Karibu 75% ya vitu vinavyouzwa na Russia&Ukraine vinapatikana Tanzania. Serikali ina mpango gani walau kuwa mdau kwenye Trade exp

Street Hustler

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
2,139
4,173
Kwa pamoja Ukraine na Russia wanaongoza kwa kuwauzia na ndio wazalishaji wakubwa wa:

1. Ngano
Hii n malighafi kwenye viwanda vya CHAKULA na pombe Russia n muuzaji mkubwa wa ngano kwa nchi za ulaya. TANZANIA Kuna maeneo Kama Manyara huko unaambiwa enzi hzo mahekari kwa hekariz zililimwa ndio mwanzo wa bia Kama safari lager, Kilimanjaro lager kupata tuzo za Monde selection award kila mwaka siku hz n makapi ya mahindi pia kilimo hiki ndio ilkua chachu ya kiwanda Cha NYATI kikichotengeneza unga Bora wa ngano Arusha enzi hzo.

2. Alizeti
Hii n kwa ajili ya mbegu Bora na uvunaji wa mafuta ya kupikia Russia akiwa Ni mdahu muhimu anayehakikisha ulaya na dunia wanapata mafuta ya kupikia na mbegu Bora za kilimo huko mashambani. TANZANIA tuna maeneo Kama Singida, Tabora, Simiyu na Dodoma ambao niwazalishaji wakubwa wa Bidhaa za alizeti kuanzia shambani mpaka jikoni.

3. Mbolea
Russia n mdau namba moja kwa kuuza mbolea ya mashambani duniani kote, TANZANIA tuna kule minjingu(Manyara) na bado tuna maeneo ya kufanya tuwe na viwanda Kama hvyo.

4. Pombe (whisky)
Kwa ulaya malighafi au pombe Kali hutokea Russia kwa kiasi muhimu n sawa na Tanzania ambapo wskulima wa miwa wsnalalamika miwa yao haina soko hii fursa kwa wafanyabiashara na serikali kushirikiana kuanza kuzalisha pombe za miwa huku tukiendelea kuimarisha kilimo Cha zabibu, kingine Kuna pombe Kama konyagi na kvant tayari zinauhskika wasoko la nje, Kilimanjaro na safari wameshindwa kumantain quality ya brand zao na kulifanya soko labia litawaliwe na bia za nje nawaomba waende wakaonje bia yoyote ya Kenya walinganishe na yao.

5. Gas
Ukraine Ni mzalishaji mzuri wa gesi ambapo serikali na kampuni kubwa za urusi ndio mmiliki wa gesi hyo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani huko ulaya ambapo sie TANZANIA hii gesi ipo na Ni nyingi Cha ajabu hata pale mtwara within 10km kutoka plant ya gesi utakuta mtu anapikia kuni.

Jamani serikali hasa watawala Mana Tanzania viongozi Ni wachache mtuonee huruma vitu muhimu Kama hv vitunufaishe sisi kwa kuvitumia na kuuza kwa manufaa mema ya vizazi hivi na vitakavyokuja huko baadae.

6. Mafuta
Russia n muuzaji namba mbili dunian kwa uzalishaji wa mafuta na namba moja kwa kuwauzia mafuta bara la ulaya pia Tanzania tunaambiwa kule ziwa Eyasi, ziwa Nyasa, ziwa Tanganyika huku naskia Total energy alishaanza mchakato wa kuyatoa huko.

Sasa Kama taifa tunakwama nn kuhusu hili Kama n wasomi wa kuanzia tayari tunao shida iko WAP?

7. Madini chuma
Chuma n nyenzo muhimu Sana kwenye kufuma vyuma kwa matumizi ya kujenga taifa(Viwanda vya machine, ujenzi) TANZANIA tumebarikiwa kule kusini chuma ipo na hata uwez jua inasaidia vp hili taifa.

8. Bahari na bidhaa za bahari
Kwa uvuvi tuu wa samaki Kama ungesimamiwa vizuri Leo hii wanafunzi wote wachuo wadingekuwa wanakopeshwa Bali wangekuwa wanasoma buree vikiria Pwani tokea Tanga - Zanzibar kwenda comoro - mpaka mtwara Hawa n samaki maji chumvi bado tunao wa maji baridi(Victoria, Tanganyika,Nyasa, Eyasi Hawa huwa na chumvi) wote Hawa Kama tutawavuna vizuri na kutengeneza sera nzuri kwa manufaa ya watanzania kesho na keshokutwa hapa tutakula na kuuza rejea kebei za filamu ya yule mzungu ya mapanki.

