Ole wao wanaotazama sex (chonda)

Ole wao wanaotazama sex (chonda)

Kipindi HIV inaiingia kwenye nchi zetu za kiafrika, waliopata maambukizi wengi walikufa kwasababu ya vitisho viliyowasababishia ugonjwa wa hofu.
Inatosha tu kuwaambia watu si vyema au si maadilii mema kutazama video za ngono, kuliko hivi vitisho visivyokuwa na msingi. Waafrika wengi hatujui mambo mengi kwasababu ya vitisho visivyokuwa na tija. Mambo mengi sana yanasemwa kwa vitisho na unknown nyingi nyingi.
 
Mi hiyo kitu imeniathili sana na hata sijui nifanyeje ili niache, halafu napenda zaidi kuangaliaga shemales wenye matako makubwa wakibanjuliwa!
 
Hivi wakati wa MTUME kulikuwa na TV? nadhani HIYO ZINAA YA JICHO iliyozungumzwa na MTUME MUHAMAD(SAW) ni JICHO LA KUTAMANI..kumwangalia MWANAMKE ambaye SIO MKEO kwa JICHO LA KUMTAMANI....na sio VINGINEVYO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwarabu na mzungu aliharibu kabisa kizazi cha Africa..imani ya kuamini hiki haipo,haya ni mambo ya kutishana tu na hayana ukweli wowote.ni hadithi ya kuwaweka watu sawa ili wastarabiane kwa kutengeneza hofu kua kuna maisha baada ya kifo

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Hakutomba mtoto wa miaka 9??
kuna tofauti kubwa kati binadamu na mnyama. Binadamu ana utashi mnyama hana. Lakini baadhi ya wanyama ni bora kuliko wanadamu na kwenye key board unaweza kuwa hodari sana lakini itakuja siku utakumbuka dharau zao na ni karibuni. We endelea tu .......
 
Hivi kweli weye waona kuwa hii nayo ni kitu ya kuleta humu?? Joka lilikuwa linamfanyaje marehemu tena ambaye udongo tani saba uu juu yake?? Lilimzingiraje?? Mengine tafteni wa kuogofisha ila si wote. Hao wanawake haki yao ila mimi nimeahidiwa mabikra 72 hukooooo
Baada ya kaburi kufukiwa mchanga kwa marehem linageuka chumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nisomapo mafundisho, kila nisikilizapo mawaidha huwa ni ya vitisho kwa kwenda mbele.
Hivi maiti, kaburi, sijui majoka ya kutisha! Mambo ya duniani yote hayo yanahusianaje na adhabu ya marehemu mtenda dhambi ambaye sasa baada ya kufariki anasubiria hukumu ya khiama?
M/Mungu wa haki awezaje kuadhibu mara mbilimbili?
Mafundisho yenu mara nyingi yanakanganya ni ya kusadikika hayahojiki ili kupata ukweli dhahiri usiotia shaka.
Ni vitisho, vitisho, vitisho kwa kwenda mbele.
Allah anatoa adhabu sehemu tano. ukifa, ukizikwa, kaburini na siku ya kiama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom