Ogopa Sana Mungu na technology

Namjua sana huyu jamaa anitwa nani vile?
 
Hapo ameuza utu wake Kwa bahasha ya 100,000 ndo posho za Viongozi wa dini wakiitwa na samia
 
Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
Nyumbu mamako Lissu alishasema aliyemleta Lowassa chadema ni Gwajima na slaa

Na alisema ulikuwa ni uamuzi wa kijinga Sana kuwai kufanywa!!
 
Hapo sio tu dini imechanganywa na siasa bali dini moja imechanganywa na dini nyingine 😳
 
Nataka kuamini hata Mwamposa ana kadi ya Kijani!
 
Kuikomboa hii nchi si kazi nyepesi hata kidogo kama tunavyodhani na si jambo la hivi karibu.
 
Manyumbu unafikiri Yana akili basi, yenyewe ni kukurupuka tu.
Sasa pale jana aliongea kama shekhe au kama mwana ccm?
Hata gwajima alipozungumza alisema hazungumzi kama askofu gwajima... wapuuzi wakaishia KULIFUNGA KANISA BAADA YA KUMSHINDWA
 
Sawa nyumbu, Lete na ile ya kina lissu wakimsema lowassa kuwa ni fisadi kabla hawajamkaribisha chamani kugombea uraisi.
Mbona ata CCM walimsema,na akarudi CCM akapokelewa kwa heshima na Magu akamsifia sana,kwamba mzee ni mzalendo
Siasa ni sayansi ndugu yangu si kila anayesema kwamba ni kweli mara nyingine ni proganda za washindani wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…