Ole wao wanaotazama sex (chonda)

Ole wao wanaotazama sex (chonda)

Fanya mashara Allah watu kama nyie mnaomjaribu anakutakeni haswa

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakuambia, kawatishe haoooo sio mimi. Nakuambia, tutaziangaliaaaa mpaka macho yapofuke na pepo tutaingia na mabikra 72 tunao, Acha ushamba kujimyima mema ya nchi hii. Tukose pesa na vibinti tuvikose kisa ati tunaogopeshwa. Haya, weye ngujea wajao sisi tunajifunzia hapa. Usende kununua gari huku unategemea dereva wa kukodi
 
Mtume anaona mbali kuliko ww kikaragosi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa matusi ya nn? Mm ni muslim safi pengine kukushinda wewe.....nijibu kwa hoja....usipindishe AYAA au hadithi za mtume kwa unavyodhani wewe...nimekuuliza wakati wa mtume kulikuwa na TV? NA WATU walikuwa wanaangalia PORN MOVIES?kuangalia SEX ni haramu.....lakini hiyo ZINAA YA JICHO ni KUMWANGALIA mwanamke ukafikia hata kumtamani na si vinginevyo....km kitu hujuwi USIKILETE humu....SOMA dini UIELEWE....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nature naipenda Sana haina ubaguzi wewe uneyejifanya una moyo msafi kuliko wenzio kwa kudanganywa na hayo maandiko Nature haikutofautishi na yule ambaye hata hana habari kama kuna hizo imani zenu Nature itawararua wote kwa namna ile ile na kwa gadhabu ileile.
 
Mi hiyo kitu imeniathili sana na hata sijui nifanyeje ili niache, halafu napenda zaidi kuangaliaga shemales wenye matako makubwa wakibanjuliwa!
Mkuu hivi shemales huwa ni kusadikika ama wapo kabisa watu "dizaini" hiyo tena kwa wingi wa kutisha?
Maana hapa Tz niliwahi kusikia habari kama hiyo ya dumejike kimzahamzaha mara moja tu.
Sasa cha kushangaza, hao wote wanaorekodiwa kwa mamia kama si maelfu, huwa wanakusanywaje?
Hili nalo ni kitendawili kusema kweli.
 
Wewe ni Mzee wa Bangbros
Au brazzers, bwana Manuela ferara naye anayararuaga marinda hatari
 
Ole wenu na nyinyi maana nyie mliokuwa hamjasilimu ndo mbaya zaid sisemi kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bahati mbaya kwamba Adamu na Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)
 
Ni kitu gani kinachotufanya wanaume kuoa wanawake?
Huwa tunafungwa vitambaa machoni wakati wa kuchagua mwenza?
Lazima mwanaume upate tamaa, tena ile tamaa "kali" ya kuzini na mwanamke na kummiliki kwa upendo wa dhati kabisa.
Kupenda na kutamani ni "mtu na dadayake" Hauwezi kupenda bila kutamani.
Ni tamaa pekee ambayo humsukuma mtu kupenda na kufikia maamuzi ya kuoa.
Kumwangalia nwanamke kwa tamaa ni maumbile na ni burudani kubwa sana kwa mwanaume yeyote. Ni jambo lisilokinaisha kama tusivyokinaishwa kula chakula, ni maisha.
Pia ni fahari na raha sana kwa wanawake kuona majaliwa waliyopewa na M/Mungu yanawapelekea wanaume wawatamani na kuwatongoza kwa kuwabembeleza.
Kuzini ovyoovyo yaweza kuwa dhambi, lakini hili la kuangalia mwanamke kwa matamanio haiwezi kuwa dhambi hata siku moja. Dhambi kwa mzania wa kosa gani?
Hoja yoyote inayopingana na asili ya maumbile kwa kisingizio cha dhambi ni uongo wa mchana kweupe.
Wapi mtume amehimiza kuwatazama wanawake kwa jicho la tamaa? MTUME amekataza KUTAZAMA MWANAMKE AMBAYE sio HALALI KWETU...mwanamke HUPASWI KUMWANGALIA KWA JICHO LA NDNI....nenda ichi za KIISLAM kama utamwona mwanamke na kumtamani ..WANAWAKE wote wamevaa mavazi ambayo HUWEZI KUMTAMANI hata siku moja. Na HAPO UKITAKA KUOA NDY UNAPEKELA POSA anafunuwa kilemba UMWONE MACHO TU....na si VINGINEVYO......mwanamke UNAPOMTAZAMA kwa jicho la kwanza....unapaswa kuangalia UPANDE MWINGINE...juwa ni HARAMU kumgusa...kuwa na mwanamke FARAGHA...hata kumshika mkono...pia HARAMU...PENGINE nadhani UNAZUNGUMZIA wanawake hawa AKINA WEMA SEPETU...wanaotembea VITOVU NJE....LAKINI....mwanamke aliye na DINI huwezi KUMWANGALIA mpaka UKATAMANI..sababu huna UTAKACHOKIONA kikakutamanisha...kuanzia UNYAYO hadi NYWELE ZAKE zimefunikwa....ni wapi UTAMTAZAMA UTAMANI?nimekaa PAKISTAN miaka 3 sijaona JICHO LA MWANAMKE.....au UNYAYO wa mwanamke..utatamani kitu GANI?msipende KUPOTOSHA WATU......NI HARAMU kumwangalia MWANAMKE ambaye SI HALALI kwako....jicho lako likitazama kwa bahati mbaya unapaswa USILIPELEKE TENA UPANDE ULE....na hilo NDY MNALIKWEPA ...mnaleta mambo ya PORN MOVIE.....hapo POINT NI KUMWANGALIA MSICHANA...ukatamani....kwani hujawahi kuona mwanaume anamtazama MWANAMKE hadi ANAFANYA NAE MAPENZI kwa macho tu?hadi UNAJIRIDHISHA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amelaaniwa kila anaetizama picha za sex hata kama hatendi yeye
Hadithi ya Mtume wa Allah -rehma za Allah na amani zimshukie- kuwa "zinaa ya jicho ni kuangalia". Imepokewa na Imam Bukhari, Muslim na wengineo. Na wenye wamesema hapana tafauti baina ya kuangalia yaliyo haramu moja kwa moja au kupitia kioo cha TV, pazia la sinema, n.k.

Amelaaniwa kila anaetizama picha za sex hata kama hatendi yeye .kuna binti mmoja ambae alikuwa mtoto mwema kipindi cha sala hakimpiti anasifikana kwa tabia nzuri .siku yake ilifika ya kuaga dunia kwani hakika kila nafsi itaonja mauti wakazika. Kuna kijana alipoteza pochi yake ambayo ilikuwa ina kadi zake muhimu na ni katika walioingia ndani ya kaburi kuzika kwa hiyo wasiwasi wake mkubwa ni kuwa pochi imemdondoka mule ,wakaulizia kuwa inafaa kwenda kufukua jibu likawa ndio ikiwa una uhakika ni humo na vitu muhimu kwa hiyo wakenda na kaka wa marehemu ,wakachimba na humo ndani waliliona bonge la joka limemzonga marehemu walishtushwa sana na kukimbia, kaka wa marehemu alistajabishwa sana kuona mambo yale wakati dada ake alikuwa mcha Mungu ikabidi amfuate shekhe kujua sababu, shehe nae akauliza maswali yake na majibu yote yalikuwa mazuri mfano alikuwa akijistiri, anasali. Basi ikabiri aamuru kusachiwa chumba chake, chumba hakikuönekana vitu vya ajabu ila kulikuwa na cd ambaze shehe akaamuru zitiwe kwenye tv yake humo chumbani , matokeo ni kwamba zile cd ni za mambo machafu za x kwa hiyo shehe akawaeleka hii ndio kazi ya mtoto wenu aliyokuwa akiifanya na sababu ya joka kaburini ndio hii. NDUGU YANGU MUISLAM KUMBUSHA KWANI HII SMS UTAPOITUMA HUWEZIJUA MATUNDA MAZURI UTAKAYOKWENDA KUJIVUNIA KESHO. Jamani jamani hata kutizama picha za uchi tu wa mwanamke na mwanamme haifai. KWA HIYO TUTUMIENI SIMU ZETU KWA KUELIMISHANA NA SIO KUPOTOSHANA KWA KUZANI KUWA TUNACHEKESHANA. ALLAH NDIE ATAKAE KULIPA INSHAALLAH

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sasa huyo njoka yeye hana dhambi,,mpaka amzingire marehem..Kwanza alifaidika na nini wakati marehem hat hana fahamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama target ya ujumbe wako ilikuwa ni kwa Ndugu zako Waislam ni kwanini hujawaasa misikitini au uwatumie jumbe za Whatsapp?

Unatuandikia tusome sisi tusio ndugu zako kwa maana ipi?

Karibu,
 
Alifanya hakufanya na mtoto wa miaka 9 huo si ni ubakaji ,mbona hampendi amniwa ukweli,,yaan mafundisho yote yamejaa ngono ngono tu loo,,mi dini zenu nishawaachia nyie
Ni kweli Alimbaka mtoto aliyeitwa Aisha.
 
Back
Top Bottom