Kama huamini kwamba umeme haujapita pale basi jaribu kufuatilia huko TANESCO ukawaulize akina Badra Masoud watakueleza yaliyotokea na utaujua ukweli.

Hatukulazimishi kwamba umwamini Kakobe kuwa ni Mtumishi wa Mungu aliye hai lakini tunakushauri na kukuonya kwasababu tunakupenda. Maneno yako maovu dhidi yake utayatolea hesabu. Chunga ulimi wako.

Mkuu asante, tena umefanya vyema kumuelekeza wapi aende kupata ukweli na si ngonjera!
 
Kweli wewe ni uneducated. Hivi Kikwete ni nani kwetu!? Hujui kuwa ni rais wetu sote? Sasa kweli maamuzi yake anayo yafanya huoni kama yana muathiri kila mwananchi?

Kama ungefanikiwa ku-attend vipindi vichache vya civics ya kidato cha pili usinge andika hizo pumba hapo. Ila sikulaumu, cha msingi urudi shule ukaondoe ujinga mkuu.


Wewe jamaa unamatatizo ya kupuuza watu kwa kigezo cha elimu,hili jambo lifanyie kazi linazidi kuwa tatizo kwenye post zako.umewahi kugundua nini toka uanze kusoma ili na wewe dunia ikukumbuke na kukutambua kua wewe ni educated?.mtu akiwa na mlengo tofauti na wewe kwako ni adui mkubwa sana.unamwambia 'uneducated'.huu sio mfumo mzuri wa maisha.Kama wewe umesoma civics ya form two,kuna topic inaitwa Democracy + Human rights kasome maana hujaisoma.kwanini kakobe apuuzwe na Rais wa watz wote?ulipaswa kuleta thread inayoshauri Rais ampe kakobe majibu hayo waliyopewa PCT sio ampuuze kakobe.Huu sio utamaduni wetu waafrika,mimi naamini JK hatampuuza kwa jinsi ninavyoona!ata respond ila taratibu.
 
Nitafute umaarufu kupitia Kakobe kwa hii fake ID!? U must be insane.
haa! haa! haa! haaaaaa! yaani we jamaa lazima una faili pale milembe , sasa hicho kinachokufanya ufule ni kitu gani? kwani ccm ni chama cha ukoo wenu ebo! hata nyerere alikikana akasema hakudhaliwa nacho sembuse wewe Juha! unaedandia gari kwa mbele??? ua we unafanya kazi ikulu??? na kama unafanya kazi Ikulu itakuwa ni kazi ya kurisha ndege wale kasuku . ahaaaa ! ahaaaaaaa we tulia kama unanyolewa usubiri maneno ya askofu yatimie.
 
Back
Top Bottom