Omar Nundu is purposely misleading - on Wikileaks Airbus revelations

Anaweza Nundu asiwe sawa kwa alichosema kwani ni maoni yake tu, lakini kwa wale wanaoshangaa inaonekana mpaka sasa wanashindwa kuelewa nini tofauti kati ya reliable sources na ambazo sio reliable. Kwa mfano hiyo wikileakes je ni reliable sourse, na kama jawabu ndio kwanini Mr asanje akamatwe. Wacheni kukurupuka nivyema kuyaelewa mambo kwanza baadae ndio unaweza kutoa mawazo yako na mawazo yako sio lazima yakubalike. Wikileakes ni nani? Wabongo amkeni

Mategemeo yangu makubwa yalikua kwamba utathibitisha credibilty ya wikileakes kama reliable source na badala yake umefungua mjadala mwingine kua mimi na mheshimiwa nundu we share a lot in common, so what? Nothing to do with central arguments.

Huyo mtu amesoma hapo bongo na nje huenda akawa anawafahamu wazungu kuliko unavyo wafahamu,. Unawaona wazungu wa maana sana wakati tokea vita kuu ya pili ya dunia 1945 mpaka leo sio Tanzania tu bali Africa nzima inasuffer. Baadae unaona kila linalosemwa na wazungu kua ni kweli. Tabu tulionayo wabongo ni kua hatupendi mtu ambae yuko serious tumeshazoea ubabaishaji.

The gay is strong and he knows what he is doing. Angalia qualification zake ndio utamjua ni nani au kwa sababu anaitwa omari ulitaka mpaka aitwe kinyanjui ndio ungejua ni mchapakazi. Ni vema akapewa taimu ili aparsue plan zake baadae tutamjua ni nani

Muheshimiwa M. Mwanakijiji, nimekuwa nafuatilia sana threads zako nyingi, na kwa kweli nakuvulia kofia kwa mchango wako murua na usiopendelea upande wowote. Hivyo basi nategemea mambo mazito kutoka kwako kuhusu hili suala la ATC na Wealeaks. Hapa nilipo bado ni J'TATU, kwa hiyo bado nasubiri makombora yako kuhusu kauli ya Waziri Nundu na hii SAGA ya ATC.
Taarifa nilizonazo za muheshimiwa Nundu ni kwamba, mpaka Nov. 2010 alikuwa President wa ICAO (International Civil Aviation Organization) shirika ambalo ni kitengo cha UN katika masuala ya usafiri wa Anga.


Kwa mujibu wa WIKIPEDIA, ICAO is a specialized agency of the United Nations, codifies the principles and techniques of international air navigation and fosters the planning and development of international air transport to ensure safe and orderly growth.


Hivyo basi sijui kati ya muheshimiwa O. Nundu na Wikileaks ni nani anasema ukweli. Lakini yote haya tunakuachia wewe mkuu.



What is your understanding of the terms:
1. Wikileaks
2. US diplomatic cables

Why do you think Wikileaks is not a reliable source?
 
Muheshimiwa M. Mwanakijiji, nimekuwa nafuatilia sana threads zako nyingi, na kwa kweli nakuvulia kofia kwa mchango wako murua na usiopendelea upande wowote. Hivyo basi nategemea mambo mazito kutoka kwako kuhusu hili suala la ATC na Wealeaks. Hapa nilipo bado ni J'TATU, kwa hiyo bado nasubiri makombora yako kuhusu kauli ya Waziri Nundu na hii SAGA ya ATC.
Taarifa nilizonazo za muheshimiwa Nundu ni kwamba, mpaka Nov. 2010 alikuwa President wa ICAO (International Civil Aviation Organization) shirika ambalo ni kitengo cha UN katika masuala ya usafiri wa Anga.


Kwa mujibu wa WIKIPEDIA, ICAO is a specialized agency of the United Nations, codifies the principles and techniques of international air navigation and fosters the planning and development of international air transport to ensure safe and orderly growth.


Hivyo basi sijui kati ya muheshimiwa O. Nundu na Wikileaks ni nani anasema ukweli. Lakini yote haya tunakuachia wewe mkuu.

kwani katika maelezo yake alikuwa anazungumzia mambo ya ICAO?
 
