Petabyte186
Member
- Jul 10, 2017
- 91
- 36
Amelaaniwa kila anaetizama picha za sex hata kama hatendi yeye
Hadithi ya Mtume wa Allah -rehma za Allah na amani zimshukie- kuwa "zinaa ya jicho ni kuangalia". Imepokewa na Imam Bukhari, Muslim na wengineo. Na wenye wamesema hapana tafauti baina ya kuangalia yaliyo haramu moja kwa moja au kupitia kioo cha TV, pazia la sinema, n.k.
Amelaaniwa kila anaetizama picha za sex hata kama hatendi yeye .kuna binti mmoja ambae alikuwa mtoto mwema kipindi cha sala hakimpiti anasifikana kwa tabia nzuri .siku yake ilifika ya kuaga dunia kwani hakika kila nafsi itaonja mauti wakazika.
Kuna kijana alipoteza pochi yake ambayo ilikuwa ina kadi zake muhimu na ni katika walioingia ndani ya kaburi kuzika kwa hiyo wasiwasi wake mkubwa ni kuwa pochi imemdondoka mule ,wakaulizia kuwa inafaa kwenda kufukua jibu likawa ndio ikiwa una uhakika ni humo na vitu muhimu kwa hiyo wakenda na kaka wa marehemu ,wakachimba na humo ndani waliliona bonge la joka limemzonga marehemu walishtushwa sana na kukimbia, kaka wa marehemu alistajabishwa sana kuona mambo yale wakati dada ake alikuwa mcha Mungu ikabidi amfuate shekhe kujua sababu, shehe nae akauliza maswali yake na majibu yote yalikuwa mazuri mfano alikuwa akijistiri, anasali.
Basi ikabiri aamuru kusachiwa chumba chake, chumba hakikuönekana vitu vya ajabu ila kulikuwa na cd ambaze shehe akaamuru zitiwe kwenye tv yake humo chumbani , matokeo ni kwamba zile cd ni za mambo machafu za x kwa hiyo shehe akawaeleka hii ndio kazi ya mtoto wenu aliyokuwa akiifanya na sababu ya joka kaburini ndio hii.
NDUGU YANGU MUISLAM KUMBUSHA KWANI HII SMS UTAPOITUMA HUWEZIJUA MATUNDA MAZURI UTAKAYOKWENDA KUJIVUNIA KESHO. Jamani jamani hata kutizama picha za uchi tu wa mwanamke na mwanamme haifai. KWA HIYO TUTUMIENI SIMU ZETU KWA KUELIMISHANA NA SIO KUPOTOSHANA KWA KUZANI KUWA TUNACHEKESHANA. ALLAH NDIE ATAKAE KULIPA INSHAALLAH
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadithi ya Mtume wa Allah -rehma za Allah na amani zimshukie- kuwa "zinaa ya jicho ni kuangalia". Imepokewa na Imam Bukhari, Muslim na wengineo. Na wenye wamesema hapana tafauti baina ya kuangalia yaliyo haramu moja kwa moja au kupitia kioo cha TV, pazia la sinema, n.k.
Amelaaniwa kila anaetizama picha za sex hata kama hatendi yeye .kuna binti mmoja ambae alikuwa mtoto mwema kipindi cha sala hakimpiti anasifikana kwa tabia nzuri .siku yake ilifika ya kuaga dunia kwani hakika kila nafsi itaonja mauti wakazika.
Kuna kijana alipoteza pochi yake ambayo ilikuwa ina kadi zake muhimu na ni katika walioingia ndani ya kaburi kuzika kwa hiyo wasiwasi wake mkubwa ni kuwa pochi imemdondoka mule ,wakaulizia kuwa inafaa kwenda kufukua jibu likawa ndio ikiwa una uhakika ni humo na vitu muhimu kwa hiyo wakenda na kaka wa marehemu ,wakachimba na humo ndani waliliona bonge la joka limemzonga marehemu walishtushwa sana na kukimbia, kaka wa marehemu alistajabishwa sana kuona mambo yale wakati dada ake alikuwa mcha Mungu ikabidi amfuate shekhe kujua sababu, shehe nae akauliza maswali yake na majibu yote yalikuwa mazuri mfano alikuwa akijistiri, anasali.
Basi ikabiri aamuru kusachiwa chumba chake, chumba hakikuönekana vitu vya ajabu ila kulikuwa na cd ambaze shehe akaamuru zitiwe kwenye tv yake humo chumbani , matokeo ni kwamba zile cd ni za mambo machafu za x kwa hiyo shehe akawaeleka hii ndio kazi ya mtoto wenu aliyokuwa akiifanya na sababu ya joka kaburini ndio hii.
NDUGU YANGU MUISLAM KUMBUSHA KWANI HII SMS UTAPOITUMA HUWEZIJUA MATUNDA MAZURI UTAKAYOKWENDA KUJIVUNIA KESHO. Jamani jamani hata kutizama picha za uchi tu wa mwanamke na mwanamme haifai. KWA HIYO TUTUMIENI SIMU ZETU KWA KUELIMISHANA NA SIO KUPOTOSHANA KWA KUZANI KUWA TUNACHEKESHANA. ALLAH NDIE ATAKAE KULIPA INSHAALLAH
Sent using Jamii Forums mobile app