Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
Mlevi mmoja alikuwa akiendesha gari huku akiwa amelewa na pia akiwa na chupa ya whisky mkononi.wakati akiendesha katika barabara fulani askari usalama alimsimamisha na kuanza kumhoji kama ifuatavyo:-
Askari>>kwa nini unakunywa pombe wakati unaendesha gari
Mlevi>>hii siyo pombe ni maji tu
Askari>>lete niyaonje kama kweli ni maji
Mlevi>>chukua tu endelea
Askari>>akaonja na kuguna,hii ni pombe tena kali sana
Mlevi>>he mungu ni mkubwa,ametenda tena.kama alivyotenda muujiza kana ya galilaya,amebadilisha maji kuwa pombe!huu ni muujiza
Askari>>kwa nini unakunywa pombe wakati unaendesha gari
Mlevi>>hii siyo pombe ni maji tu
Askari>>lete niyaonje kama kweli ni maji
Mlevi>>chukua tu endelea
Askari>>akaonja na kuguna,hii ni pombe tena kali sana
Mlevi>>he mungu ni mkubwa,ametenda tena.kama alivyotenda muujiza kana ya galilaya,amebadilisha maji kuwa pombe!huu ni muujiza