Ogopa wanaume matapeli

Ogopa wanaume matapeli

Kuna baadhi ya wanawake matapeli pia wanaweza kuua hata mtu wao wa karibu au kujifanya wana ujauzito kwa kutegemea kufanya mavuno. Abiria chunga mzigo wako!
Mmmh lakini matapeli wa kike ni wachache kulinganisha na wanaume

Kwa mfano huyo dada alietapeliwa mil 15 akaamua ku revenge si ataondoka na tril 1 za wanaume kama 100 hivi hapa tz kulipiza kisasi and all because of 1 man ambae alimwaminisha na kumpiga chini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Na mim mwanaume nikikupa 20 mil ufanyie mambo yako,ukatokomea nayo we utakua nani sasa
Natokomeaje labda?!
Wanaaake unajua tupo insecured hata unipe mil 200 nitakukwepa lakini sio kutokomea bro!

Nyie buana ndio sheedah
 
Hakuna cha mteremko hapo bro
Naona umesoma kwa juu juu kasome upya utaelewaaa


Kama hausomi haina haja ya ku comment bro unajaza thread bure sie tunataka ushirikiano wa kweli sio lawama


Meona ee
Nakuzingua we, nltak 2 uniquote tyu bas we mrembo... unankoshajee
 
Hakuna cha mteremko hapo bro
Naona umesoma kwa juu juu kasome upya utaelewaaa


Kama hausomi haina haja ya ku comment bro unajaza thread bure sie tunataka ushirikiano wa kweli sio lawama


Meona ee
Hakuna mwanaume bora bila kumtengeneza, mnapenda sana finished goods! Sisi wanaume wa ukweli mnatuacha kisa hatuna pesa..!
 
ila pia jamani hawa matapeli naamini huwa wanatumia uchawi WA kufunga watu akili/ufahamu...coz i hav my frend pia alipata msichana mpaka akalipa mahari in Cash coz walisema hawataki ng'ombe,si jamaa masaai akauza ngo'mbe zake akawapa cash...then baada ya wiki msichana akamwambia Niko zangu Mwanza nasoma labda tuoane mwakani....na kuanzia apo ndio hakupatikana tena pamoja na wazazi feki hawapatikani
 
Kuna wanawake chicken heads sana....relationship siku mbili tu unaahidiwa kupewa 20m na wewe unaamini! Hivi mnaijua 20m nyinyi? Tena ya mfanyabiashara?! Labda, labda wale wezi wa kalamu ambao wengi sasa hivi wametumbuliwa na wanaisoma namba! Shubaaamiti!
 
Kuna wanawake chicken heads sana....relationship siku mbili tu unaahidiwa kupewa 20m na wewe unaamini! Hivi mnaijua 20m nyinyi? Tena ya mfanyabiashara?! Labda, labda wale wezi wa kalamu ambao wengi sasa hivi wametumbuliwa na wanaisoma namba! Shubaaamiti!
Hahahah siku ya 3 bwana sio ya 2
 
ila pia jamani hawa matapeli naamini huwa wanatumia uchawi WA kufunga watu akili/ufahamu...coz i hav my frend pia alipata msichana mpaka akalipa mahari in Cash coz walisema hawataki ng'ombe,si jamaa masaai akauza ngo'mbe zake akawapa cash...then baada ya wiki msichana akamwambia Niko zangu Mwanza nasoma labda tuoane mwakani....na kuanzia apo ndio hakupatikana tena pamoja na wazazi feki hawapatikani
Ni kweli kabisa
Wanatumia dawa hapo nilisahau kuandika
Hasa wanaume hawa wanaojitambulisha me msukumaaa
Yani akisema tu msukumaaa kimbiaaaaaa maaana wana dawa balaaaa
 
Hakuna mwanaume bora bila kumtengeneza, mnapenda sana finished goods! Sisi wanaume wa ukweli mnatuacha kisa hatuna pesa..!
Liken i said... wanaume unfinished mkiwa finished hamshikikiiiii
Mnaota mapembe na mikia inabidi tuwaongezeed
 
Back
Top Bottom