vinginevyo kuna siku watakuja kuuana huko CCM.
Yees nilikuwa nagojea hili dokezo kama la Nyambala.
Ole Sendeka anapigwa vita na si ajabu the whole thing ni stage managed.
HINT 1:Ole hawaivi na Edo
HINT 2:Edo na "aliyepigwa ngumi" ni maswahiba
Conclusion..mwana JF jazaj mwenyewe!
Mzee Sendeka kateleza hapa.
Na mafisadi watamkamata kirahisi kwa kumvisha kesi ya jinai. Akiwa convicted na jinai, baadaye wanamuwekea pingamizi wakati wa kugombea ubunge.
Kawekewa ulimbo kanasa mwenyewe, it seems jamaa wanaijua short temper yake ilivyo pamoja na hulka yake ya kutiana mkononi....
Tusubiri tuone.
Hata Ole Sendeka? Sasa watabaki na nini?
Hii dhana ya watu kumiliki majimbo ni moja ya kansa mbaya sana. Kama taifa tungali tunajifunza siasa za ushindani.Ni utaraibu ambao tunachukua mda mrefu sana kuuzoea.
Kama huwa ana hasira hizo nashangaa mpaka leo hajatwanga mtu bungeni, akiweza kuvumilia upuuzi wa maelezo na majibu ya mawaziri ni kipi kingemshinda?
Ni mmoja wa wabunge waliofanya vyema sana mwaka jana, kwa haiba yake alipaswa kuwa juu ya haya aliofanya. Inasikitisha sana.
Yees nilikuwa nagojea hili dokezo kama la Nyambala.
Ole Sendeka anapigwa vita na si ajabu the whole thing ni stage managed.
HINT 1:Ole hawaivi na Edo
HINT 2:Edo na "aliyepigwa ngumi" ni maswahiba
Conclusion..mwana JF jazaj mwenyewe!
Mkuu LG, heshima mbele sana,
- Huu wako ndio tunaita uchambuzi makini kwa siasa zetu za bongo, maana huwa ni only in Tanzania, kwani ukisoma the whole sagga between the lines unaishia tu na huu uchambuzi wako, saafi sana na keep it up!
Kwa sisi wana-JF ni kuamua tunataka kwenda wapi na hii habari, lakini huu uchambuzi wa LG, umetulia sana, ingawa na yeye Sendeka simuelewi sana siku hizi sijui ni frustrations za mafisadi au what?.
Tatizo la Sendeka ni shule. Wot do u expects from form 4 failure with Div 4.
kinachomsadia ni huo mzuka wake wa kimasai ambao sometimes unapanda sipo...