Ogopa wanaume matapeli

Ogopa wanaume matapeli

scenario nyingi sana zilikuwaga ni kuhusu wanawake matapeli mlikuwa mnatutapeli sana...lakini bora sasa hivi equation imeanza kubalance .. Tutaenda sawa
 
napita nitarudi
Ai weweee tupe msaada wako

Zambi za kutubagua sisi wanaume maskini zinawatafuna.
Umeona ee me sijakubagua kuna dogo janja alikubagua hapo kwa comment

scenario nyingi sana zilikuwaga ni kuhusu wanawake matapeli mlikuwa mnatutapeli sana...lakini bora sasa hivi equation imeanza kubalance .. Tutaenda sawa
Kama nilivyosema wanaume kazi yenu ni KUTOOOO AAAAAA
We hata ujikanyage vipi kazi yako kutoa
Hautaki njoo upande wa akina mama uzalishweee
 
Ukute dem anakazi yake tena anakuzidi mpunga bt shoo zote unasimamia wew.. Duuh mambo yamebadilika hata wew utoeee twende sawaa... Tunagawana bills
Me naongelea madem ambao hawana kazi mnataka kutunyonya very bad jaman

yeah..mwanamme atafanya yote hayo na ndio uanaume ila si sawa..kama mkeo ana kipato atoe usaidizi wake pale nyumbani..faham nilikuelewa vyema kabisa na si uungwana kwa yeyote yule..awe mwanamume kamwibia mwanamke,au mwanamke kamwibia mwanamme hamna linalokubarika...
Ivi unajua kweli maana ya usaidizi bro?!
Usaidizi kwa akina mama aliouweka Mungu ni kuzaaa na kulea watoto na kuwafundisha sheria zote za maisha na dini
Upo hapo?!
Lakini kwasababu ya manyanyaso ya wanaume zaman wakati akina mama walikuwa wakikaa ndani ndio maana wakaamua wakasome ili nao wakae kazini wafanye kazi zoooote za kiume na kike lakini Mungu haku design mwanamke akahangaike alete mkate yeye ni kulea na kuzaa tu
Sasa unaposema 50/50 unashangaza
Mkeo kukusaidia ni uamuzi wake mwenyewe hailazimishwi na anaweza akakaa ndani vile vile asifanye kazi kwani utamfanyaje?!
Kazi ya mwanamke sio kuleta mkate ni kuzaa na kulea
We kama unaona wanawake wanafaidi basi naomba uje utusaidie kuzaa na kulea ili ututhamini sio kujibalaguza tu huku jf wakati ukweli unaujua
 
Eti kumuomba mwananke pesa ni kosa kubwa sana **** youu
Yes kubwa kuliko
Afu sasa wanaume mnachekesha mnamwomba mwanamke hela hamjaoana ni aibu tupu!
Aibu mnaleta umarioo kwenye mapenz ovyo sana wanaume wa skuhizi kwanini msiwe na kitu kinaitwa PRIDE kama baba zenu!
Akyanani hiki kizazi sheedah
 
80% ya papuchi zote nilizokula ni kwa njia ya utapeli....yaani uongo, usaliti na kila aina ya ulaghai, na mpaka sasa naendelea na formula yangu, na kila anayenigundua anakuwa kachelewa tiyari hivo mzigo naendelea kujilia maana hakuna namna tena......kuna nyumbu flani nilimdanganya nachezea AZAM fc, nkajilia mzigo kiulainiii
We haujakutana na manunda kama Money Penny na marafkizako
Hao cheap thriller uliokutana nao ndio unajjiona kiduuuume very stupid of u!
Upgrade your level, njoo high class level zetu na utapeli wako uje tukushike maskio ujione mjinga wa kuzaliwa
Du!
Mungu anakazi sio kitoto
 
Khaaa una maneno jamani Dada Penny wewe...kabila gani ivi ila unaumizaga wa2 acha tu wanaogopa makavu
Lazima watu waambiwe ukweli wanaleta ujinga kwenye maisha ya watu

Afu wanajiita great thinkers kumbe hamna kitu
wai! Embu niwashe a/c inipepeee
 
K yangu haiuzwi
Chema chajiuza bruh
Sipokei free pumbu by the way
Poyeee

Kama ww wauza *k*, others give me 4 free, mm kila wiki natongoza madem wapya.. so I'm not thirsty enough to pay 4 a pussy, kama dem anaona mm mbahil sana she can go to hell, Money Penny
 
Kama ww wauza *k*, others give me 4 free, mm kila wiki natongoza madem wapya.. so I'm not thirsty enough to pay 4 a pussy, kama dem anaona mm mbahil sana she can go to hell, Money Penny
U sound thirsty to me
Ungekuwa hauna njaa usingekuwa unahangaika kama mbwa koko ku chase women
Walioshiba hawawi mambwa koko bruh!
Poyeee
 
Me naongelea madem ambao hawana kazi mnataka kutunyonya very bad jaman


Ivi unajua kweli maana ya usaidizi bro?!
Usaidizi kwa akina mama aliouweka Mungu ni kuzaaa na kulea watoto na kuwafundisha sheria zote za maisha na dini
Upo hapo?!
Lakini kwasababu ya manyanyaso ya wanaume zaman wakati akina mama walikuwa wakikaa ndani ndio maana wakaamua wakasome ili nao wakae kazini wafanye kazi zoooote za kiume na kike lakini Mungu haku design mwanamke akahangaike alete mkate yeye ni kulea na kuzaa tu
Sasa unaposema 50/50 unashangaza
Mkeo kukusaidia ni uamuzi wake mwenyewe hailazimishwi na anaweza akakaa ndani vile vile asifanye kazi kwani utamfanyaje?!
Kazi ya mwanamke sio kuleta mkate ni kuzaa na kulea
We kama unaona wanawake wanafaidi basi naomba uje utusaidie kuzaa na kulea ili ututhamini sio kujibalaguza tu huku jf wakati ukweli unaujua
hivyo mwanamke anapozaa na kulea anamsaidia mwanamme?haya basi...nimekuelewa sasa..
 
Kwa wiki nkitongoza madem 8, 6 wakinikataa 2 watanikubali...baada ya miez 9 hesab ntakuwa nao wangap, lack of pussy options na scarcity mentality ndo inawafanya wanaume wahonge. Mwanaume ukijifanya kuwa na dem mmoja you're done coz akizingua huna pa kuhemea Money Penny
 
Back
Top Bottom