Mtoto wa tembo
Senior Member
- Oct 4, 2012
- 198
- 30
nianze na huyu mbunge wa Babati mjini hajawahi sisikika wala kuonekana bungeni kwa muda mrefu sana.
jimboni kwake pia mpaka wamemsahau na wanajuta kumpa nafasi ya uwakilishi.
watu wanadhulumiwa Babati mjini kwenye suala la ardhi ,huduma za hospitali mbaya sana ,jeshi la polisi kunyanyasa raia,miundo mbinu mibovu sijui upo kwa viigezo vipi hapo njengoni.
kweli utakuja kwa sera zipi next time kuwaomba kura watu wako??
nimetoka mererani kikazi huwezi amini maji ya kuoga ilibidi mmiliki wa hiyo hoteli apigiwe simu kutoka mjini ndipo atoe agizo kua maji yakanunuliwe KIA ambapo ni umbali wa kilomita kama ishirini na tano.
mji wa mererani ni maarufu kwa madini aina ya Tanzanite ambayo hayapatikani sehemu yoyote hapa duniani zaidi ya hapo mererani.
tatizo la maji ni kubwa sana,kwa ujumla hata mabomba hayapo ardhini,inamaana toka MUNGU aumbe dunia wananchi wa kule hawajawahi ona maji ya bomba.
Ole Sendeka una laana ya watu wa mererani na sijui utakuja kwa staili gani kuomba kura.
wana wa MTWARA msikubali gesi kutoka huko mpaka mpewe uhakika wa nyie kufaidi kwanza.
mfano mwingine mzuri ni machimbo ya dhahabu na almasi kule shinyanga na mkoa wa Mara kwa ujumla,wameachiwa mahandaki hata mchanga wawekezaji wameondoka nao.
MTWARA komaeni mpaka mwisho.
jimboni kwake pia mpaka wamemsahau na wanajuta kumpa nafasi ya uwakilishi.
watu wanadhulumiwa Babati mjini kwenye suala la ardhi ,huduma za hospitali mbaya sana ,jeshi la polisi kunyanyasa raia,miundo mbinu mibovu sijui upo kwa viigezo vipi hapo njengoni.
kweli utakuja kwa sera zipi next time kuwaomba kura watu wako??
nimetoka mererani kikazi huwezi amini maji ya kuoga ilibidi mmiliki wa hiyo hoteli apigiwe simu kutoka mjini ndipo atoe agizo kua maji yakanunuliwe KIA ambapo ni umbali wa kilomita kama ishirini na tano.
mji wa mererani ni maarufu kwa madini aina ya Tanzanite ambayo hayapatikani sehemu yoyote hapa duniani zaidi ya hapo mererani.
tatizo la maji ni kubwa sana,kwa ujumla hata mabomba hayapo ardhini,inamaana toka MUNGU aumbe dunia wananchi wa kule hawajawahi ona maji ya bomba.
Ole Sendeka una laana ya watu wa mererani na sijui utakuja kwa staili gani kuomba kura.
wana wa MTWARA msikubali gesi kutoka huko mpaka mpewe uhakika wa nyie kufaidi kwanza.
mfano mwingine mzuri ni machimbo ya dhahabu na almasi kule shinyanga na mkoa wa Mara kwa ujumla,wameachiwa mahandaki hata mchanga wawekezaji wameondoka nao.
MTWARA komaeni mpaka mwisho.