elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Napenda kushauri watanzania wenzangu, tusipende kutumia bidhaa za supermarket sana, iwe maji, sukari, maziwa, kuku n.k
Nimegundua bidhaa nyingi zinakuwa mbovu lakini sisi tunaamini supermarket ndiko wanakouza bidhaa bora. Bidhaa nyingi zinakuwa zimepitwa muda wa matumizi yake wanafanya kubadilisha label hii inatokana na sababu ya kuwa wanaleta stock kubwa ambayo haishi kwa muda unaotakiwa.
Naongea jambo ambalo nimeshuhudia na TFDA wanalijua hili lakini hawachukui hatua kutokana na kwamba nchi iko corrupted na supermarkets nyingi zinamilikiwa na wafanya biashara ambao ni rafiki wa viongozi wa nchi hii au viongozi pia ni wana hisa.
Ni bora kununua bidhaa kutoka masoko yetu ya kiswaz au gengeni au haya maduka ya kawaida maana wale hawana uwezo wa kuagiza stock kubwa kubwa.
Mwenye kusikia na aasikie.
Nimegundua bidhaa nyingi zinakuwa mbovu lakini sisi tunaamini supermarket ndiko wanakouza bidhaa bora. Bidhaa nyingi zinakuwa zimepitwa muda wa matumizi yake wanafanya kubadilisha label hii inatokana na sababu ya kuwa wanaleta stock kubwa ambayo haishi kwa muda unaotakiwa.
Naongea jambo ambalo nimeshuhudia na TFDA wanalijua hili lakini hawachukui hatua kutokana na kwamba nchi iko corrupted na supermarkets nyingi zinamilikiwa na wafanya biashara ambao ni rafiki wa viongozi wa nchi hii au viongozi pia ni wana hisa.
Ni bora kununua bidhaa kutoka masoko yetu ya kiswaz au gengeni au haya maduka ya kawaida maana wale hawana uwezo wa kuagiza stock kubwa kubwa.
Mwenye kusikia na aasikie.