Anaweza Nundu asiwe sawa kwa alichosema kwani ni maoni yake tu, lakini kwa wale wanaoshangaa inaonekana mpaka sasa wanashindwa kuelewa nini tofauti kati ya reliable sources na ambazo sio reliable. Kwa mfano hiyo wikileakes je ni reliable sourse, na kama jawabu ndio kwanini Mr asanje akamatwe. Wacheni kukurupuka nivyema kuyaelewa mambo kwanza baadae ndio unaweza kutoa mawazo yako na mawazo yako sio lazima yakubalike. Wikileakes ni nani? Wabongo amkeni

Jibu wewe mwenyewe..otherwise kaa chini.
 
Mategemeo yangu makubwa yalikua kwamba utathibitisha credibilty ya wikileakes kama reliable source na badala yake umefungua mjadala mwingine kua mimi na mheshimiwa nundu we share a lot in common, so what? Nothing to do with central arguments.

Huyo mtu amesoma hapo bongo na nje huenda akawa anawafahamu wazungu kuliko unavyo wafahamu,. Unawaona wazungu wa maana sana wakati tokea vita kuu ya pili ya dunia 1945 mpaka leo sio Tanzania tu bali Africa nzima inasuffer. Baadae unaona kila linalosemwa na wazungu kua ni kweli. Tabu tulionayo wabongo ni kua hatupendi mtu ambae yuko serious tumeshazoea ubabaishaji.

The gay is strong and he knows what he is doing. Angalia qualification zake ndio utamjua ni nani au kwa sababu anaitwa omari ulitaka mpaka aitwe kinyanjui ndio ungejua ni mchapakazi. Ni vema akapewa taimu ili aparsue plan zake baadae tutamjua ni nani

Hivi Nundu ni gay?? asenti kwa kutujuza.

Halafu qualifications zake ndio tuzisabustitute na ukweli? Just an example..hivi kuna wangapi miongoni mwetu waliokuwa wanamzidi Dr.Ballali kwa qualifications na experience? Sasa angalia madudu aliyoyafanya alipokuwa gavana wa BoT.
 
Muheshimiwa M. Mwanakijiji, nimekuwa nafuatilia sana threads zako nyingi, na kwa kweli nakuvulia kofia kwa mchango wako murua na usiopendelea upande wowote. Hivyo basi nategemea mambo mazito kutoka kwako kuhusu hili suala la ATC na Wealeaks. Hapa nilipo bado ni J'TATU, kwa hiyo bado nasubiri makombora yako kuhusu kauli ya Waziri Nundu na hii SAGA ya ATC.
Taarifa nilizonazo za muheshimiwa Nundu ni kwamba, mpaka Nov. 2010 alikuwa President wa ICAO (International Civil Aviation Organization) shirika ambalo ni kitengo cha UN katika masuala ya usafiri wa Anga.


Kwa mujibu wa WIKIPEDIA, ICAO is a specialized agency of the United Nations, codifies the principles and techniques of international air navigation and fosters the planning and development of international air transport to ensure safe and orderly growth.


Hivyo basi sijui kati ya muheshimiwa O. Nundu na Wikileaks ni nani anasema ukweli. Lakini yote haya tunakuachia wewe mkuu.

Please let me correct some comments in this thread. Wikileaks as an organization hawajasema kitu chochote. What they did is "leak" cable communication between US Missions worldwide and the State Department. Wale wanaotoa comments kuwa Wikileaks waprove hiki au kile, they are mislead to believe that Wikileaks as an organization made these comments. All that is written was said in a series of regular communication between a US Mission in Dar and Washington. Honourable Nundu is therefore suggesting that somehow the US Embassy staff was sending lies about Tanzania/ATCL to their bosses in Washington, something which sounds more ridiculous than I can imagine. For what purpose/gain would the Embassy staff in Dar es Salaam send the so-called lies to Washington? What would be the objective? How would they defend the lies when querries are raised by the State Department in Washington? Like I said earlier, Nundu is one of those old guards who have been caught in the old ways - if caught in a lie, lie again to get yourself out of the current situation ....until you get caught again. In today's world this doesn't work and they have no idea of how to change with the times. Time has come for them.
 