Kwenye maji tuneongelea kitoweo tuu bado Kuna samaki wanabidhaa muhimu kwenye ule ambao tunaona n uchafu kabla ya jumla pia Kuna utalii.

9. GEOGRAPHICAL POSITION
Hii ndio MAMA wa yote hayo TANZANIA tupo sehemu salama kibiashara kwa maana tumepakana na nchi Zaid ya 8 na zote hzo nyingi zinatugemea sisi kwa namna moja muhimu sana mfano population ya Congo DR ukiweza kufanya nayo Biashara wewe n tajiri, njoo Kenya&Uganda, Zambia&msumbiji, Burund&Rwanda, comoro&Mayyote bado Kuna Somalia, south Sudan na wengine kidogo kidogo pia hata kusafirisha Mana tuna bandari kubwa 4(Tanga, Zanzibar, Dar Es Salaam na mtwara) pia tuna ndege endapo mzigo itakuwa kufika kwa unataka.

Vitega uchumi Kama taifa TANZANIA tunavyo vingi Sana hatujazungumzia Madini, Utalii, Misitu, hata gharama za kupokea na kusafirisha mizigo kutoka bandarini mpka nchi jirani mzigo unapokwenda.

JE KAMA TAIFA TUMEJIANDAE KUKUA KIUCHUMI KUTOKANA NA HUU MZOZO WA RUSSIA VS UKRAINE?
 
Tatizo ni watu walioko madarakani ukiachilia raisi tu! Wote walioko behind her ni hewa😅!!!

Au hujui kuwa nchi za kiafrika umaskini ni sababu ya watawala kuwa vibaraka vya wakoloni!
Inamaana kweli wizara ya kilimo inashindwa kuwekeza kwenye Alizeti, ufuta, ngano, mtama, mahindi kwa kuonyesha tija kwenye nafasi walizonazo?

Pia ukiwa kibaraka ndio usile wewe sababu boss wako hasikii njaa?

Hili halikubaliki hata kidogo vijana mkawasumbue wazee kwenye ofisi zao mlime kwa tija vinginevyo kesho itakuwa ngumu.
 
Inamaana kweli wizara ya kilimo inashindwa kuwekeza kwenye Alizeti, ufuta, ngano, mtama, mahindi kwa kuonyesha tija kwenye nafasi walizonazo?

Pia ukiwa kibaraka ndio usile wewe sababu boss wako hasikii njaa?

Hili halikubaliki hata kidogo vijana mkawasumbue wazee kwenye ofisi zao mlime kwa tija vinginevyo kesho itakuwa ngumu.
Leo tu ningumu mkuu! Kwa hela ambavyo awamu hii zinaishia mifukoni mwa watu tu there a trillions of money zitapotea mpaka kufikia 2030!

Hizo billion za kujenga madarasa ya kuja kuzalisha majobless zingeenda kuanzisha estates watu wakaingia kwenye kilimo collectively tukazalisha kinachotakiwa huko ulaya Tanzania isingekuwa maskini
 
Anza wewe mkuu.Dangote alianza kidogo kidogo leo anajenga mtambo mkubwa duniani wa kuchakata mafuta, gesi na mbolea ambapo serikali ya Nigeria haijawahi kuwa na ndoto kama hio.

Serokali(viongozi) hawana hizo ndoto hivyo raia wa kawaida wachukue hatua vinginevyo mtazeeka bila kuona hayo mambo.

Dangote( Negro) kaweza bila serikali wewe na mimi tunashindwaje ? Tuzifuate fursa serikali za Africa zilishindwa baada ya uhuru utu.

Sitaki kusikia sojui mitaji sijui nini.

Mtanzania wa kawaida kutozitumia fursa nao ni ukilaza.

Tz fursa ni nyingi ila hatuna akili ya kuzigeuza kuwa pesa. Warabu(Afro), wahindi(Afro) Tz wanafanya vizuri sisi tunasubiri nini?
 
