Alikuwa anawakilisha mamilioni ya watanzania maskini na fukara, Hakuwa na woga wala aibu kukaa barabarani kuomba pesa.
Tofauti ya kwake na pacha mwenzie anaeishi Magogoni kwenye majengo makubwa meupe, Matonya alikuwa anaombaomba ndani ya nchi yake wakati pacha mwenzake alikuwa anaombaomba kwenye nchi za watu.
Wote wawili watakuwa kwenye vitabu vya historia za nchi yetu na duniani kwa kumbukumbu za vizazi vijavyo.
Tofauti ya kwake na pacha mwenzie anaeishi Magogoni kwenye majengo makubwa meupe, Matonya alikuwa anaombaomba ndani ya nchi yake wakati pacha mwenzake alikuwa anaombaomba kwenye nchi za watu.
Wote wawili watakuwa kwenye vitabu vya historia za nchi yetu na duniani kwa kumbukumbu za vizazi vijavyo.