kwani katika maelezo yake alikuwa anazungumzia mambo ya ICAO?
La hasha MM, Mr. Nundu hakuwa anaongelea mambo ya ICAO. Isipokua kwa mtazamo wangu mimi ni kwamba, yeye kama aliyekuwa President wa hilo shirika la UN (ICAO) wakati ule na ambalo linashughulika na mambo yanayohusu ndege za kiraia duniani, nadhani alikuwa kwenye position nzuri ya kujua yaliyokuwa yanatokea ATC, hata kama ICAO hawana sheria ya kuingilia mambo yanayohususu Sovereign States................... I might be wrong though.


 
La hasha MM, Mr. Nundu hakuwa anaongelea mambo ya ICAO. Isipokua kwa mtazamo wangu mimi ni kwamba, yeye kama aliyekuwa President wa hilo shirika la UN (ICAO) wakati ule na ambalo linashughulika na mambo yanayohusu ndege za kiraia duniani, nadhani alikuwa kwenye position nzuri ya kujua yaliyokuwa yanatokea ATC, hata kama ICAO hawana sheria ya kuingilia mambo yanayohususu Sovereign States................... I might be wrong though.



kwa sababu umeunganisha suala la ICAO na ununuzi wa Airbus
 
Sijui tumpe muda ajisahihishe au tumuoneshe kuwa amekurupuka bila kuchunguza kwa karibu; anafikiri kweli US wangeweza kusema walichokisema pasipo kuwa na uhakika?

MMKJ, Tupo nyuma kimaendeleo miaka 50, hatuna muda wa kumpa mtu kujisahihisha, Mwenye mbuyu amwage ASAP.
Tumechoshwa na ghiliba za kisiasa.
 
Na juzi tu Rostam katoka Singapore kutuletea wawekezaji wa ndege...sijui TIC wanafanya nini...my take huyu nae ni implant ya Rostam kama Ngeleja
 
Kama ni logic hapa Nundu hazijui logic, kwenye leaks anatajwa Chenge,Mataka na Mkuu akijifanya kuleta unafiki wake so if u start weighting the logic from thea hao wote wezi tu sasa unategemea wanapokuwa wanapoliwakilisha taifa kwenye mradi watafanya nini zaidi ya kujitafutia vijisent kwanza.

About financing it is well said in the leaks that they were also expecting the supplier to help on the issue to get funds for the purchase.

Ni kweli hawakuwa na hela but plans were there to get the funds, cha ajabu mipango ya wizi ilikuwa mbele hata kabla hawajajua kama hela itapatikana ama vipi.

Hivyo anachotumia Nundu ni mbinu zile zile za kukana lawama/tuhuma kama uongozi uliopo ulivyozoea kufanya.
 
Sijui tumpe muda ajisahihishe au tumuoneshe kuwa amekurupuka bila kuchunguza kwa karibu; anafikiri kweli US wangeweza kusema walichokisema pasipo kuwa na uhakika?

Tatizo lake amejenga mitizamo hasi hata kama kitu kinaonekana ni cheusi yeye atakimbilia kusema ni cheupe kama theruji...
 
Niliwahi kuandika wakati fulani huko nyuma kuwa tuna tatizo kubwa sana katika kujenga hoja kiasi cha kunifanya niandae somo la bure tu la msingi na ufundi wa kujenga hoja. Sasa huyu tunaambiwa ni msomi na hii ni hoja anayoijenga:
It would have been easier to substantiate the validity of Wikileaks allegations if ATCL had acquired new airplanes. But Air Tanzania does not possess any new plane…that's why I can say with certainty that the Wikileaks allegations are invalid, illogical and untrue, since they cannot be proved

Kwamba, the validity ya arguments za wikileaks zingeweza kuoneshwa kwa ATCL kuwa na ndege za airbus. Lakini anasema kwa uhakika kuwa ATCL does not have any new plane! Sasa sijui aliikuwa wapi wakati ATCL inanunua Airbus 320! ambayo tuliipigia kelele humu!!
 
6th January 2011

NunduOmar%281%29.jpg

Transport Minister, Omari Nundu




In his response, the transport minister said although he was not in the ministry at the time the processes were being implemented, "simple logic would tell you that Wikileaks revelations are not true."

"It does not make any sense to say Air Tanzania, which is financially constrained, could involve itself in negotiations for the purchase of airplanes worth billions of shillings. I was not there when these deals were being negotiated, but I know that even by that time, ATCL had no money to embark on large-scale purchasing," noted minister Nundu.

He said Wikileaks corruption allegations in the deal were "illogical" because they cannot be proved, as ATCL had not managed to purchase new plane since then.

"It would have been easier to substantiate the validity of Wikileaks allegations if ATCL had acquired new airplanes. But Air Tanzania does not possess any new plane…that's why I can say with certainty that the Wikileaks allegations are invalid, illogical and untrue, since they cannot be proved," said Nundu.



Huyu nicampoon kwelikweli....Mattaka amekaririrwa na kasema mpango wa kununua ndege Airbus umesimamishwa(pengine baada ya mkawara wa Boeing)...yeye anasema haukuwepo...yaani mpaka ndege ziwe physically zimenunuliwa ndio kuwepo uewezekano wa rushwa?
 
If the wikileaks claims are untrue and illogical.then let the minister give us the true and logical explananations.denying without giving us plausible explanations also sound illogical and proposterous.after all, denying the allegations is a common practice among many politicians.kama wikileaks wamedanganya, why not open charges in the international criminal court for defaming our country?
 
Tatizo lake amejenga mitizamo hasi hata kama kitu kinaonekana ni cheusi yeye atakimbilia kusema ni cheupe kama theruji...

Kwanza nisahihishe kauli yangu kwa kumuita muheshimiwa "gay" nilikusudia "guy" sorry kwa matatizo yoyote niliosababisha.

Tatizo la ndugu wengi ni kushindwa kutofautisha kati ya reliable sources ktk habari na ambazo sio reliable source. Kwa kawaida mpaka sasa hakuna uhakika wowote kua wikileaks kila anchosema ni ukweli na huwezi kutumia ushahidi wa wikileaks mahakamani kumshitaki mtu au kumtakasha mtu.

Sasa kama tunakubaliana hivyo basi kinachotokea ni kua habari za wikileaks bado zinabaki ni story za mitaani na uhuni tu. Kwa wale wanaofahamu politics wanajua vizuri jinsi ya kukabiliana na taarifa kama hizo na kwa wale rafiki zangu ambao bado wana kasumba za mkoloni bado wanaamini kua kila anachosema mzungu kua ni kweli.
 
Kwanza nisahihishe kauli yangu kwa kumuita muheshimiwa "gay" nilikusudia "guy" sorry kwa matatizo yoyote niliosababisha.

Tatizo la ndugu wengi ni kushindwa kutofautisha kati ya reliable sources ktk habari na ambazo sio reliable source. Kwa kawaida mpaka sasa hakuna uhakika wowote kua wikileaks kila anchosema ni ukweli na huwezi kutumia ushahidi wa wikileaks mahakamani kumshitaki mtu au kumtakasha mtu.

Sasa kama tunakubaliana hivyo basi kinachotokea ni kua habari za wikileaks bado zinabaki ni story za mitaani na uhuni tu. Kwa wale wanaofahamu politics wanajua vizuri jinsi ya kukabiliana na taarifa kama hizo na kwa wale rafiki zangu ambao bado wana kasumba za mkoloni bado wanaamini kua kila anachosema mzungu kua ni kweli.



Tafadhali mkuu naomba majibu ya hayo maswali hapo chini:


What is your understanding of the terms:
1. Wikileaks
2. US diplomatic cables

Why do you think Wikileaks is not a reliable source?
 
Tafadhali mkuu naomba majibu ya hayo maswali hapo chini:


What is your understanding of the terms:
1. Wikileaks
2. US diplomatic cables

Why do you think Wikileaks is not a reliable source?

