Omar Nundu is purposely misleading - on Wikileaks Airbus revelations

Huyu ni waziri wa aina yake sana,hana utaratibu wa kufanya utafiti yeye anakurupuka tu.Mfano ni suala la kusitisha mkataba wa Kampuni ya Majembe.Alifanya utafiti kiasi gani?mbona watz wengi hapa Bongo walikuwa wakiwakubali Majembe na usafiri ulikuwa umenza kidogo kuwa na hadhi hapa mjini?Sasa katurudisha hukohuko.Rubbish.

Ndugu zangu tusisahau kwamba hawa mawaziri wanatokana na wabunge wa ccm, ambao majority yao wameshapoteza umakini wao kwa kuweka chama mbele badala ya responsibilities zao.
Yeye badala ya kufanya research anaropoka ili? asikike kwamba amekanusha?
Halafu hawa ccm wana matatizo sana, wanadhanai kuwa kiongozi ni kukanusha kila kitu.
Wanapewa mamlaka ya kuitendaji wakini wanaendelea ku act kama wanasiasa majukwaani.
 
"Hayo ni maoni yake na sio msimamo wa serikali"....hii ndio Tz!

''mmeninukuu vibaya...mimi sijasema hivyo...nilichosema ni kuwa serikali bado inafanya uchunguzi kuhusu hizi tuhuma....vilevile vile yale yalikuwa maoni yangu binafsi...nimewaagiza takukuru wafanye uchunguzi haraka sana....hawa ndio mawaziri wa Jk
 
Haya mambo ya Tanzania yanaweza kuksababishia magonjwa usiyoyafahamu, kila siku is a joker after a joker. And yet hawajamaa unakuta wana misiviiiiii mirefu mirefu and this is their line of thinking.

Mi CV imejaa masemina na makongamano....no papers written
 
In his response, the transport minister said although he was not in the ministry at the time the processes were being implemented, "simple logic would tell you that Wikileaks revelations are not true."

"It does not make any sense to say Air Tanzania, which is financially constrained, could involve itself in negotiations for the purchase of airplanes worth billions of shillings. I was not there when these deals were being negotiated, but I know that even by that time, ATCL had no money to embark on large-scale purchasing," noted minister Nundu.


Sasa mikutano yote ile kati ya Mattaka,Chenge na Ubalozi ilikuwa uwongo pia? Huyu jamaa sawasawa kweli kichwani? Kwani si serikali ndiyo iliyotaka kununua hizo ndege kwa niaba ya ATCL?

Sijui viazi kama hawa wanapataje nyadhifa

Jiulize huyo anayewateua yupo vipi. Hapo ataacha kushangaa... Shame, shame, shame...
 
Omary Nundu ni zuzu, ni mtu anayewachukulia watanzania wa leo kama wa miaka ya 80's; waliokuwa un-informed, the only source of information was through RTD!!!

Wana CCM wamepoteza muelekeo, wameweka maslahi y achama mbele mpaka wanafikia hatua ya kuwa majuha!! Nundu needs to correct his words mambo yaende mbele la sivyo atazidi kuaibika...
 
Kama hatajisahihisha leo na weeekend hii tutamsaidia ajisahihishe j'tatu. Inshallah.

Mzee Mwanakijiji, naomba umpatie huyo anayeitwa MH NUNDU siku mbili, leo Ijumaa, na kesho Jumamosi ili ajirekebishe alichokisema. Asipofanya hivyo ugali na mboga yake umwagwe hapa jamvini.
Nakuaminia mzeee
 
Am I dreaming?! MAJEMBE? Gives us a break maana nao walikuwa wana abuse sana hiyo nafasi waliyokuwa nayo.
Can u imagine Majembe guys wanatishia kupiga watu barabarani na wengine kujifanya JUDOKA, SENSEI sijui nini!?
Good riddance..labda kama ni mji mwingine nje ya DSM.

Polisi na Majembe wote dugu moja.

Labda kama kuna tofauti ni dau wanalochukua polisi linatofautiana na majembe.

Polisi wao hata buku tu ukiwatoa wanakuachia unasepa lakini majembe wanakula mkwanja mrefu, na hapo ndio mwanzo wa chuki za madereva.

suala la judo na sensei hata polisi mbona wanajifunzia kwa raia mara kibao tu, hata juzi tu UBT asubuhi walimkunja mtanganyika mmoja pale kila mtu akamhurumia.

Hakuna cha majembe wala polisi mwenye afadhali kwa issue za usalama barabarani.
 
6th January 2011

NunduOmar%281%29.jpg

Transport Minister, Omari Nundu




He said Wikileaks corruption allegations in the deal were “illogical” because they cannot be proved, as ATCL had not managed to purchase new plane since then.

“It would have been easier to substantiate the validity of Wikileaks allegations if ATCL had acquired new airplanes. But Air Tanzania does not possess any new plane…that’s why I can say with certainty that the Wikileaks allegations are invalid, illogical and untrue, since they cannot be proved,” said Nundu.

Mhh!!! Safari hii CCM wameleta mtaalam wa LOGIC, kwa argument hizi huyu ni NYUMBU kwenye hesabu za LOGIC
 
Atakuja na statement kwamba hayo ni maoni yake na siyo ya serikali hawachelewi hawa
 
My Take:
I can speak with absolutely certainty that there is enough evidence supporting the US's diplomatic cable on the airbus issue. I hope he will reconsider restating his ministry's position before this evidence becomes public next week on JF's own expose!![/QUOTE]

It is very likely that the Minister knows little about this matter. If that is the case, he will definitely regret himself for making such comments publicly. This is the way our Government operates. It is not well coordinated; disintegrated. Two ministers from the same cabinet may make completely different statements on the same issue.
 
Huyu ni waziri wa aina yake sana,hana utaratibu wa kufanya utafiti yeye anakurupuka tu.Mfano ni suala la kusitisha mkataba wa Kampuni ya Majembe.Alifanya utafiti kiasi gani?mbona watz wengi hapa Bongo walikuwa wakiwakubali Majembe na usafiri ulikuwa umenza kidogo kuwa na hadhi hapa mjini?Sasa katurudisha hukohuko.Rubbish.
kama wewe si majembe beneficiary basi una matatizo kwenye ubongo wako? au haupo dar na hututakii mema.
 
Back
Top Bottom