Omary Mgumba: Hizi ndio sababu za serikali kuhamishia fedha za taasisi zake BOT

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,959
Hiki ndicho alichokisema Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Omary Mgumba bungeni mjini Dodoma, pamoja na mambo mengine amesema amepongeza hatua ya serikali ya kuhamisha fedha za mashirika ya umma na taasisi za serikali kwenye mabenki na kuzipeleka benki kuu (BOT)

Ametolea mfano kuna taasisi kama bandari walikuwa waliweka fedha kiasi cha bilioni 440 kwenye fixed account ya mabenki ya kibiashara kwa riba ya 4.3 kwa mwaka, na kwenda kukopa kwenye benki hizo milioni 100 kwa ajili ya miradi yake kwa riba ya juu zaidi.

Ametaka Rais asilegeze iendelee na msimamo huo huo kuwe na nidhamu

 
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia kama mayai kule benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
 
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
yaani pesa yako alafu uanze kukubaliana na Mtu,hakuna kitu kama hicho benk inatakiwa iwe na mtaji wake,kaza baba hili
 
Safi sana mkuu. Wapiga dili hatuwahitaji awamu hii
Hakukuwa na sababu yenye ujazo kuziondoa fedha za mashirika ya umma kwenye mabenki ya biashara kama kigezo pekee mnachokitaja ni hicho.

Walitakiwa kutoa waraka tu wenye maelekezo pamoja na mengine kuwa "itakuwa ni marufuku kuweka fedha za uma kwenye account ya muda maalumu"

Kanuni iambatane na maelekezo ya kupost BOT balance ya akiba ya mashirika yote ya uma kila siku ya kazi.

MCHEZO ULIKUWA UMEKWISHA.

Anachofanya JPM ni chuki iliyozalishwa na kupiga pushups jukwaani (kitendo kilichokejeliwa sana)
 
yaani pesa yako alafu uanze kukubaliana na Mtu,hakuna kitu kama hicho benk inatakiwa iwe na mtaji wake,kaza baba hili
Wewe naona concept ya banking huielewi kabisa. Eti "iwe na mtaji wake"? Hivi wewe unafikiri benki inafanyaje kazi? Inachukua deposits za wateja na kuzikopesha kwa wateja wengine...bank inamtoza aliyekopa riba na inamlipa depositor riba pia. Duniani kote ndivyo benki zinavyofanya kazi. Hiyo inasaidia hela ya depositor..iende kwa mhitaji mwingine na yeye aweze kufanya shughuli ya kuzalisha...na ndio uchumi unavyokua. Sasa zote zimerundikwa BoT...zimekaa tu wala hazisaidii kukuza uchumi. Ni mtu asiyeelewa economics tu atakayefurahia jambo la namna hii.
 
Kwa akili nyingine mbunge anataka interest rate katika fixed deposit ya miezi sita, mwaka au miaka miwili iwe sawa na interest rate ya term loan ya miaka mitano, kumi au ishirini. Hawa ndiyo washauri.

Kwa maana nyingine wapeleleke pesa BOT wakose interest income na benki zikose mitaji ya kukopesha.

Baada ya miaka michache atatafutwa mchawi kwa nini mashirika hayana working capital na pesa za kujiendesha.
 
Chadema kama kawaida yao, naona wanahangaika kutetea mafisadi


Mbowe umefilisi Nhc, rudisha pesa
Madhara ya kula na kunywa siasa mara tatu kwa siku, siku saba kwa juma ndio haya. Kila kitu unaishia kukiangalia kichama...hadi utaifa unakutoka. Sasa mbowe na nhc wanahusika vipi kwenye hii mada kwa mfano?
 
Wewe naona concept ya banking huielewi kabisa. Eti "iwe na mtaji wake"? Hivi wewe unafikiri benki inafanyaje kazi? Inachukua deposits za wateja na kuzikopesha kwa wateja wengine...bank inamtoza aliyekopa riba na inamlipa depositor riba pia. Duniani kote ndivyo benki zinavyofanya kazi. Hiyo inasaidia hela ya depositor..iende kwa mhitaji mwingine na yeye aweze kufanya shughuli ya kuzalisha...na ndio uchumi unavyokua. Sasa zote zimerundikwa BoT...zimekaa tu wala hazisaidii kukuza uchumi. Ni mtu asiyeelewa economics tu atakayefurahia jambo la namna hii.
Kwan we unajua vigezo vya kukidhi ili umiliki bank
 
Wewe naona concept ya banking huielewi kabisa. Eti "iwe na mtaji wake"? Hivi wewe unafikiri benki inafanyaje kazi? Inachukua deposits za wateja na kuzikopesha kwa wateja wengine...bank inamtoza aliyekopa riba na inamlipa depositor riba pia. Duniani kote ndivyo benki zinavyofanya kazi. Hiyo inasaidia hela ya depositor..iende kwa mhitaji mwingine na yeye aweze kufanya shughuli ya kuzalisha...na ndio uchumi unavyokua. Sasa zote zimerundikwa BoT...zimekaa tu wala hazisaidii kukuza uchumi. Ni mtu asiyeelewa economics tu atakayefurahia jambo la namna hii.
Zimeenda BOT ili kama unaenda kukopa ndo unapewa mashart ya riba..hiyo ni kwa commercial banks...hivi naweza kukupa pesa zangu unitunzie afu tena nimtume mtoto wangu aje kukopa kwako tena kwa riba...c nibora nikae na pesa zangu kama ukihitaj uje nikukopeshe kwa maelewano na mtoto wangu akihitaji nae namkopesha mm mwenyew...mbona hili ni swala dogo sana..
 
Zimeenda BOT ili kama unaenda kukopa ndo unapewa mashart ya riba..hiyo ni kwa commercial banks...hivi naweza kukupa pesa zangu unitunzie afu tena nimtume mtoto wangu aje kukopa kwako tena kwa riba...c nibora nikae na pesa zangu kama ukihitaj uje nikukopeshe kwa maelewano na mtoto wangu akihitaji nae namkopesha mm mwenyew...mbona hili ni swala dogo sana..
Ebu lete hoja kama mchumi, siasa kando. Nchi inaangamia kwa kukosa maarifa halafu kuna watu mnashangilia.?
 
Ebu lete hoja kama mchumi, siasa kando. Nchi inaangamia kwa kukosa maarifa halafu kuna watu mnashangilia.?
Huku kwetu maisha yanasonga...Tatizo watu tunaishi kwa mazoea...hamna kinacho angamia mkuu ishi kulingana na nyakati sio mazoeavinginevyo hutaacha kulialia...unajua mtu ukisha chukia kitu afu kila siku unakiona hicho kitu ni taabu..kama huna uwezo wa kukiondoa basi hunabudi kukipenda ili uwe na amani...na ndo wenye uelewa wanafanya hvo maisha yanasonga...ikifatilia kila kitu hutoishi kwa amani
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom