Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,638
- 47,685
Nimesoma vizuri tu,sema mda mwingine ili kupunguza ukali wa tatizo huwa mnabambikia wenzenu kumbe ni yenu.Jaman sio mimi ni mfaanyakazi mwenzangu ndio yaliompata kasome upya waya bro
Nimesoma vizuri tu,sema mda mwingine ili kupunguza ukali wa tatizo huwa mnabambikia wenzenu kumbe ni yenu.Jaman sio mimi ni mfaanyakazi mwenzangu ndio yaliompata kasome upya waya bro
Ahhahahahaha waaaapeèeetofautisha kuibiwa yako hiyo ambayo unachukua malaya na mada iliyoletwa
Ogopa matapelina unaweza kuwa chizi ghafla yote hiyo ni kumwamini mtu pole yake sana
We me sio Mange plzMange Kimambi amekuja kwa jina la Penny humu JF....!!?
uandishi wake huwa unaniacha na VICHEKO....![]()
![]()
sanaaaa...mbavu zinaumaaaa....
![]()
![]()
![]()
Wanaume wakiwa wachache ndio wageuke matapeli au?Me ni wengi sana lakini wanaume ni wachaaaaaaache mno siku hizi.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dah kwaiyo wanaume wamegeuka matapeli wa kujitolea sio ili kulipiza kisasi?!Pole yake..!! Ila wakuu mbona hata nyie mnatuibiaga tukiwa tumelala kweny magest,lodge,hotel..tena pesa nyingi tu..na hizi case za wanaume kuibiwa ni nyingi kuliko wanawake kuibiwa..so its a win win situation..!
Kha! We ni jambazi sasa au umeajiriwa?! Maana ujambazi nao unaanza pole poleHiyo mbona kawaida tu hata mm niliwahi kula school fees ya dada flani,nilimnunulia chai wiki nzima baadae nilimkopa laki tatu sikuwah kumuona tena toka 2014
Du!Nyege kunyegezana, biashara kupambana.
Ila nyie mnapotuzalisha mbona hatusahau baba wa mtoto ni nani?!Katka iyo nyanja simtetei mwanamke hata kidogo wanatucost sana hawa watu halafu huwa hawakumbuki fadhila wanasahau haraka
Kijijini twishenMjini shule..
We ukitaka maisha yangu subiria kitabu changu utasoma kila kitu kuhusu mimi sada hivi siwezi andika kitu bro bado mapema sanaNimesoma vizuri tu,sema mda mwingine ili kupunguza ukali wa tatizo huwa mnabambikia wenzenu kumbe ni yenu.
Ndio je wanataka sanaWewe penny kila post unayoweka, ni ya mashoti walikuletea... Mada zako ni za malalamiko ya rafiki zako tyuuu.. Hizo za kwako tutazijua lini? Na kwanini wakikuletea tu, wewe alfajiri umedamka kuziweka jf, ndivyo wanavyotaka hao wenzako? Nna mashaka na habari zako...
Tudanganye positively sio kutubabua kha!Tatizo mademu wa siku hizi bila kuwadanganya hawaendi
Kha! We ni jambazi sasa au umeajiriwa?! Maana ujambazi nao unaanza pole pole
Yani kama manati vile umeivuuuuuuutaaaa ulipoiachia ndege wa watu chini
Shindwa