Anza wewe mkuu.Dangote alianza kidogo kidogo leo anajenga mtambo mkubwa duniani wa kuchakata mafuta, gesi na mbolea ambapo serikali ya Nigeria haijawahi kuwa na ndoto kama hio.
Serokali(viongozi) hawana hizo ndoto hivyo raia wa kawaida wachukue hatua vinginevyo mtazeeka bila kuona hayo mambo.
Dangote( Negro) kaweza bila serikali wewe na mimi tunashindwaje ? Tuzifuate fursa serikali za Africa zilishindwa baada ya uhuru utu.
Sitaki kusikia sojui mitaji sijui nini.
Mtanzania wa kawaida kutozitumia fursa nao ni ukilaza.
Tz fursa ni nyingi ila hatuna akili ya kuzigeuza kuwa pesa. Warabu(Afro), wahindi(Afro) Tz wanafanya vizuri sisi tunasubiri nini?
Wahindi na Warabu (Afro) ndiyo Wahindi gani hao au matumizi sahihi ya neno "Afro" linakukanganya mkuu?
 
Kwa hio wewe unajua zaidi kuliko wamarekani na wazungu walioleta hilo neno.Usjifanye unajua kila kitu.
Umekarire eeh !
Kujua ninajua ndiyo! Afro, wahindi na waarabu ninajua maana yake.

Yawezakuwa maana yako ilikuwa ni nzuri ulichomaanisha kukielezea, isipokuwa wahindi Afro na Warabu afro huo ndiyo mkanganyiko wenyewe mkuu.

Rudia kusoma ulichoandika, kama mimi ndiye sijaelewa nipe darasa, siyo mbaya.
 
Kujua ninajua ndiyo! Afro, wahindi na waarabu ninajua maana yake.

Yawezakuwa maana yako ilikuwa ni nzuri ulichomaanisha kukielezea, isipokuwa wahindi Afro na Warabu afro huo ndiyo mkanganyiko wenyewe mkuu.

Rudia kusoma ulichoandika, kama mimi ndiye sijaelewa nipe darasa, siyo mbaya.
Nina maanisha hivi
Screenshot_20220306-143210.png


Screenshot_20220306-143210.png
 
Anza wewe mkuu.Dangote alianza kidogo kidogo leo anajenga mtambo mkubwa duniani wa kuchakata mafuta, gesi na mbolea ambapo serikali ya Nigeria haijawahi kuwa na ndoto kama hio.
Serokali(viongozi) hawana hizo ndoto hivyo raia wa kawaida wachukue hatua vinginevyo mtazeeka bila kuona hayo mambo.
Dangote( Negro) kaweza bila serikali wewe na mimi tunashindwaje ? Tuzifuate fursa serikali za Africa zilishindwa baada ya uhuru utu.
Sitaki kusikia sojui mitaji sijui nini.
Mtanzania wa kawaida kutozitumia fursa nao ni ukilaza.
Tz fursa ni nyingi ila hatuna akili ya kuzigeuza kuwa pesa. Warabu(Afro), wahindi(Afro) Tz wanafanya vizuri sisi tunasubiri nini?
Natafuta njia ya namna ya kulifanikisha hili ndomana nikaja huku ili nipate mawazo ya wadau kuwa tunakwama wapi?
 
Kwa pamoja Ukraine na Russia wanaongoza kwa kuwauzia na ndio wazalishaji wakubwa wa:

1. Ngano
Hii n malighafi kwenye viwanda vya CHAKULA na pombe Russia n muuzaji mkubwa wa ngano kwa nchi za ulaya. TANZANIA Kuna maeneo Kama Manyara huko unaambiwa enzi hzo mahekari kwa hekariz zililimwa ndio mwanzo wa bia Kama safari lager, Kilimanjaro lager kupata tuzo za Monde selection award kila mwaka siku hz n makapi ya mahindi pia kilimo hiki ndio ilkua chachu ya kiwanda Cha NYATI kikichotengeneza unga Bora wa ngano Arusha enzi hzo.

2. Alizeti
Hii n kwa ajili ya mbegu Bora na uvunaji wa mafuta ya kupikia Russia akiwa Ni mdahu muhimu anayehakikisha ulaya na dunia wanapata mafuta ya kupikia na mbegu Bora za kilimo huko mashambani. TANZANIA tuna maeneo Kama Singida, Tabora, Simiyu na Dodoma ambao niwazalishaji wakubwa wa Bidhaa za alizeti kuanzia shambani mpaka jikoni.

