Oh, weekend imeshawaendea vibaya!

Oh, weekend imeshawaendea vibaya!

Serikali ya ccm imezidi khaa! Huu mwaka kabla haujaisha wengi watapitwa na magumu. Mwenye aone mwenye masikio asikio na mwenye sauti aseme sasa maana hukumu ikaribu.Yatatimia.
 
mkuu invisible source please!, najua kanuni ndio zinatuongoza, am kidding! Thanks kwa taarifa tunasubiri kuthibitika.
 
Invisible kama mwenyewe hataudhibiti pia uwezo wao, watageuka kuwa wasumbufu wakitumia nguvu waliyoikusanya kupitia pale walipowekwa na mwenyewe. Natumai atawanyang'anya virago na kila walichobeba bila kupewa kihalali ili wasiende mtaani na kujitapa huku wakitafuta mganga wa kuwaloga waliosababisha mwenyewe akajua uroho wao.
 
Last edited by a moderator:
I have a very strong feeling kuna warning ya ban, hakuna kubarizi states. Akaona nani anataka kukosa mitoko. Kwa ubinafsi hawa viongozi wetu walio nao wako tayari kabisa kukosa hizo fedha za donors, hawajali shida za wabongo hata.
naombea hilo litokee then kila mmoja atapata hiyo pinch ya upuuzi wao, kwa sasa dawa hazipo hospitalini hali hii ita persist, miradi inayo tegemea vyanzo hivyo itasimama, mishahara itaanza kulipwa tarehe 42, na baadaye watumishi watakopwa kwa miezi kadhaa, sarafu ishaanza kushuka na itazidi kuporomoka,malalamiko kwa serekali yataongezeka...............
 
kama busara ni hiyo ya kutukuza wizi na uvivu, Mungu aniepushe nayo!
Nikisema hujielewi na kama unajielewi basi hufahamu unaongea nini basi bila shaka nitakuwa nimekutafsiri vile unavyostahiki...
 
Hata hawakutarajia ingekuwa hivi!

Wengine hata najua wazi hawana taarifa na kinachoendelea juu yao. Lakini kaamua, liwalo na liwe.

Mmefanya vema mliofanikisha juhudi za kumpa majina ya ziada; atakuwa aliudhika kukuta aliowaamini nao ni nyoka.

Kafanya jambo jema; lakini kama atafanya hivi bado wale jamaa watalegeza kamba? Kuongezeka kwa watuhumiwa kutaleta neema kwetu kama nyumba?

Naam, weekend imewaendea vibaya; ambao hawakutarajiwa ndo watalia na kusaga meno. Mwaka unaisha vibaya kwao!

Lakini, kilio chao ni kicheko cha wengine! Wenye macho wameona... Wengine vaeni miwani mtaweza soma!

Mkuu Invisible ,

THIS AINT FAIR AT ALL !!!!!!
 
Last edited by a moderator:
umesomeka invisible* wenye macho tumeona! wasioona jitahidini muone! ila bado wengine ambao sio ma...ri tunasubiri 'their fate' to be disclosed
 
Nikisema hujielewi na kama unajielewi basi hufahamu unaongea nini basi bila shaka nitakuwa nimekutafsiri vile unavyostahiki...
Ni ubatili juu ya ubatili, asiye jielewa anapotoa somo la "kujielewa"
 
Mkuu Invisible ,

THIS AINT FAIR AT ALL !!!!!!
Fairness has never been practical, same with equal and the likes!!!
Some dudes are on their death beds just for a lack of medicines, you are here browsing, ever thought of fundrising to rescue these innocent souls??!!!

Weekend has gone sour!!!
If you want milk for tea fermentation is not a vocabulary but for yoghurt lovers, ooonh yeah!!!
 
Last edited by a moderator:
Invisible mbona mpaka leo j'pili bado kimya?.au mkulu katishwa na wale jamaa naye kaamua kughairi?.dondosha updates mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Wenye macho wameona, miwani kama hujanunua basi vuta subira... Jumatatu "Si mbali"

Angeanzia na mtoto wa mkulima ningemwona ana nia lakini zote promo tu hakuna jipya na kufukuza haitoshi hela zirudi na segerea wawe wenyeji hazijajengwa kwa ajili ya masikini tu .
 
invisible hapa ungeficha upumbavu wako lakini umeficha hekima yako... subiri baada ya muda mfupi kuanzia sasa na sikiliza habari utaona ndoto yako ni ya ndaria
Hata hawakutarajia ingekuwa hivi!

Wengine hata najua wazi hawana taarifa na kinachoendelea juu yao. Lakini kaamua, liwalo na liwe.

Mmefanya vema mliofanikisha juhudi za kumpa majina ya ziada; atakuwa aliudhika kukuta aliowaamini nao ni nyoka.

Kafanya jambo jema; lakini kama atafanya hivi bado wale jamaa watalegeza kamba? Kuongezeka kwa watuhumiwa kutaleta neema kwetu kama nyumba?

Naam, weekend imewaendea vibaya; ambao hawakutarajiwa ndo watalia na kusaga meno. Mwaka unaisha vibaya kwao!

Lakini, kilio chao ni kicheko cha wengine! Wenye macho wameona... Wengine vaeni miwani mtaweza soma!
 
Ni ubatili juu ya ubatili, asiye jielewa anapotoa somo la "kujielewa"
I think your post mean to someone anayetoa somo la kujielewa, nikukumbushe, la ngu ni la kutojielewa na hapa ubashiri umetimia!
 
wale wale wa ukoo wa shekh Yahaya!??????
Pole nyingine ikufikie popote ulipo manake kwa mara nyingine unathibitisha hujielewi kwamba unajipa daraja la Sheikh Yahya pale unapopiga ramli na kuona nami ni mmoja wao! Unatumia TV ya asili au maji kwenye beseni?
 
kwamba kigwangala filikunjombe january nchemba sasa ni mawaziri naambiwa na sserunkamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom