Hawa jamaa wa Arusha watageuzwa kuwa wajinga kama wale wa Mbeya. Watatumiwa na wanasiasa mufilisi kuendeleza maugomvi wee huku maendeleo yanadorora.
Lowassa alipewa nafasi mpaka kuwa PM, alishindwa kuitumia vizuri kuliletea taifa letu maendeleo na badala yake akawa anajitajirisha yeye tu. Kuna umuhimu gani wa yeye kuendelea malumbano ya kisiasa yasiyo leta tija kabisa huko Arusha?
Huyo mbunge kapiga mtu na kashitakiwa, kweli kuna haja ya watu wote hao kwenda kule eti kumuunga mkono? Mkuu Matejoo ame summarise vizuri sana hapo juu. KUna watu wanafikiri wanamiliki vita dhidi ya ufisadi, hata wakikosea, wasiguswe. Huyo mbunge kupiga mtu ngumi kuna uhusiano gani na vita vya ufisadi?
Hayo maugomvi yameucost sana mkoa wa Mbeya, jifunzeni na nyie msiende huko huko.
Mpaka tufike 2010, mikoa yote itakuwa inawaka moto.
Lowassa alipewa nafasi mpaka kuwa PM, alishindwa kuitumia vizuri kuliletea taifa letu maendeleo na badala yake akawa anajitajirisha yeye tu. Kuna umuhimu gani wa yeye kuendelea malumbano ya kisiasa yasiyo leta tija kabisa huko Arusha?
Huyo mbunge kapiga mtu na kashitakiwa, kweli kuna haja ya watu wote hao kwenda kule eti kumuunga mkono? Mkuu Matejoo ame summarise vizuri sana hapo juu. KUna watu wanafikiri wanamiliki vita dhidi ya ufisadi, hata wakikosea, wasiguswe. Huyo mbunge kupiga mtu ngumi kuna uhusiano gani na vita vya ufisadi?
Hayo maugomvi yameucost sana mkoa wa Mbeya, jifunzeni na nyie msiende huko huko.
Mpaka tufike 2010, mikoa yote itakuwa inawaka moto.