askofu desmond tutu wa afrika ya kusini na mwanaharakati mahiri aliwahi kusema kuwa,ukipita na ukamwona tembo amemkanyaga panya mkia na ukaulizwa nani kati ya hao wawili ni mwonezi na jibu lako likawa sijui basi nawe ni sehemu ya uoenezi,mwl nyerere pia alisema,kwa wale waliobahatika kupata elimu ni sawa na mwanakijiji aliyejaliwa chakula na wengine wakakosa kwa hiyo anao wajibu wa kuwasaidia wengine.
my take here:
wasomi,elimu zetu zitukomboe na si kutukomoa,enyi wanachuo na wasomi wengine,tusaidiane haswa wakati huu wa uchaguzi kuleta mabadiliko ya kweli na si kugeuka wasaka tonge
my take here:
wasomi,elimu zetu zitukomboe na si kutukomoa,enyi wanachuo na wasomi wengine,tusaidiane haswa wakati huu wa uchaguzi kuleta mabadiliko ya kweli na si kugeuka wasaka tonge