3. Mbolea
Russia n mdau namba moja kwa kuuza mbolea ya mashambani duniani kote, TANZANIA tuna kule minjingu(Manyara) na bado tuna maeneo ya kufanya tuwe na viwanda Kama hvyo.

4. Pombe (whisky)
Kwa ulaya malighafi au pombe Kali hutokea Russia kwa kiasi muhimu n sawa na Tanzania ambapo wskulima wa miwa wsnalalamika miwa yao haina soko hii fursa kwa wafanyabiashara na serikali kushirikiana kuanza kuzalisha pombe za miwa huku tukiendelea kuimarisha kilimo Cha zabibu, kingine Kuna pombe Kama konyagi na kvant tayari zinauhskika wasoko la nje, Kilimanjaro na safari wameshindwa kumantain quality ya brand zao na kulifanya soko labia litawaliwe na bia za nje nawaomba waende wakaonje bia yoyote ya Kenya walinganishe na yao.

5. Gas
Ukraine Ni mzalishaji mzuri wa gesi ambapo serikali na kampuni kubwa za urusi ndio mmiliki wa gesi hyo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani huko ulaya ambapo sie TANZANIA hii gesi ipo na Ni nyingi Cha ajabu hata pale mtwara within 10km kutoka plant ya gesi utakuta mtu anapikia kuni.

Jamani serikali hasa watawala Mana Tanzania viongozi Ni wachache mtuonee huruma vitu muhimu Kama hv vitunufaishe sisi kwa kuvitumia na kuuza kwa manufaa mema ya vizazi hivi na vitakavyokuja huko baadae.

6. Mafuta
Russia n muuzaji namba mbili dunian kwa uzalishaji wa mafuta na namba moja kwa kuwauzia mafuta bara la ulaya pia Tanzania tunaambiwa kule ziwa Eyasi, ziwa Nyasa, ziwa Tanganyika huku naskia Total energy alishaanza mchakato wa kuyatoa huko.

Sasa Kama taifa tunakwama nn kuhusu hili Kama n wasomi wa kuanzia tayari tunao shida iko WAP?

7. Madini chuma
Chuma n nyenzo muhimu Sana kwenye kufuma vyuma kwa matumizi ya kujenga taifa(Viwanda vya machine, ujenzi) TANZANIA tumebarikiwa kule kusini chuma ipo na hata uwez jua inasaidia vp hili taifa.

8. Bahari na bidhaa za bahari
Kwa uvuvi tuu wa samaki Kama ungesimamiwa vizuri Leo hii wanafunzi wote wachuo wadingekuwa wanakopeshwa Bali wangekuwa wanasoma buree vikiria Pwani tokea Tanga - Zanzibar kwenda comoro - mpaka mtwara Hawa n samaki maji chumvi bado tunao wa maji baridi(Victoria, Tanganyika,Nyasa, Eyasi Hawa huwa na chumvi) wote Hawa Kama tutawavuna vizuri na kutengeneza sera nzuri kwa manufaa ya watanzania kesho na keshokutwa hapa tutakula na kuuza rejea kebei za filamu ya yule mzungu ya mapanki.

Kwenye maji tuneongelea kitoweo tuu bado Kuna samaki wanabidhaa muhimu kwenye ule ambao tunaona n uchafu kabla ya jumla pia Kuna utalii.

9. GEOGRAPHICAL POSITION
Hii ndio MAMA wa yote hayo TANZANIA tupo sehemu salama kibiashara kwa maana tumepakana na nchi Zaid ya 8 na zote hzo nyingi zinatugemea sisi kwa namna moja muhimu sana mfano population ya Congo DR ukiweza kufanya nayo Biashara wewe n tajiri, njoo Kenya&Uganda, Zambia&msumbiji, Burund&Rwanda, comoro&Mayyote bado Kuna Somalia, south Sudan na wengine kidogo kidogo pia hata kusafirisha Mana tuna bandari kubwa 4(Tanga, Zanzibar, Dar Es Salaam na mtwara) pia tuna ndege endapo mzigo itakuwa kufika kwa unataka.

Vitega uchumi Kama taifa TANZANIA tunavyo vingi Sana hatujazungumzia Madini, Utalii, Misitu, hata gharama za kupokea na kusafirisha mizigo kutoka bandarini mpka nchi jirani mzigo unapokwenda.

