Hata hawakutarajia ingekuwa hivi!
Wengine hata najua wazi hawana taarifa na kinachoendelea juu yao. Lakini kaamua, liwalo na liwe.
Mmefanya vema mliofanikisha juhudi za kumpa majina ya ziada; atakuwa aliudhika kukuta aliowaamini nao ni nyoka.
Kafanya jambo jema; lakini kama atafanya hivi bado wale jamaa watalegeza kamba? Kuongezeka kwa watuhumiwa kutaleta neema kwetu kama nyumba?
Naam, weekend imewaendea vibaya; ambao hawakutarajiwa ndo watalia na kusaga meno. Mwaka unaisha vibaya kwao!
Lakini, kilio chao ni kicheko cha wengine! Wenye macho wameona... Wengine vaeni miwani mtaweza soma!
Hata hawakutarajia ingekuwa hivi!
Wengine hata najua wazi hawana taarifa na kinachoendelea juu yao. Lakini kaamua, liwalo na liwe.
Mmefanya vema mliofanikisha juhudi za kumpa majina ya ziada; atakuwa aliudhika kukuta aliowaamini nao ni nyoka.
Kafanya jambo jema; lakini kama atafanya hivi bado wale jamaa watalegeza kamba? Kuongezeka kwa watuhumiwa kutaleta neema kwetu kama nyumba?
Naam, weekend imewaendea vibaya; ambao hawakutarajiwa ndo watalia na kusaga meno. Mwaka unaisha vibaya kwao!
Lakini, kilio chao ni kicheko cha wengine! Wenye macho wameona... Wengine vaeni miwani mtaweza soma!
Mkuu Invisible,
Mbona j3 ndiyo inayoyoma wala hamna lolote??
Invisible kama mwenyewe hataudhibiti pia uwezo wao, watageuka kuwa wasumbufu wakitumia nguvu waliyoikusanya kupitia pale walipowekwa na mwenyewe. Natumai atawanyang'anya virago na kila walichobeba bila kupewa kihalali ili wasiende mtaani na kujitapa huku wakitafuta mganga wa kuwaloga waliosababisha mwenyewe akajua uroho wao.
umesomeka invisible* wenye macho tumeona! wasioona jitahidini muone! ila bado wengine ambao sio ma...ri tunasubiri 'their fate' to be disclosed
invisible hapa ungeficha upumbavu wako lakini umeficha hekima yako... subiri baada ya muda mfupi kuanzia sasa na sikiliza habari utaona ndoto yako ni ya ndaria
kwamba kigwangala filikunjombe january nchemba sasa ni mawaziri naambiwa na sserunkamba
Ndugu Usiyeonekana, siuoni ukurasa wa 14 wa ripoti ya CAG katika ambato ulilotuwekea humu JF, nauomba haraka sana (dharura) - kama huwezi kuuweka humu nitumie kwa barua pepe sasa hivi tafadhali!
sisi kina gogo la shamba mwisho wa siku tulizompa Kikwete ni leo,asipotoa maamuzi leo ajue kilichompata Zitto ndicho kitakachompata atachukiwa katika maisha yake yote yeye na familia yake na asahau kutokea ndani ya familia yake kuwe na mwana siasa wa kueshimika na mwisho wao lazima kuwe na majuto
pressure za wahisani tu.akiwaondoa mawaziri ataambiwa ahakikishe Seth amerudisha pesa ndo wapewe misaada.ni upumbavu kwa nchi tajiri kama Tanzania kutegemea misaada
Mi hili jamaa nalichukia sana siku hizi! Kawa ccm sana na kawa muongo sana!