Wikileaks ni organization ya kimataifa ambayo inatangaza zinazoitwa habari za siri

US diplomatic cable ni mawasiliano kati ya US state department na mission za kidiplomasia duniani.

Sidhani mimi kua sio reliable sourse watu wenye akili za kutulia sio wa kukurupuka ndio wanadhani hivyo lakin ukitaka kujua msimamo wangu mimi inabidi unione na utalipia sio bure kwani msimamo wangu una thamani. Sasa sikiliza vichwa "The preliminary analysis showed that Julian Assange's resource doesn't pose any threat to Russia, - Then a broad hint followed - told Russian online newspaper Life News an expert from Information Security Center of Russian Federation Security Service. Then a broad hint followed - the Security Service representative said: "It should be understood that it [the site] can be made unavailable forever, if there is a relevant team and a wish to do this".

Moreover, Russian experts doubt the quality of many Wikileaks' materials.

"More than 40% of information posted there, can be found elsewhere in the Web" - the expert said. "Classification labels were put on the latest materials by Wikileaks members themselves, which means there are wide opportunities of the documents' falsification".
Azima mawani kama huna usome hizosehemu bold vizuri
 
Wikileaks ni organization ya kimataifa ambayo inatangaza zinazoitwa habari za siri

US diplomatic cable ni mawasiliano kati ya US state department na mission za kidiplomasia duniani.

Sidhani mimi kua sio reliable sourse watu wenye akili za kutulia sio wa kukurupuka ndio wanadhani hivyo lakin ukitaka kujua msimamo wangu mimi inabidi unione na utalipia sio bure kwani msimamo wangu una thamani. Sasa sikiliza vichwa "The preliminary analysis showed that Julian Assange's resource doesn't pose any threat to Russia, - Then a broad hint followed - told Russian online newspaper Life News an expert from Information Security Center of Russian Federation Security Service. Then a broad hint followed - the Security Service representative said: "It should be understood that it [the site] can be made unavailable forever, if there is a relevant team and a wish to do this".

Moreover, Russian experts doubt the quality of many Wikileaks' materials.

"More than 40% of information posted there, can be found elsewhere in the Web" - the expert said. "Classification labels were put on the latest materials by Wikileaks members themselves, which means there are wide opportunities of the documents' falsification".
Azima mawani kama huna usome hizosehemu bold vizuri



A bragging "great thinker" who can't think for him/herself?!! Sorry, you don't worth my next post, bye!
 
Wikileaks ni organization ya kimataifa ambayo inatangaza zinazoitwa habari za siri

US diplomatic cable ni mawasiliano kati ya US state department na mission za kidiplomasia duniani.

Sidhani mimi kua sio reliable sourse watu wenye akili za kutulia sio wa kukurupuka ndio wanadhani hivyo lakin ukitaka kujua msimamo wangu mimi inabidi unione na utalipia sio bure kwani msimamo wangu una thamani. Sasa sikiliza vichwa "The preliminary analysis showed that Julian Assange's resource doesn't pose any threat to Russia, - Then a broad hint followed - told Russian online newspaper Life News an expert from Information Security Center of Russian Federation Security Service. Then a broad hint followed - the Security Service representative said: "It should be understood that it [the site] can be made unavailable forever, if there is a relevant team and a wish to do this".

Moreover, Russian experts doubt the quality of many Wikileaks' materials.

"More than 40% of information posted there, can be found elsewhere in the Web" - the expert said. "Classification labels were put on the latest materials by Wikileaks members themselves, which means there are wide opportunities of the documents' falsification".
Azima mawani kama huna usome hizosehemu bold vizuri

Muzee u r just making an a$$ of yourself.

Hivi hao warussia nao sio wazungu? maana umeonesha kama unapinga wikileaks kwa sababu ya 'uzungu'. Inavoonekana wewe una maslahi na hii taarifa, ila kumbuka enzi ya kudanganya umma imeshapita. Wikileaks is not a source FYI, it just collects infos throughout the world, ikiwemo US Cables. Hivo sio ishu hizo taarifa kuepo kwinginewe.
 
Back
Top Bottom