JE KAMA TAIFA TUMEJIANDAE KUKUA KIUCHUMI KUTOKANA NA HUU MZOZO WA RUSSIA VS UKRAINE?
Nguruwe wew
 
Mada imefika mahali muafaka kabisaa!
Tuna matamko kwenye kilimo kuliko uhalisia hapa ndipo serikali yetu inapokosea inadhani biashata ndo kila kitu huku ikijinasibu kilimo ni UTI wa mgongo sio kweli

Mfano tuna wataalamu wa kilimo pale Sua morogoro lini waliwafikia wakulima zaidi ya research zao za kina panya nani pekee

Wakulima wanateseka wanalima kila wakati wapi masoko ? Wapi viwanda?inaumiza kweli kweli

Wakati fulani watu wamehangaika na zao la mbaazi lilifia wapi
Wenzetu wazungu watatuendesha sana miaka mingi kama tusipokubali vya kwetu na haswa kutoka mashambani
Mungu tubariki Siku moja tuwe wakulima wakubwa kama urusi American na kwingineko
 
Natafuta njia ya namna ya kulifanikisha hili ndomana nikaja huku ili nipate mawazo ya wadau kuwa tunakwama wapi?
Mie nsha kuwa na jawabu kitambo kuwa serikali za nchi za Africa hazitaleta lolote kubwa zaidi ya kujenga barabara, kuweka maji,umeme na kujenga majengo jwa speed ya Kobe.
Project kubwa za kufanya mapinduzi makubwa kama ile ya Dangote Oil refinery usiitegemee na wakitaka zifanyike wanaalika wachina, warabu au wazungu.
Hivyo basi brighter mind wa kiafrika wanatakiwa wabadili mambo kwa mikono yao wenyewe vinginevyo tutasubiri sana.
Lazima tuchukue hatua wenyewe kwa mikono yetu, wenzetu wanaijeria wameanza na nadhani 50year to come watakuwa hatua kubwa labda sawa na wazungu au kuzipita baadhi ya nchi za ulaya. Wanaijeria walishaga puuza serikali yao wanabadili mamno wenyewe na ndio maana Top ten richest people inAfrica wapo zaidi ya mmoja.
 
Inamaana kweli wizara ya kilimo inashindwa kuwekeza kwenye Alizeti, ufuta, ngano, mtama, mahindi kwa kuonyesha tija kwenye nafasi walizonazo?

Pia ukiwa kibaraka ndio usile wewe sababu boss wako hasikii njaa?

Hili halikubaliki hata kidogo vijana mkawasumbue wazee kwenye ofisi zao mlime kwa tija vinginevyo kesho itakuwa ngumu.
Hata iwe wizara gani ni ngumu kufanya mabadiliko kwa kizazi kisicho na elimu Bora tatu, yaani elimu ya maisha, elimu ya darasani ya kutosha, elimu ya exposure yaani vitu vinavyofanyika kwa usasa Sasa hivi ni asilimia labda tano ya watu wote ndo unaweza kuwaweka kwenye kundi la elimu tatu wengine wote hatuna kitu kwenye ufahamu wetu zaidi ya ushabiki na kuchezea muda wakati exposure ya dunia inahitaji binadamu ajali Kila sekunde anayotumia, watu wakiwa na elimu nzuri na exposure vitu vingi watajiletea wenyewe kwa haraka kwani nani anamnunulia mtu simu siku hizi si Kila mtu ananunua simu mpaka wazee Ili watumiwe hela , nani anamnunulia mtu gesi ya kupikia kama siyo elimu ya muda uliokuwa unapotea jikoni kuwasha Kuni, maji na umeme mbona watu wanasumbua serikali kwanini wanachelewesha kuwaletea umeme mwingi na maji mengi Ili watumie muda wao vizuri lasivyo watawanyima kura, watu wakielimika ndo uzalishaji wa Kila kitu utatumika na utakuja kwa ubora.
 
Tatizo ni watu walioko madarakani ukiachilia raisi tu! Wote walioko behind her ni hewa!!!

Au hujui kuwa nchi za kiafrika umaskini ni sababu ya watawala kuwa vibaraka vya wakoloni!
Huwa naitafakarigi sana hii point.....huwa siaminigi lakini kadri siku zinavyo enda ukweli mchungu unaniingia iviii
 
Back
Top Bottom