johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,957
Mkuu wa mkoa wa Njombe mh Ole Sendeka amewataka wabunge wa upinzani kusoma alama za nyakati na kujisalimisha CCM kwa haraka maana hakuna muda wa kupoteza.
Sendeka amesema mzee Lowassa mwaka 2015 alishatabiri kuwa wapinzani itawabidi wasubiri kwa muda wa miaka 50 ndio wataanza kusikika tena na muda huo unaanzia uchaguzi mkuu wa 2020.
Kadhalika Ole Sendeka amewataka wabunge wa Chadema kupiga picha za kumbukumbu kwenye zulia jekundu la bunge za kuwaonyesha wajukuu zao kwani kuanzia mwakani bunge watalishuhudia luningani.
Chanzo: EATV habari
Maendeleo hayana vyama!
Sendeka amesema mzee Lowassa mwaka 2015 alishatabiri kuwa wapinzani itawabidi wasubiri kwa muda wa miaka 50 ndio wataanza kusikika tena na muda huo unaanzia uchaguzi mkuu wa 2020.
Kadhalika Ole Sendeka amewataka wabunge wa Chadema kupiga picha za kumbukumbu kwenye zulia jekundu la bunge za kuwaonyesha wajukuu zao kwani kuanzia mwakani bunge watalishuhudia luningani.
Chanzo: EATV habari
Maendeleo hayana vyama!