Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,945
- 7,945
Nawasalimu katika jina la Muungano wa Tz
Karibuni katika uwanja wa mawazo ya kibepari na Beberu wenu J
Ipo hivi pale mtaani kwako kulikuwa na duka moja la mangi nae akapata pesa nyingi zilizofanya na wengine waingie kwa kasi katika biashara hio na ndani ya miaka mitatu kukawa na maduka 7 ya Mangi, Ushindani ukawa mkubwa na bei ya bidhaa zikaanza kuporomoka na kuwa nafuu kwenu walaji na mateso makubwa kwa wafanyabiashara mana bidhaa aliyopata faida buku sasa kwa sababu ya ushindani anapata faida mia mbili tena kwa shida.
WaTz wengi pale tunapoona kuna ushindani wa kibiashara huwa tunakimbilia kushusha bei ya bidhaa na matokeo yake faida inakuwa chini mana wewe ukipunguza na mwenzako atapunguza kwa hio mwishoni mnajikuta mnafanya biashara kichaa nan do mana biashara nyingi bongo huanza kwa speed mwisho zinakuwa za ovyo hazina faida watu wanafunga ovyo kwa kushindwa kumudu gharama za biashara husika kwani wao walishusha bei tu bila kufanya hesabu ya other expenses za biashara husika.
Mfano bar nyingi zinazodumu hapa mjini sio zile zinazouza bia na vinywaji kwa bei ya punguzo au ofa, ni zile ambazo utakuta wao wanauza vinywaji kwa 50% above bei elekezi na hii inawapa cushion ya challenge za biashara kama vile bad days na upotevu wa chupa pamoja na madeni ya watu, ila hiz Bar zinazojifanya kuuza bia kwa bei ya punguzo zikishaibiwa chupa, wateja 7 wakakopa + zikapita week mbili za bad business huwa haziwezi tena kuendelea kufanya kazi mana wao biashara yao inawapa faida ndogo licha ya mauzo kuwa makubwa.
Sasa basi nini kifanyike kuzuia hali hii?
#1. Chaguo namba moja ambayo mimi nashauri ni kwanza wafanya biashara ya aina moja eneo husika muungane mtengeneze umoja wenu na mchague viongozi wenu
#2. Kaeni chini kwa pamoja mpange bei elekezi kwa bidhaa zenu zinazotoka sana na muache bidhaa ambazo hazitoki sana kuwa huru kwa kila mtu kupanga bei anayotaka, mfano kipindi nasoma UDOM stationaries zilikuwa zinaenda kwa ushindani huria tu hivo zikapelekea bei ya kurudufu karatasi moja kuwa 25/- ambayo ukipiga hesabu wanakuwa wamepata hasara ila kuna watu walipenda tu kuona mauzo makubwa bila kuangalia faida au lah, nini kikafanyika? Hawa jamaa baadae wakatengeneza umoja wao na kupanga bei elekezi kwa baadhi ya huduma kama printing 100/-, kurudufu ikawa 50/- na hapo wengi wakaona faida, ko wakabaki wanashindana kwenye customer care na bei ya bidhaa ambazo hazitoki sana kama vile madaftar na peni.
Mfano wa pili ni hii mitandao ya simu nao licha ya kuwa sina uhakika ila hawa jamaa nao kuna kila dalili utaona wana genge lao baada ya ushindani mkali na kushusha bando utaona saizi hawa jamaa wanaenda sawa, yan Tigo wakipandisha bei na voda watapandisha tena kwenye range zile zile, na sasa unaona hata promo za matangazo ya mitandao ya simu zimepungua sana ( Hii ni faida ya umoja huu)
#3. Hii ni muhimu Zaidi, Viongozi wawe makini kufuatilia mwenendo wa utimizaji wa makubaliano yenu ya bei ili kuhakikisha hakuna wanaowazunguka na kuuza kwa bei ya chini
#4. Shindaneni kwenye issue nyingine kama vile customer care, location, lugha bora kwa mteja et all
#5. Mrudi kunishukuru baada ya kuanza kupiga faida kubwa kubwa
Natoa ushauri wa biashara kwa gharama nafuu sana na napatikana kupitia namba 0764 803 515
Bye bye mpaka wakati mwingine katika mawazo ya kibepari na Beberu wenu
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Karibuni katika uwanja wa mawazo ya kibepari na Beberu wenu J
Ipo hivi pale mtaani kwako kulikuwa na duka moja la mangi nae akapata pesa nyingi zilizofanya na wengine waingie kwa kasi katika biashara hio na ndani ya miaka mitatu kukawa na maduka 7 ya Mangi, Ushindani ukawa mkubwa na bei ya bidhaa zikaanza kuporomoka na kuwa nafuu kwenu walaji na mateso makubwa kwa wafanyabiashara mana bidhaa aliyopata faida buku sasa kwa sababu ya ushindani anapata faida mia mbili tena kwa shida.
