Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
brooklyn zoo, shimy shimy ya, got your money (kelis wa nas alijulikana kwenye hii)....
kwenye got your Money kuna kipande anasema "HAALELUYAH"........hah hah hah hah dah
brooklyn zoo, shimy shimy ya, got your money (kelis wa nas alijulikana kwenye hii)....
Capadona?
Naona mzee hardcore rap sana. Anyway, ndo nimeanza kumskiliza Masta Ace kwenye 'Good ol' love' na 'Lets take a walk', na design kama namuelewa hivi.
Mzuka. Nimeamua kuskiliza muziki kurudi nyuma ili nipate flavour na madini ya zamani, hawa madogo wa siku hizi wananizingua tu. Nimeshazishusha hiyo 'aknowledge', 'born to roll' na 'nostalgia', nikiwa kwenye zone ntaziskiliza.Daah kitambo sasa hiv tunasikiliza good music tu hadi Kiba ndani hahaha,,,huyo jamaa mchafu sana msikilize na kwenye Acknowledge