WaTz wengi pale tunapoona kuna ushindani wa kibiashara huwa tunakimbilia kushusha bei ya bidhaa na matokeo yake faida inakuwa chini mana wewe ukipunguza na mwenzako atapunguza kwa hio mwishoni mnajikuta mnafanya biashara kichaa nan do mana biashara nyingi bongo huanza kwa speed mwisho zinakuwa za ovyo hazina faida watu wanafunga ovyo kwa kushindwa kumudu gharama za biashara husika kwani wao walishusha bei tu bila kufanya hesabu ya other expenses za biashara husika.
Mfano bar nyingi zinazodumu hapa mjini sio zile zinazouza bia na vinywaji kwa bei ya punguzo au ofa, ni zile ambazo utakuta wao wanauza vinywaji kwa 50% above bei elekezi na hii inawapa cushion ya challenge za biashara kama vile bad days na upotevu wa chupa pamoja na madeni ya watu, ila hiz Bar zinazojifanya kuuza bia kwa bei ya punguzo zikishaibiwa chupa, wateja 7 wakakopa + zikapita week mbili za bad business huwa haziwezi tena kuendelea kufanya kazi mana wao biashara yao inawapa faida ndogo licha ya mauzo kuwa makubwa.
Sasa basi nini kifanyike kuzuia hali hii?
#1. Chaguo namba moja ambayo mimi nashauri ni kwanza wafanya biashara ya aina moja eneo husika muungane mtengeneze umoja wenu na mchague viongozi wenu
#2. Kaeni chini kwa pamoja mpange bei elekezi kwa bidhaa zenu zinazotoka sana na muache bidhaa ambazo hazitoki sana kuwa huru kwa kila mtu kupanga bei anayotaka, mfano kipindi nasoma UDOM stationaries zilikuwa zinaenda kwa ushindani huria tu hivo zikapelekea bei ya kurudufu karatasi moja kuwa 25/- ambayo ukipiga hesabu wanakuwa wamepata hasara ila kuna watu walipenda tu kuona mauzo makubwa bila kuangalia faida au lah, nini kikafanyika? Hawa jamaa baadae wakatengeneza umoja wao na kupanga bei elekezi kwa baadhi ya huduma kama printing 100/-, kurudufu ikawa 50/- na hapo wengi wakaona faida, ko wakabaki wanashindana kwenye customer care na bei ya bidhaa ambazo hazitoki sana kama vile madaftar na peni.
Mfano wa pili ni hii mitandao ya simu nao licha ya kuwa sina uhakika ila hawa jamaa nao kuna kila dalili utaona wana genge lao baada ya ushindani mkali na kushusha bando utaona saizi hawa jamaa wanaenda sawa, yan Tigo wakipandisha bei na voda watapandisha tena kwenye range zile zile, na sasa unaona hata promo za matangazo ya mitandao ya simu zimepungua sana ( Hii ni faida ya umoja huu)
#3. Hii ni muhimu Zaidi, Viongozi wawe makini kufuatilia mwenendo wa utimizaji wa makubaliano yenu ya bei ili kuhakikisha hakuna wanaowazunguka na kuuza kwa bei ya chini
#4. Shindaneni kwenye issue nyingine kama vile customer care, location, lugha bora kwa mteja et all
#5. Mrudi kunishukuru baada ya kuanza kupiga faida kubwa kubwa
Natoa ushauri wa biashara kwa gharama nafuu sana na napatikana kupitia namba 0764 803 515
Bye bye mpaka wakati mwingine katika mawazo ya kibepari na Beberu wenu
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app